Bulelaa
JF-Expert Member
- Jun 28, 2024
- 1,342
- 3,247
Ila Kikwete alitufanya vibaya yule 😂😂Angekuwa wa kwetu wangelundikana wote na suit zao wangezipeleka kunyooshwa ulaya ili kumpokea mgeni.pia na kufagia barabara kama alivyofanya kikwete kipindi Obama anakuja