Nimegundu kuwa.....

Nimegundu kuwa.....

Kwa hiyo unataka kuniambia mama watoto wangu anaepiga vita kila siku kuwa kucheat ni jambo baya la la laana ina maana yeye ndio anamegwa ama?
 
Kwa hiyo unataka kuniambia mama watoto wangu anaepiga vita kila siku kuwa kucheat ni jambo baya la la laana ina maana yeye ndio anamegwa ama?

Inawezekana kabisa aisee. Kwani wewe huyo mama watoto wako uko naye 24/7 365/366?
 
...wale watu wapendao sana kuutetea uzinzi/ uzinifu ni maneno tu na wala si wazinifu kihivyo. Pia wale wapendao kuupiga vita sana ndio wenyewe haswa kwenye hayo mambo.

Unakuta mtu anatembea na mume wa mtu au mke wa mtu lakini Teamo au Aspirin wakiutetea watu hao wanakuwa mstari wa mbele kuulaani huku matendo yao hayalingani na maneno yao ya JF.

Je, huu ni unafiki ama?

Nakubaliana na wewe. Kuna demu mmoja tulikuwa tunasoma naye alikuwa na maneno makali huyo sijapata kuona. Alikuwa amtuambia hakuna mwanaume wa kuni-do hapa. Mimi nayajua mambo! Mara najua kufanya hivi mara vile. Mwisho anakushika mkono kama ukimbishia kwa sana anakwambia twende basi ukani***be mbele ya darasa. Alihamia jamaa mmoja hivi kichaa akamsikia sifa zake akaendeleza ubishi na huyu demu. Si siku moja akamwambia twende ukanifanye ka wayajuwa! Jamaa si akashikwa mkono huyooooooo nyuma ya choo. Hakurudi ka siku nyingine na kutamba juwa hawezi! Sisi tuliona kahawa zinapepea jamaa anarudi huku akirekebisha kamptula tabasamu limemjaa usoni. Kumbe demu alikuwa akifika huko hukimbia ile anataka kutoka mkuku jamaa akamdaka mzee. Akashindiliwa kitu! Tangu siku hiyo alikoma kufanya umalaya wa mdomoni.
 
Ndivyo hatakwa wachawi wakubwa na watu wote vinara wa mambo machafu! Machoni pa watu ni watakatifu usipime..........wengine wamefikia hadi kuwekewa mokono ya baraka kwa utakatifu wao wa machoni
 
Hapa JF tunafundishana........... si wanasema "usifwate matendo yangu, fwata maneno yangu"?
wanaopinga hapa na kutupa sababu za kuridhisha kupinga wanatuelimisha, so hatujali kama wao wanafanya
 
Ndivyo hatakwa wachawi wakubwa na watu wote vinara wa mambo machafu! Machoni pa watu ni watakatifu usipime..........wengine wamefikia hadi kuwekewa mokono ya baraka kwa utakatifu wao wa machoni
Mmh! Utakatifu wa machoni>mdomoni
 
Back
Top Bottom