Nimegundua hata wakiungana ni vigumu mno kuishinda CCM-2025

Nimegundua hata wakiungana ni vigumu mno kuishinda CCM-2025

Wewe subiri tutakukumbusha.
Mfano, kura halali pekee;

CCM wakapata 51%

CHADEMA wakapata 32%

ACT wazalendo wakapata 5%

CUF wakapata 3%

NCCR-Mageuzi wakapata 2%

vyama vingine vyote vilivyobaki wakapata 7%

Nilihisi wakiungana wataishinda CCM kirahisi kumbe lah... Labda miaka mingi ijayo.....
 
Back
Top Bottom