Nimegundua akaunti za wadada ndio zina fedha nyingi hapa ofisini

Nimegundua akaunti za wadada ndio zina fedha nyingi hapa ofisini

Kamwe usishindane na nguvu ya kike, huo ndio ushauri wangu kwa vijana.
 
umenikumbusha wimbo wa Alphonsus Cassell (Arrow) unaitwa "bills"
 
Kiufupi wanawake huwa wanahela nyingi sana. Hata kwenye uwakala wa simu. Miamala ya pesa nyingi ni ya wanawake. Ila mpaka leo sijui wanawake pesa zao zinaenda wapi?



Dada mmoja nilimuuliza anasema pesa zinaishia kwenye nguo kali, simu kali, sherehe, mapochi, saluni, viatu, madawa ya kuongeza shepu na vipodozi



Kuna dada mmoja ametunza hela toka mwaka juzi mwaka huu kaenda uturuki kufanya upasuaji wa shepu kama dola 8000 hicilHDsjsjdhdjwalvi zake. Naona hizo ndio ndoto zake zimetimia
Hela yote hiyo akaenda kutengeneze shape kabisaaa?
Kweli tunatifautiana.
Na shepu yangu hii ya kabati sijafanya huo upuuzi bado.
Niache kufanya uwekezaji nikatengeneze shapu kweli na Mungu anilaani nikifanya hivyo.
Watu hawaangalii maisha ya baadae.
Bado hapo ukute shape lenyewe katengenezea huko uchochoroni wala sio kwa professional halafu baadae aanze kulia lia linamletea matatizo na kumchangia tumchangie.
 
Back
Top Bottom