Nimegundua akaunti za wadada ndio zina fedha nyingi hapa ofisini

Nimegundua akaunti za wadada ndio zina fedha nyingi hapa ofisini

mwanamabadiliko

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2010
Posts
938
Reaction score
1,540
Watanzania wengi hawana utamaduni wa kutunza pesa, Wazungu wanaita saving, imefika wakati Yani mtu akisimama kazi ndani ya wiki mbili anaanza kuomba msaada wakati amefanya kazi kwa muda mrefu sana.

Ni vema kila unapopata mshahara basi angalau asilimia 30 kafiche mahali, watumishi wa umma Wana huu ugonjwa wa kutofanya savings, Ila angalau wafanyabiashara wanajitahidi.

Sasa nimechunguza Maofisi mengi ya serikali account zinazomilikiwa Na wanawake Zina fedha nyingi kuliko zile za wanaume ndani ya ofisi moja. Imefika mpaka mahali secretary ana mpunga mwingi bank kuliko Meneja, Hawa kinamama cjui wanatumia uchawi.

Watanzania hasa waajiriwa tujijengee utamaduni wa kutunza pesa, sio mshahara ukitoka unakula wote
 
Wana mshahara...

wana uchumi wameukalia, na wanautumia!

wanadanga..

Hawalipi bills za nyumbani wala Transport

sasa mwanaume yeye ana mshahara pekeake na analipa bills kibao, unategemea usawa hapo?
 
Wana mshahara...

wana uchumi wameukalia, na wanautumia!

wanadanga..

Hawalipi bills za nyumbani wala Transport

sasa mwanaume yeye ana mshahara pekeake na analipa bills kibao, unategemea usawa hapo?
kwa kimombo tunasema wantumia ujuzi "kati kati ya miguu"
NO OFFENCE
 
Kiufupi wanawake huwa wanahela nyingi sana. Hata kwenye uwakala wa simu. Miamala ya pesa nyingi ni ya wanawake. Ila mpaka leo sijui wanawake pesa zao zinaenda wapi?



Dada mmoja nilimuuliza anasema pesa zinaishia kwenye nguo kali, simu kali, sherehe, mapochi, saluni, viatu, madawa ya kuongeza shepu na vipodozi



Kuna dada mmoja ametunza hela toka mwaka juzi mwaka huu kaenda uturuki kufanya upasuaji wa shepu kama dola 8000 hicilHDsjsjdhdjwalvi zake. Naona hizo ndio ndoto zake zimetimia
 
Kiufupi wanawake huwa wanahela nyingi sana. Hata kwenye uwakala wa simu. Miamala ya pesa nyingi ni ya wanawake. Ila mpaka leo sijui wanawake pesa zao zinaenda wapi?



Dada mmoja nilimuuliza anasema pesa zinaishia kwenye nguo kali, simu kali, sherehe, mapochi, saluni, viatu, madawa ya kuongeza shepu na vipodozi



Kuna dada mmoja ametunza hela toka mwaka juzi mwaka huu kaenda uturuki kufanya upasuaji wa shepu kama dola 8000 hicillvi. Naona hizo ndio ndoto zake zimetimia
Wadada kiboko ni urembo tu
 
Watanzania wengi hawana utamaduni wa kutunza pesa, Wazungu wanaita saving, imefika wakati Yani mtu akisimama kazi ndani ya wiki mbili anaanza kuomba msaada wakati amefanya kazi kwa muda mrefu sana.

Ni vema kila unapopata mshahara basi angalau asilimia 30 kafiche mahali, watumishi wa umma Wana huu ugonjwa wa kutofanya savings, Ila angalau wafanyabiashara wanajitahidi.

Sasa nimechunguza Maofisi mengi ya serikali account zinazomilikiwa Na wanawake Zina fedha nyingi kuliko zile za wanaume ndani ya ofisi moja. Imefika mpaka mahali secretary ana mpunga mwingi bank kuliko Meneja, Hawa kinamama cjui wanatumia uchawi.

Watanzania hasa waajiriwa tujijengee utamaduni wa kutunza pesa, sio mshahara ukitoka unakula wote
Hawana majukumu
 
Watanzania wengi hawana utamaduni wa kutunza pesa, Wazungu wanaita saving, imefika wakati Yani mtu akisimama kazi ndani ya wiki mbili anaanza kuomba msaada wakati amefanya kazi kwa muda mrefu sana.

Ni vema kila unapopata mshahara basi angalau asilimia 30 kafiche mahali, watumishi wa umma Wana huu ugonjwa wa kutofanya savings, Ila angalau wafanyabiashara wanajitahidi.

Sasa nimechunguza Maofisi mengi ya serikali account zinazomilikiwa Na wanawake Zina fedha nyingi kuliko zile za wanaume ndani ya ofisi moja. Imefika mpaka mahali secretary ana mpunga mwingi bank kuliko Meneja, Hawa kinamama cjui wanatumia uchawi.

Watanzania hasa waajiriwa tujijengee utamaduni wa kutunza pesa, sio mshahara ukitoka unakula wote

Hela ya mwanamke ni ya kwake yeye, ya mwanaume ni yenu wote, jua hilo..
 
wanakusanya huku na kule na kuziweka pamoja..
 
Most of them tunawalipia bills , huku mtaani mwanamke kaolewa ana mshahara hata kununua pedi hawezi anategemea mumewe
 
Moja ya sababu ni kwamba Mwanamke anahudumiwa (wengi wao) so pesa yake haina kazi muda mwingi,wao wanatolewa lunch,Dinner
simu tunawanulia na kodi ya pango tunalipa hivo inabidi ulizingatie hili kama sababu moja wapo
Pia hela yao wakijinunulia kitu cha gharama roho inawauma!!
 
Watanzania wengi hawana utamaduni wa kutunza pesa, Wazungu wanaita saving, imefika wakati Yani mtu akisimama kazi ndani ya wiki mbili anaanza kuomba msaada wakati amefanya kazi kwa muda mrefu sana.

Ni vema kila unapopata mshahara basi angalau asilimia 30 kafiche mahali, watumishi wa umma Wana huu ugonjwa wa kutofanya savings, Ila angalau wafanyabiashara wanajitahidi.

Sasa nimechunguza Maofisi mengi ya serikali account zinazomilikiwa Na wanawake Zina fedha nyingi kuliko zile za wanaume ndani ya ofisi moja. Imefika mpaka mahali secretary ana mpunga mwingi bank kuliko Meneja, Hawa kinamama cjui wanatumia uchawi.

Watanzania hasa waajiriwa tujijengee utamaduni wa kutunza pesa, sio mshahara ukitoka unakula wote
Pesa chafu hizo za poter potty
 
Maofisi ikitokea michango fulani fulani wana lipiwa so hela yao hawaigusi.
Unasikia tuu Vero mbona sijaona jina lako kwenye mkeka? anajibu sina hela analipiwa.
 
Back
Top Bottom