Nimegugo dalili zote UKIMWI, ninazo

Nimegugo dalili zote UKIMWI, ninazo

Mkuu Lets Talk Logic..
Ni kweli kabisa Shingles Ni reactivation ya Chickenpox pale kinga ya mwili inaposhuka..

Nataka kukuuliza kitu Kinga ya mwili hushuka hata kwa Mtu mwenye Kisukari na Cancer..

Nataka uniambie Ni mtu gani mwenye cancer au Kisukari umewahi kumuona akiwa na Shingles bila kuwa na HIV??
Mpaka naona lymph nodes zimetokezea mkuu kwenye paja karibu na mapumbu
 
Niliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa.

Nikaona kabisa huu ni ukimwi, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes.

Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.

Muda wote kichwa na misuli inauma nahisi kuchokaaa.
Kapime ni kagonjwa ka kawaida ila kamepewa sana promo
 
Nishawahi kupata dalili kama hizo kwa muda mrefu, mafua yasiokata, kikohozi homa na kupungua uzito
watu wakawa wanasema nikapime labda nimeukwaa

Dawa nyingi nikatumia hapo naogopa kwenda kupima,
Maza akaingia room akasafisha feni yangu vizuri sana, baada ya siku chache nikawa mzima.
Ephen

[emoji3590][emoji3590]
 
Niliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa.

Nikaona kabisa huu ni ukimwi, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes.

Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.

Muda wote kichwa na misuli inauma nahisi kuchokaaa.
Kutopima hakusaidii wewe kupona Maradhi yako. Bora kupima ujijuwe unao Huo Ukimwi au hauna na hata kama unao huo ukimwi dawa ya kutibu huo Ugonjwa ipo nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kukutibia upate kupona maradhi yako uguwa pole.
 
Niliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa.

Nikaona kabisa huu ni ukimwi, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes.

Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.

Muda wote kichwa na misuli inauma nahisi kuchokaaa.
Sasa hapo unaona ujanja ni kukataa kwenda kufanya vipimo? Wakati ni suala la muda tu lazima utakubali tu matokeo kama ukiwa nao? Nenda kapime kama unao na ukakubali hali hiyo utaona tu unaishi kwa amani, na maisha yanaenda
 
Mkuu

Mkuu hii ni case ambayo ninaongelea mimi nina ushuhuda nayo.
Mwaka kama 2018 hivi nilipata hizi shingles, sister wangu mkubwa nikamuonesha akaguna kwanza kisha akasema hii ni herpes zoster. Hapo nina homa kali, vinawaka moto. Nikaenda kwa jamaa yangu daktari ana duka la dawa, kumuonesha akaniambia hizi ni herpes zoster, nikashusha pumzi akaniambia usiogope sio lazima uwe na ngoma, akaniuliza kama kuna dalili zozote za ajabu nikamjibu hakuna ndio vimejitokeza siku ya pili hiv ama ya 3 tena ghafla. Akanipa kipimo tukapima pale pale, majibu fresh, akanipa Acyclovir kama sikosei, nikaenda home kupaka, sikuridhika nikaemda hospital kubwa kwa vipimo zaidi, vipimo fresh, baada ya miezi mi3 nikaenda kupima tena fresh, nikaja pima tena fresh, mpaka naoa nikapim tena, mamsapu akapata KIBENDI kupima tena, majibu ni fresh.
Mkuu Kuna wakati watu (Hata madaktari baadhi) wanachanganya sana kati ya Shingles na magonjwa mengine..

Magonjwa yanayofanana na Shingles
  • Autoimmune blistering disease kama Bullous pemphigoid na Pemphigus vulgaris
  • Herpes simplex virus Type 1 and 2 (HSV-1 and HSV-2)
  • Dermatitis herpetiformis
  • Hata reaction ya kuumwa na wadudu pia
Sasa Nakupa distinguish signs ya shingles ambayo hukuti kwenye Magonjwa hayo yote na yanayofanana nayo ambayo madaktri wengi huioverlook..

Ukiangalia rashes most commonly lazima zionekane kwenye trunk along thoracic dermatome au kwenye uso Na muda wote Rashes hizo huwa hazi cross the body's midline..

Ukiona rashes imecross Midline hiyo hsiwezi kuwa shingles hata kama ina dalili sawa na shingles huenda ikawa Herpes Zingine kama HSV1 AU HSV2

Japo pia hutokea Shingles ila ni rare sana kwa mtu ambaye sio HIV
 
Niliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa.

Nikaona kabisa huu ni ukimwi, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes.

Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.

Muda wote kichwa na misuli inauma nahisi kuchokaaa.

Mkuu dalili hIzo si za ukimwi peke yake. Wahi hospitali magonjwa mengi yana dalili hIzo. Hata ukimwi si kifo. Ukimwi zama za leo watu wanaoa, wanaolewa na kuzaa wakiwa nao.

Ukimwi kama corona Ilikuwa zamani lakini siyo leo ndugu. Kisukari, cancer, pressure na magonjwa lukuki watu wana kunywa dawa milele na wako vizuri.

Ogopa ma dialysis na figo huko, lakini siyo ukimwi.
 
Kwani ukiwa nao shida ni nini??? Tumia dawa na ishi kwa matumaini. Sio kukata tamaa tumeziwa mara moja na tunakufa mara moja.
 
Back
Top Bottom