Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Miafrika Ndivyo Tulivyo
Kuna ukweli hapo hata wale wanaopinga tiGo huenda ni maalwatani kwenye hayo mambo!
...wale watu wapendao sana kuutetea uzinzi/ uzinifu ni maneno tu na wala si wazinifu kihivyo. Pia wale wapendao kuupiga vita sana ndio wenyewe haswa kwenye hayo mambo.
Unakuta mtu anatembea na mume wa mtu au mke wa mtu lakini Teamo au Aspirin wakiutetea watu hao wanakuwa mstari wa mbele kuulaani huku matendo yao hayalingani na maneno yao ya JF.
Je, huu ni unafiki ama?
...wale watu wapendao sana kuutetea uzinzi/ uzinifu ni maneno tu na wala si wazinifu kihivyo. Pia wale wapendao kuupiga vita sana ndio wenyewe haswa kwenye hayo mambo.
Unakuta mtu anatembea na mume wa mtu au mke wa mtu lakini Teamo au Aspirin wakiutetea watu hao wanakuwa mstari wa mbele kuulaani huku matendo yao hayalingani na maneno yao ya JF.
Je, huu ni unafiki ama?
Mkuu umechakachua mmoja wao nini?...wale watu wapendao sana kuutetea uzinzi/ uzinifu ni maneno tu na wala si wazinifu kihivyo. Pia wale wapendao kuupiga vita sana ndio wenyewe haswa kwenye hayo mambo.
Unakuta mtu anatembea na mume wa mtu au mke wa mtu lakini Teamo au Aspirin wakiutetea watu hao wanakuwa mstari wa mbele kuulaani huku matendo yao hayalingani na maneno yao ya JF.
Je, huu ni unafiki ama?
Khekheeee Masa bana aaaagh.....(btw, nilipita Ushirombo bana....kuna totoz balaa)
Mkuu umechakachua mmoja wao nini?
Kuna ukweli fulani kuhusiana na hii kitu ukikuta mtu anapinga sana kitu basi yenye ndio alwatan wa kufanya hayo anayoyapinga
Kwa hiyo unataja watu waanze kuupigia debe uzinifu, ili waonekane si wazinifu?...wale watu wapendao sana kuutetea uzinzi/ uzinifu ni maneno tu na wala si wazinifu kihivyo. Pia wale wapendao kuupiga vita sana ndio wenyewe haswa kwenye hayo mambo.
Unakuta mtu anatembea na mume wa mtu au mke wa mtu lakini Teamo au Aspirin wakiutetea watu hao wanakuwa mstari wa mbele kuulaani huku matendo yao hayalingani na maneno yao ya JF.
Je, huu ni unafiki ama?
...
Unakuta mtu anatembea na mume wa mtu au mke wa mtu lakini Teamo au Aspirin wakiutetea watu hao wanakuwa mstari wa mbele kuulaani huku matendo yao hayalingani na maneno yao ya JF.
Je, huu ni unafiki ama?
Na inawezekana watajwa hapo juu ni waathirika wakubwa wa kuibiwa wapenzi wao huku wanajifanya ndo ma-infidee wazoefu humu JF :A S-alert1:
Kuna msemo kuwa mwizi hajitaji, nadhani ndo wahusika wanautumia Bwana Mheshimiwa Sana Nyani!
hakika! Inawezekana hao mabwana wanamegewa sana wake zao....:teeth::teeth:
Can't imagine kumwona kamanda aspirin amefura povu likimtoka baada ya kugundua mama matesha anamegwa....(perish the thought)
kwahiyo ina maana Fidel sio muumini wa mtandao? I cant bilivMkuu sidhani kama nikinyume chake hapo