Nimegugo dalili zote UKIMWI, ninazo

Nimegugo dalili zote UKIMWI, ninazo

Niliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa

Nikaona kabisa huu ni ukimwi, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes

Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu

Mda wote kichwa na misuri inauma nahisi kuchokaaa
Napo umejitahidi. Toka 2010 mpaka leo unaishi wakati ukishapata herpes zoster ndo unakua kwenye stage 4 ambayo ndo ya mwisho kabisa pua hio huambatana na giardiasis na kaposi sarcoma
Pengine kinga ya mwili imeshuka kwa ishu zingine
 
Mzee kwa 98% Wote wanaopata Shingles Lazima wana HIV..
Kwanini Imeitwa shingles kwa sababu ni Reactivation ya Chicken pox
98% maana yake kuna 2% imebaki, ndio maana yake kusema sio wote wanaoumwa mkanda wa jeshi ni lazima awe na ngoma, japo akiwa na mkanda wa jeshi ni asilimia 98 tunasema atakuwa na ngoma.
Shingles inakuja sababu upungufu wa kinga mwilini, na kinga inapungua kwa vingi sio virus pekee.
 
Niliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa

Nikaona kabisa huu ni ukimwi, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes

Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu

Mda wote kichwa na misuri inauma nahisi kuchokaaa
Pole sana ni Vema kupima ndugu yangu ukimwi sio mwisho WA maisha Ila tambua kwamba moja ya kitu hatari ni kujipima Kwa hisia ambapo uleta hatari ya msongo wa mawazo ambao uleta upungufu wa Kinga ambapo uleta magonjwa yadhaniwayo yanasababishwa na ukimwi kumbe Ni hofu ndio imekufikisha hapo.

Nakushauri kitu ndugu yangu nenda kapime huku ukiwa umemwachia mungu kila kitu Kwa kuwa ikitokea umekuwa nao jipe imani ya kuishi na ikitokea huna basi badili mtindo Wa maisha, huu ugonjwa tunauchukulia poa ukiwa hujapata lakini ukiupata inaitajika imani kubwa sana ya kiroho kuishi nao.

Nakushauri tena nenda kapime achana na maelezo ya google kuhusu kujitambua kama unavyo au huna, magonjwa mengi yanaingiliana mfano: kuharisha ,kukonda linaweza kuwa zao la hofu, mkanda wa jeshi umpata mtu yeyote japo Kwa mtu ambaye anaukimwi pia anaweza kupata lakini akiwa amekaanao huo ukimwi Kwa kipindi kirefu.

Mimi nakupa ushuhuda wangu kwamba mwaka fulani nilikwenda kozi, kule kozi Kuna bwana nilikuwa nalala naye kitanda cha karibu na alikuwa anameza dawa ambazo yeye alisema za joint lakini zinafanana na za ARV kuanzia kopo hadi muhundo.

Tulishea vitu vingi sana kabla ya Mimi kujua zile dawa,Mimi nilikuwa natumia sindano kutolea uchafu kwenye Meno alafu naiweka sindano kwenye Meza, nilikuta anaitumia sindano kama ambavyo Mimi hufanya nilihisi kuchanganyikiwa baada ya yangu kuikosa nilijua wazi kumbe siku zote tunashea.

Kimbembe niliporudi kutoka kozi wiki moja mbele nikaanza kuharisha, jasho usiku,vipele mgongo wote,kuokoa na mafua, nikaingia google na YouTube kucheki dalili za awali za ukimwi Braza nikajiwekea tiki tayari na nikabaki na Siri kwamba nitaishi navyo mpaka nitakapokuwa mahututi.

Siku zinaenda nikawa na mawazo lakini Ile Hali ikaisha Ila kuumwa kupo mwezi huu napitisha mwezi ujao naumwa ikawa ni mawazo juu ya mawazo, siku fulani hivi nikawa naumwa sana kichwa na mafua karibia wiki mbili mfulululizo na homa zingine ikiwemo na malenge lenge mikononi nikaona hapana nikamuita mke wangu nakumuambia kwamba Mimi najiisi ni magonjwa wa ukimwi nakuomba ATA nikigundulika husinikimbie.

Wife akanipa moyo na kuniambia huwezi niacha atanibeba mwanzo mwisho, asubuhi hao hospitalini mpaka Kwa wahusika nikawaelezea na baadaye akatuchukua vipimo na kuanza upimaji, Mimi wakati huo nishamuambia Yule Dada kwamba Mimi najua ni mgonjwa TU Ila nimekuja kuthibitisha ili nianze dozi nilikaa tayari kuanza dozi nilikubali yote.

Baada kama dakika kadhaa muhudumu anauliza muko tayari kupokea majibu yenu Mimi nimelalia Meza namwambia Yuko tayari ,muhudumu wa afya akasema wote ninyi ni WAZIMA endeleeni kujilinda huwezi amini nililia sana tena sana na kuapa kwamba nitaanza kuswali.

Hivyo nakuomba husijihukumu nenda kapime afya ni mtaji wako iwe utakutwa nao au hutokutwa nao Ila ukishajitambua utaishi kulingana na ilivyo na utashauriwa kuwa maisha lazima yaendelee na kuumwa sio kufa.
 
98% maana yake kuna 2% imebaki, ndio maana yake kusema sio wote wanaoumwa mkanda wa jeshi ni lazima awe na ngoma, japo akiwa na mkanda wa jeshi ni asilimia 98 tunasema atakuwa na ngoma.
Shingles inakuja sababu upungufu wa kinga mwilini, na kinga inapungua kwa vingi sio virus pekee.
Mkuu Lets Talk Logic..
Ni kweli kabisa Shingles Ni reactivation ya Chickenpox pale kinga ya mwili inaposhuka..

Nataka kukuuliza kitu Kinga ya mwili hushuka hata kwa Mtu mwenye Kisukari na Cancer..

Nataka uniambie Ni mtu gani mwenye cancer au Kisukari umewahi kumuona akiwa na Shingles bila kuwa na HIV??
 
Niliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa.

Nikaona kabisa huu ni ukimwi, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes.

Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.

Muda wote kichwa na misuli inauma nahisi kuchokaaa.
Vipimo ndio kila kitu..bora ukapime tu.
 
Niliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa.

Nikaona kabisa huu ni ukimwi, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes.

Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.

Muda wote kichwa na misuli inauma nahisi kuchokaaa.
Ukimwi ni ugonjwa wa kawaida tu kama magonjwa mengine.....cha msingi ni Mindset zenu tu zinawapa hofu.
 
Pole sana ni Vema kupima ndugu yangu ukimwi sio mwisho WA maisha Ila tambua kwamba moja ya kitu hatari ni kujipima Kwa hisia ambapo uleta hatari ya msongo wa mawazo ambao uleta upungufu wa Kinga ambapo uleta magonjwa yadhaniwayo yanasababishwa na ukimwi kumbe Ni hofu ndio imekufikisha hapo.

Nakushauri kitu ndugu yangu nenda kapime huku ukiwa umemwachia mungu kila kitu Kwa kuwa ikitokea umekuwa nao jipe imani ya kuishi na ikitokea huna basi badili mtindo Wa maisha, huu ugonjwa tunauchukulia poa ukiwa hujapata lakini ukiupata inaitajika imani kubwa sana ya kiroho kuishi nao.

Nakushauri tena nenda kapime achana na maelezo ya google kuhusu kujitambua kama unavyo au huna, magonjwa mengi yanaingiliana mfano: kuharisha ,kukonda linaweza kuwa zao la hofu, mkanda wa jeshi umpata mtu yeyote japo Kwa mtu ambaye anaukimwi pia anaweza kupata lakini akiwa amekaanao huo ukimwi Kwa kipindi kirefu.

Mimi nakupa ushuhuda wangu kwamba mwaka fulani nilikwenda kozi, kule kozi Kuna bwana nilikuwa nalala naye kitanda cha karibu na alikuwa anameza dawa ambazo yeye alisema za joint lakini zinafanana na za ARV kuanzia kopo hadi muhundo.

Tulishea vitu vingi sana kabla ya Mimi kujua zile dawa,Mimi nilikuwa natumia sindano kutolea uchafu kwenye Meno alafu naiweka sindano kwenye Meza, nilikuta anaitumia sindano kama ambavyo Mimi hufanya nilihisi kuchanganyikiwa baada ya yangu kuikosa nilijua wazi kumbe siku zote tunashea.

Kimbembe niliporudi kutoka kozi wiki moja mbele nikaanza kuharisha, jasho usiku,vipele mgongo wote,kuokoa na mafua, nikaingia google na YouTube kucheki dalili za awali za ukimwi Braza nikajiwekea tiki tayari na nikabaki na Siri kwamba nitaishi navyo mpaka nitakapokuwa mahututi.

Siku zinaenda nikawa na mawazo lakini Ile Hali ikaisha Ila kuumwa kupo mwezi huu napitisha mwezi ujao naumwa ikawa ni mawazo juu ya mawazo, siku fulani hivi nikawa naumwa sana kichwa na mafua karibia wiki mbili mfulululizo na homa zingine ikiwemo na malenge lenge mikononi nikaona hapana nikamuita mke wangu nakumuambia kwamba Mimi najiisi ni magonjwa wa ukimwi nakuomba ATA nikigundulika husinikimbie.

Wife akanipa moyo na kuniambia huwezi niacha atanibeba mwanzo mwisho, asubuhi hao hospitalini mpaka Kwa wahusika nikawaelezea na baadaye akatuchukua vipimo na kuanza upimaji, Mimi wakati huo nishamuambia Yule Dada kwamba Mimi najua ni mgonjwa TU Ila nimekuja kuthibitisha ili nianze dozi nilikaa tayari kuanza dozi nilikubali yote.

Baada kama dakika kadhaa muhudumu anauliza muko tayari kupokea majibu yenu Mimi nimelalia Meza namwambia Yuko tayari ,muhudumu wa afya akasema wote ninyi ni WAZIMA endeleeni kujilinda huwezi amini nililia sana tena sana na kuapa kwamba nitaanza kuswali.

Hivyo nakuomba husijihukumu nenda kapime afya ni mtaji wako iwe utakutwa nao au hutokutwa nao Ila ukishajitambua utaishi kulingana na ilivyo na utashauriwa kuwa maisha lazima yaendelee na kuumwa sio kufa.
Buuuuuuh! Ngumu kumeza hii
 
Mkuu
Mkuu Lets Talk Logic..
Ni kweli kabisa Shingles Ni reactivation ya Chickenpox pale kinga ya mwili inaposhuka..

Nataka kukuuliza kitu Kinga ya mwili hushuka hata kwa Mtu mwenye Kisukari na Cancer..

Nataka uniambie Ni mtu gani mwenye cancer au Kisukari umewahi kumuona akiwa na Shingles bila kuwa na HIV??
Mkuu hii ni case ambayo ninaongelea mimi nina ushuhuda nayo.
Mwaka kama 2018 hivi nilipata hizi shingles, sister wangu mkubwa nikamuonesha akaguna kwanza kisha akasema hii ni herpes zoster. Hapo nina homa kali, vinawaka moto. Nikaenda kwa jamaa yangu daktari ana duka la dawa, kumuonesha akaniambia hizi ni herpes zoster, nikashusha pumzi akaniambia usiogope sio lazima uwe na ngoma, akaniuliza kama kuna dalili zozote za ajabu nikamjibu hakuna ndio vimejitokeza siku ya pili hiv ama ya 3 tena ghafla. Akanipa kipimo tukapima pale pale, majibu fresh, akanipa Acyclovir kama sikosei, nikaenda home kupaka, sikuridhika nikaemda hospital kubwa kwa vipimo zaidi, vipimo fresh, baada ya miezi mi3 nikaenda kupima tena fresh, nikaja pima tena fresh, mpaka naoa nikapim tena, mamsapu akapata KIBENDI kupima tena, majibu ni fresh.
 
Back
Top Bottom