Na hii ya kudhani jamaa hawezi kosa cash ni kosaa piaa kubwaa sanaa maana hujui majukumu yake...!! Labda ana mikopoo ya kutosha na madeni kibao..Haya maisha bwana unaweza kudhani mtu amekunyima kumbe hata yeye hana labda unaejua mishe zake hawezi kukosa cash
Ulikuwa huwajui wazee wa mma? Hupenda wenzao wakati wa kilaji tu na sivingine.Last week siku ya tarehe 31 December, nilipanga nifanye tathmini ya aina ya marafiki zangu nilionao. Kiukweli mimi ni mtu wa kujitoa sana when it comes to matatizo ya wenzangu wanaonizunguka, nikisikia msiba wa rafiki ntaubeba kama wetu vile, rafiki akiniomba kitu kama kiko ndani ya uwezo wangu lazima nimsaidie.
Lakini recently kuna viashiria niliviona vikanistua mpaka nikaamua kuwafanyia tathmini marafiki zangu.
So tarehe 31 December 2022, nilijifungia ndani siku nzima, nikaanza kuwapigia rafiki zangu simu kuwaomba msaada kuwa nimepatwa na majanga flani nimetaitiwa na polisi so kuna kiasi flani cha kama elfu 50 kimenipelea hivyo naomba msaada then next day narudisha.
Ebana huwezi amini wale niliokua nawachukulia kama washkaji zangu hakuna hata aliyejigusa na mimi. Ila kuna mdau mmoja tena ni fundi ujenzi nae niliona nimpime coz huwa ananipiga vizinga vya hapa na pale ndiye aliyejitutumua akanitumia elfu 10 akaniambia hiyo nyingine hana nijaribu kucheck wadau wengine.
Na kuna demu mama ntilie nae nilikua nagonga kipindi flani huko nyuma nae akaniwezesha elfu 15, ila hawa washkaji tunaokaa nao kwenye viti virefu hakuna hata aliyeuliza hao polisi wamenitait kwa issue gani!
Kwa kweli hili jambo lilinitafakarisha sana aina ya watu ninaomingle nao katika maisha yangu. Nilichoamua niliblock number zao na kuzifuta kabisa, maana haina haja ya kuendelea kuongozana na watu wa aina hiyo.
Aidha hujaelewa point yake au upeo wako na walio kupa LIKES upo chini sana. Ila ninachokiona you have low thinking capacity. Yeye alikuwa hana shida ila alijaribu kuwapima washikaji wa karibu kuona nani ata respond hata Kwa kuguswa tu na msala wake, kama contacts za smartphone yako Zina watu 400++ utakosa watu 50 wa kuwaomba msaada!?.., wewe ni mpuuzi na mpumbavu, samahani mkuu Kwa kukwambia ukweli...Una marafiki 50?
Au huwa unajichekesha kwa watu na wakitoa positive response unaanza kuwaita marafiki. Nina watu ninaofahamiana nao wengi na naongea na wengi ila sina marafiki zaidi ya 10. Na siombiombi hela kwa marafiki, sio donors hao. Huwezi pima urafiki kwa kuomba hela tena ukitarajia upewe instantly
Samahani yako kaa nayo, wewe ni bata mzinga.Aidha hujaelewa point yake au upeo wako na walio kupa LIKES upo chini sana. Ila ninachokiona you have low thinking capacity. Yeye alikuwa hana shida ila alijaribu kuwapima washikaji wa karibu kuona nani ata respond hata Kwa kuguswa tu na msala wake, kama contacts za smartphone yako Zina watu 400++ utakosa watu 50 wa kuwaomba msaada!?.., wewe ni mpuuzi na mpumbavu, samahani mkuu Kwa kukwambia ukweli...