Last week siku ya tarehe 31 December, nilipanga nifanye tathmini ya aina ya marafiki zangu nilionao. Kiukweli mimi ni mtu wa kujitoa sana when it comes to matatizo ya wenzangu wanaonizunguka, nikisikia msiba wa rafiki ntaubeba kama wetu vile, rafiki akiniomba kitu kama kiko ndani ya uwezo wangu lazima nimsaidie.
Lakini recently kuna viashiria niliviona vikanistua mpaka nikaamua kuwafanyia tathmini marafiki zangu.
So tarehe 31 December 2022, nilijifungia ndani siku nzima, nikaanza kuwapigia rafiki zangu simu kuwaomba msaada kuwa nimepatwa na majanga flani nimetaitiwa na polisi so kuna kiasi flani cha kama elfu 50 kimenipelea hivyo naomba msaada then next day narudisha.
Ebana huwezi amini wale niliokua nawachukulia kama washkaji zangu hakuna hata aliyejigusa na mimi. Ila kuna mdau mmoja tena ni fundi ujenzi nae niliona nimpime coz huwa ananipiga vizinga vya hapa na pale ndiye aliyejitutumua akanitumia elfu 10 akaniambia hiyo nyingine hana nijaribu kucheck wadau wengine.
Na kuna demu mama ntilie nae nilikua nagonga kipindi flani huko nyuma nae akaniwezesha elfu 15, ila hawa washkaji tunaokaa nao kwenye viti virefu hakuna hata aliyeuliza hao polisi wamenitait kwa issue gani!
Kwa kweli hili jambo lilinitafakarisha sana aina ya watu ninaomingle nao katika maisha yangu. Nilichoamua niliblock number zao na kuzifuta kabisa, maana haina haja ya kuendelea kuongozana na watu wa aina hiyo.
Hao ndo wale wa save for save unadhani kuona status ya mtu wasap ndo anakuwa kashakuwa rafiki yakoUna marafiki 50?
Au huwa unajichekesha kwa watu na wakitoa positive response unaanza kuwaita marafiki. Nina watu ninaofahamiana nao wengi na naongea na wengi ila sina marafiki zaidi ya 10. Na siombiombi hela kwa marafiki, sio donors hao. Huwezi pima urafiki kwa kuomba hela tena ukitarajia upewe instantly
Kabla ya tarehe 31 nilifuta zaidi ya contacts 600 na kufanya tathmini upya ya marafiki wote na watu wa karibu.Last week siku ya tarehe 31 December, nilipanga nifanye tathmini ya aina ya marafiki zangu nilionao. Kiukweli mimi ni mtu wa kujitoa sana when it comes to matatizo ya wenzangu wanaonizunguka, nikisikia msiba wa rafiki ntaubeba kama wetu vile, rafiki akiniomba kitu kama kiko ndani ya uwezo wangu lazima nimsaidie.
Lakini recently kuna viashiria niliviona vikanistua mpaka nikaamua kuwafanyia tathmini marafiki zangu.
So tarehe 31 December 2022, nilijifungia ndani siku nzima, nikaanza kuwapigia rafiki zangu simu kuwaomba msaada kuwa nimepatwa na majanga flani nimetaitiwa na polisi so kuna kiasi flani cha kama elfu 50 kimenipelea hivyo naomba msaada then next day narudisha.
Ebana huwezi amini wale niliokua nawachukulia kama washkaji zangu hakuna hata aliyejigusa na mimi. Ila kuna mdau mmoja tena ni fundi ujenzi nae niliona nimpime coz huwa ananipiga vizinga vya hapa na pale ndiye aliyejitutumua akanitumia elfu 10 akaniambia hiyo nyingine hana nijaribu kucheck wadau wengine.
Na kuna demu mama ntilie nae nilikua nagonga kipindi flani huko nyuma nae akaniwezesha elfu 15, ila hawa washkaji tunaokaa nao kwenye viti virefu hakuna hata aliyeuliza hao polisi wamenitait kwa issue gani!
Kwa kweli hili jambo lilinitafakarisha sana aina ya watu ninaomingle nao katika maisha yangu. Nilichoamua niliblock number zao na kuzifuta kabisa, maana haina haja ya kuendelea kuongozana na watu wa aina hiyo.
Nadhani nyie hapa wote age yenu ni below 30. Mwanaume hafuti namba.Kabla ya tarehe 31 nilifuta zaidi ya contacts 600 na kufanya tathmini upya ya marafiki wote na watu wa karibu.
Kwa hiyo walibaki marafiki wawili tu kwenye inner circle.
Nilitaka kushangaa wakati mm hata marafiki watano sifikishiHamna mtu ana marafiki hamsini Mkuu labda washikaji?
Maisha inabidi yaendelee, huwezi kuendesha maisha kwenda mbele huku unaagalia sight mirrorNadhani nyie hapa wote age yenu ni below 30. Mwanaume hafuti namba.
Uamuzi wa busara refer ule wimbo unaitwa "mpunguze" (sijui hata aliyeimba au kama unaitwa hivyo kweli)Last week siku ya tarehe 31 December, nilipanga nifanye tathmini ya aina ya marafiki zangu nilionao. Kiukweli mimi ni mtu wa kujitoa sana when it comes to matatizo ya wenzangu wanaonizunguka, nikisikia msiba wa rafiki ntaubeba kama wetu vile, rafiki akiniomba kitu kama kiko ndani ya uwezo wangu lazima nimsaidie.
Lakini recently kuna viashiria niliviona vikanistua mpaka nikaamua kuwafanyia tathmini marafiki zangu.
So tarehe 31 December 2022, nilijifungia ndani siku nzima, nikaanza kuwapigia rafiki zangu simu kuwaomba msaada kuwa nimepatwa na majanga flani nimetaitiwa na polisi so kuna kiasi flani cha kama elfu 50 kimenipelea hivyo naomba msaada then next day narudisha.
Ebana huwezi amini wale niliokua nawachukulia kama washkaji zangu hakuna hata aliyejigusa na mimi. Ila kuna mdau mmoja tena ni fundi ujenzi nae niliona nimpime coz huwa ananipiga vizinga vya hapa na pale ndiye aliyejitutumua akanitumia elfu 10 akaniambia hiyo nyingine hana nijaribu kucheck wadau wengine.
Na kuna demu mama ntilie nae nilikua nagonga kipindi flani huko nyuma nae akaniwezesha elfu 15, ila hawa washkaji tunaokaa nao kwenye viti virefu hakuna hata aliyeuliza hao polisi wamenitait kwa issue gani!
Kwa kweli hili jambo lilinitafakarisha sana aina ya watu ninaomingle nao katika maisha yangu. Nilichoamua niliblock number zao na kuzifuta kabisa, maana haina haja ya kuendelea kuongozana na watu wa aina hiyo.
We uko central msaada wa kisaikolojia unafaa nini? 😀Mkuu sio lazima utoe msaada wa kifedha.Muda mwingine unaweza kumsaidia mwenzio kwa kumpa tu msaada wa kisaikolojia Kama ushauri nasaha na mengineyo.
Kiukweli umenena vyema ..Mimi nadhani kuna kitu kidogo umekosea umehukumu watu kwa kushindwa kukusaidia pesa lakini kumbuka kuna siri nyingi kwa watu hata hao unaotaka kwao kitu hujui wako katika hali gani inawezekana mtu hana kitu anaona hata aibu kukwambia sina ila ningekuelewa kama hukupata hata msaada wa mtu kutaka kujuwa umefikia wapi je umeweza kupata sehemu mimi kwa kweli sina lakini naamini utapata sehemu au kufuatilia issue yako hata kwa kujali tu kukupigia simu lakini kama yote haya umekosa hata mtu kukupigia siku ya pili vipi yameisha vipi jana sikuwa na amani nafikria issue yako tu la kufanya sina... msaada au rafiki sio lazima pesa kuonesha kujali tu ina umuhimu sana. Kukwambia hivi ume wa block lakini unajuwa na wao shida zao?
Hamna mtu ana marafiki hamsini Mkuu labda washikaji?