Nimegugo dalili zote UKIMWI, ninazo

Nimegugo dalili zote UKIMWI, ninazo

Cheki sukari kwanza
Sukari inapunguza mwili kwa haraka kuliko ugonjwa wowote

Ndani wiki tu unakuwa tofaut

Ila kama ile dalili ya kukojoa mara kwa mara unayo
Mkojo unapunguza sana uzito wa mwili
Nakojoa saaana kwa sababu nakunywa maji mengi mpkaa Lita Tano per day
 
Mzee kwa 98% Wote wanaopata Shingles Lazima wana HIV..
Kwanini Imeitwa shingles kwa sababu ni Reactivation ya Chicken pox
Weakened immune system inaweza kusababisha hiyo hali ya kulipuka Kwa Chicken pox, lakini immune system inaweza kuathiriwa na mambo mengine ikiwemo stressful life style. Kila aliyewahi kuugua chicken pox akiyumbishwa immune system kwa namna anaweza kuibukiwa na shingles
 
Hii kauli yako ya 98% napingana nayo , kwa data zipi?, acheni kupanikisha watu, Kwamba asilimia 98 ya watu wote duniani wenye kinga pungufu ni HIV +???.
Umesoma nilichoandika kabla ya kuandika chako..
Neno wote umelitoa wapi..?

Ni hesabu za kiEpidemiologically na Biostaticaly..

nimesema hivi 98% ya wanaopata Shingle wana HIV..

Wewe hiyo ya 98% Ya watu duniami wenye Kinga pungufu wana HIV umeipata wapi?
 
Niliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa.

Nikaona kabisa huu ni ukimwi, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes.

Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.

Muda wote kichwa na misuli inauma nahisi kuchokaaa.
maradhi kwa binadamu ni kawaida hilo ni Lazima ufahamu, na ni ulimbukeni kukata tamaa pasipo sababu 🐒

kula vizuri, lala vizuri, fanya mazoezi pumzika mwili wako, vaa ujasiri ondoa woga, kubali unaweza ugua tayifodi, malaria au UTI ukapata dalili izo izo au ukakonda pia. Usihitimishe unaugua nini mpaka pale utakapopata majibu ya vipimo 🐒

starehe tunazipenda ila mwisho wake ni mbaya 🐒

Hata hivyo ni kwa Neema na Baraka za Mungu tunaishi 🐒
 
Weakened immune system inaweza kusababisha hiyo hali ya kulipuka Kwa Chicken pox, lakini immune system inaweza kuathiriwa na mambo mengine ikiwemo stressful life style. Kila aliyewahi kuugua chicken pox akiyumbishwa immune system kwa namna anaweza kuibukiwa na shingles
Nimeomba Report ya mtu yoyote aliyewahi kuyumbishwa na Mawazo mpaka akaugua Shingles..

Lets leave unlogical skepticism..

Kama kuna mtu anaweza kupinga alete data Kwamba Watu kadhaa waliugua na hawakuwa na HIV tuone kama hawaingii kwenge hiyo 2% niliyoweka ambayo ni Rare sana kwa mtu mwingine kupata..

Reactivation Ya Virus haitokea Simple simple tu mkuu kama unavyo activate Apps kwenye simu baada ya kuwasha Bundle..

Its a process..
And can never occured on a single day or couple...

Na ndo maana Shingles zamani ilikuwa ni stage 3 na 4 ya HIV/AIDS according to WHO Stages 2005 mpaka 2009..

Baadaye ikapelekwa mpaka late stage 2 na Early stage 3..

So its process
 
Kwa ukimwi hapo ni uhakika unao ila kw kukushauri ni bora nusu shari kuliko shari kamili warudishie wanajeshi mkanda wao
 
Niliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa.

Nikaona kabisa huu ni ukimwi, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes.

Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.

Muda wote kichwa na misuli inauma nahisi kuchokaaa.


Utakufa na hayo Mawazo na wala sio ukimwi, ika kuharisha week 2 nayo too much! Umefanya mambo ya vijana ya masihara?
 
Niliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa.

Nikaona kabisa huu ni ukimwi, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes.

Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.

Muda wote kichwa na misuli inauma nahisi kuchokaaa.
Mkuu achana na ishu za ku guglu! Kuugua mkanda wa Jeshi haimaanishi una ngoma. Kuna dogo nilikua naishi nae alidhoofu sana ingawa kila kitu alikua anapatiwa. Najua ni mawazo tu kwa sababu hakuwa na wazazi na kuishi ugenini hakuzoea.
Alipatwa na vipele mbavuni vinatoka mgongoni kuja kifuani. Nilipompeleka hospital, jamaa wakasema huu ni mkanda wa jeshi. Wakautaja kwa kimombo sikumbuki vizuri ni jingoz sijui 😂. Sasa wakaniita pembeni wakasema bana inabidi huyu dogo tumpime na HIV kabisa tujue status.
Lakini baada ya kupima, alikua Negative. So wakamwanzishia dawa. Alipomaliza vile vipele vikauka kabisa. Hivyo vipele vinakua kama Skonzi vile na
Vimejaa maji vinang'aa halafu vinauma. Mpaka sasa hivi dogo amekop mazingira afya safi kabisa.
Kwa hiyo wewe kinachokumaliza ni kuwaza sana mpaka kinga inapungua na kusababisha magonjwa yaanze kuingia kwa urahisi
 
Umesoma nilichoandika kabla ya kuandika chako..
Neno wote umelitoa wapi..

Ni hesabu za kiEpidemiologically na Biostaticaly..

nimesema hivi 98% ya wanaopata Shingle wana HIV..

Wewe hiyo ya 98% Ya watu duniami wenye Kinga pungufu wana HIV umeipata wapi?
Unajikanyaga mwenyewe , nukuu ya maandishi yako;"Mzee kwa 98% Wote wanaopata Shingles Lazima wana HIV."
Hizo hesabu zinazosema ukiwa na shingles una HilIV tupe reference tukatoe ujinga
 
Mkuu wewe anza kula vizuri , fanya mazoezi, mrudie muumba wako.

Then kapime uanze dawa mapema.
Kwani aliwaambia kuwa Hali vzr

Wala Hana ukimwi litakuta linataifod zugu na malari Kali Sasa linajiona linaukimwi


Mwaka 2018 kombela dunia nililam lishangazi kubwa HV kumbe nakuja kuambiwa aana ukimwi na mm nakawaza sna na mbya Zaid nikja pata kikoozi kikubwa aloo nilijuwa kuwa Ni ngoma kuja kupimwa walaaa hkn kitu nimezalisha wanawake waanne na wote wako vzr
 
Niliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa.

Nikaona kabisa huu ni ukimwi, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes.

Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.

Muda wote kichwa na misuli inauma nahisi kuchokaaa.
Ata Kisukari kwa wengine dalili ni hizo hizo acha woga kapime
 
Niliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa.

Nikaona kabisa huu ni ukimwi, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes.

Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.

Muda wote kichwa na misuli inauma nahisi kuchokaaa.
"Wakuu kupima naogopa Vibaya mno"
Hapa ndipo ulipo mtihani wako.. ushinde, ondoa kabisa hofu, kisha pima, pimia ata nyumbani kama unaogopa kwenye vituo.. uki-test positive, unajua nn cha kufanya. Pole sana
 
Sawa nashukuru m
Mkuu Kuna wakati watu (Hata madajari baadhi) wanachanganya sana kati ya Shingles na magonjwa mengine..

Magonjwa yanayofanana na Shingles
  • Autoimmune blistering disease kama Bullous pemphigoid na Pemphigus vulgaris
  • Herpes simplex virus Type 1 and 2 (HSV-1 and HSV-2)
  • Dermatitis herpetiformis
  • Hata reaction ya kuumwa na wadudu pia
Sasa Nakupa distinguish signs ya shingles ambayo hukuti kwenye Magonjwa hayo yote na yanayofanana nayo ambayo madaktri wengi huioverlook..

Ukiangalia rash most commonly lazima zionekane kwenye trunk along thoracic dermatome au kwenye uso Na muda wote Rashes hizo huwa hazi cross the body's midline..

Ukiona rashes imecross Midline hiyo hsiwezi kuwa shingles hata kama ina dalili sawa na shingles huenda ikawa Herpes Zingine kama HSV1 AU HSV2

Japo pia hutokea Shingles ila ni rare sana kwa mtu ambaye sio HIV
Sawa, nashukuru mkuu, wakati ni ukuta, siwezi bisha sana huenda ungejionea mwenyewe ndio ungenieleza kwa utaalamu wako kile kilikuwa ni nini.

Ahsante kwa elimu pia.
 
Back
Top Bottom