Hardlife
JF-Expert Member
- Apr 11, 2021
- 2,758
- 6,299
Mara nyingi ninapoenda ATM hukuta risiti watu wamesahau pale pakuchukulia risiti. Inasahaulika sana kwakuwa ndiyo ya mwisho.
Pengine kadi nazo zingekuwa za mwisho zingesahaulika sana na ndiyo maana waliset uchukue kadi then pesa.
Sasa nina tabia ya kuangalia salio la ile risiti iliyobaki. Nikiri imekuwa kama tabia yangu na nikijumlisha tangu nianze kuangalia risiti zinazosahaulika tangu nianze kutumia ATM zaidi ya miaka 15 sasa.
Nilizoona ni zaidi ya 300 na kwa hii niliyoiona leo ndiyo nimekuta ina salio kubwa ambalo ni Tsh 1.2m.
Mara nyingi nakuta kati ya 50k mpaka 500k. Watu wengi hatuweki akiba labda kama tunatumia akaunti nyingine.
Pengine kadi nazo zingekuwa za mwisho zingesahaulika sana na ndiyo maana waliset uchukue kadi then pesa.
Sasa nina tabia ya kuangalia salio la ile risiti iliyobaki. Nikiri imekuwa kama tabia yangu na nikijumlisha tangu nianze kuangalia risiti zinazosahaulika tangu nianze kutumia ATM zaidi ya miaka 15 sasa.
Nilizoona ni zaidi ya 300 na kwa hii niliyoiona leo ndiyo nimekuta ina salio kubwa ambalo ni Tsh 1.2m.
Mara nyingi nakuta kati ya 50k mpaka 500k. Watu wengi hatuweki akiba labda kama tunatumia akaunti nyingine.