chakula cha watoto
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 539
- 1,507
Probably!Kama na mkanda wa jeshi uliumwa basi huo wenyewe
Wanasema dalili nyingine ni koo kuuma. Nimemeza mate kwa nguvu kweli koo linauma ahseeAchana na mambo ya kugugo. Kapime kama unaUKIMWI anza kutumia ARV na kula vizuri. Ukiendelea kujizungusha utakufa kizembe Bwa mdogo.
Hivi ee? Maana wengi naona wapigwa sana na hii mkanda ya soldierProbably!
π€£π€£π€£π€£ππΏUlipata Mkanda wa jeshi??π³π³
Au uligugo pia na wenyewe?
Sio kila anaeumwa mkanda wa jeshi ana vvu kiongozi,Kama na mkanda wa jeshi uliumwa basi huo wenyewe
Sikwenda kupima, mm mambo ya kupima Pima hapana, Ila ulikuwa ni mkanda ule maana upele uliwasha mgongoni mpaka kwa babuUlipata Mkanda wa jeshi??π³π³
Au uligugo pia na wenyewe?
Nenda kapima achana na Gugo..
Ulipopata Mkanda wa jeshi ulitibiwaje na ulitibiwa wapi?
Maana nina amini kama uliambiwa Hospitali kuwa una mkanda wa Jeshi basi lazma walikupima..
Nakumbuka Miaka ya 2008 mpaka miaka ya 2014 hivi ujana ulinizidia sana ππNiliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa
Nikaona kabisa huu ni ukimwi, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes
Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu
Mda wote kichwa na misuri inauma nahisi kuchokaaa
Ndugu, kama huyu jamaa aliyoyaandika nikweli yanamuhusu ww hukupaswa kuandika hivi,R.I.P
TrueSio kila anaeumwa mkanda wa jeshi ana vvu kiongozi,
Nawengine hawaumwi huo mkanda ila wanao
Anha,hapo umenielewesha mkuu.AsanteSio kila anaeumwa mkanda wa jeshi ana vvu kiongozi,
Nawengine hawaumwi huo mkanda ila wanao
Shida iko Hapa!ππSikwenda kupima, mm mambo ya kupima Pima hapana, Ila ulikuwa ni mkanda ule maana upele uliwasha mgongoni mpaka kwa babu
Mzee kwa 98% Wote wanaopata Shingles Lazima wana HIV..Sio kila anaeumwa mkanda wa jeshi ana vvu kiongozi,
Nawengine hawaumwi huo mkanda ila wanao