Nimefurahishwa sana na Rais wa Angola kumtuma Waziri kumpokea Rais Biden wa Marekani

Nimefurahishwa sana na Rais wa Angola kumtuma Waziri kumpokea Rais Biden wa Marekani

Angekuwa wa kwetu wangelundikana wote na suit zao wangezipeleka kunyooshwa ulaya ili kumpokea mgeni.pia na kufagia barabara kama alivyofanya kikwete kipindi Obama anakuja
Ila Kikwete alitufanya vibaya yule 😂😂
 
Ingekuwa hapa wangekesha uwanja wa ndege na mkuu wao.
 
Na alivyofika ofisini akaulizwa unaondoka lini? Maana ninavikao vingi vya muhimu
 
Miaka minne ijayo itakuwa migumu kwa Africa maana Trump hanaga habari na Africa. Kwenye miaka yake minne ya kwanza hakuwahi tembelea nchi yoyote ya Africa.
 
U.S. President Joe Biden arrived in Luanda Monday and was welcomed by Angola foreign minister Tete Antonio on an official state visit to the southern African nation.

This is the first visit by a sitting U.S. president to the oil-producing country. The U.S. President will focus on continuing investment on the Lobito Corridor, a transnational rail line connecting Angola, DRC, Tanzania, and Zambia.

(Reuters/VOA)

View attachment 3167839View attachment 3167840
Acha unaa wewe!
 
Back
Top Bottom