GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
1. Nguvu yao kubwa Watanzania kupenda ( kushadadia ) sana Umbea na Mambo ya Kingumbaru ( Kijinga ) na Kipopoma ( Kipumbavu ) wangeiwekeza zaidi katika Kupenda kulipa Kodi Vizazi kwa Vizazi wala lawama hizi zisingekuwepo.
2. Ule muda mrefu ambao Watanzania waliutumia Kumjadili sana Diamond na Tuzo yake ya BET Kisha Mzee Mpili wa Yanga SC wangeutumia katika Kupitia Bajeti ya nchi, Kuichambua kila Kipengele na Kuielewa vyema Wala hizi lawama tusingezisikia leo Siku ya Tatu ( 3 ) sasa.
Hata katika Vitabu vya Kidini ( Imani ) Suala la ulipaji Kodi limehimizwa mno tu na ni Wajibu wa kila Binadamu ( Mtu ) anayepumua ili Maendeleo yaweze kupatikana.
Mnataka Tanzania iwe kama Marekani, Uingereza na Dubai Kimaendeleo halafu mkiwekewa Kodi mbalimbali mnaanza Kulalama tu wakati ukweli ni kwamba Watanzania wengi tunajuana kwa Matumizi mabaya ya Pesa zetu kwa Mambo ya Kipuuzi Kipuuzi tu ila tukiwekewa Kodi tunaona tunaonewa.
Mmeshaambiwa kuwa hii ni Tozo ya Kodi ya Kizalendo ambapo Serikali imebuni chanzo chake cha Mapato zaidi na hatimaye imekipata katika Mitandao ya Simu tatizo liko wapi?
Kuna Watu mnataka mwakani muongezewe Mishahara ( na mmeshahaidiwa mtaongezewa ) hivi mnadhani bila 'Mama' kuja na Ubunifu wake huu hizo Pesa za Mishahara yenu mnataka azitoe Kijijini Kwake Unguja?
Wakati akina GENTAMYCINE na wengineo ( wenye Akili na Maono ) kila Siku tunawaambieni kuwa Meli ya aina Moja inayoongozwa na Manahodha tofauti tofauti tokea iundwe mwaka 1977 sasa inaenda 'Kutuzamisha' katika Mkondo wa Nungwi si mlikuwa hamtuelewi? Sasa tutaelewana tu Kudadadeki zenu.
Lipeni ( tulipeni ) Kodi tuacheni 'blah blah' japo nailaumu sana Serikali ya CCM chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuweka Kiwango kidogo hiki cha Tozo kwani Mimi GENTAMYCINE nilitamani ili Watanzania tunyooke na tunyooshwe vizuri ingekuwa ukitoa Tsh 10,000/ Basi ukatwe Tsh 6,000/ na ukitoa Tsh 100,000/ ukatwe Tsh 75,000/ huku ikiwezekana ungekuwa ukitoa Tsh 1,000,000/ Basi ukatwe Tsh 800,000/ naamini hapa Akili zetu Watanzania zingeamka na kutukaa sawa kabisa.
Katika hili nina Furaha kubwa sana tu.
2. Ule muda mrefu ambao Watanzania waliutumia Kumjadili sana Diamond na Tuzo yake ya BET Kisha Mzee Mpili wa Yanga SC wangeutumia katika Kupitia Bajeti ya nchi, Kuichambua kila Kipengele na Kuielewa vyema Wala hizi lawama tusingezisikia leo Siku ya Tatu ( 3 ) sasa.
Hata katika Vitabu vya Kidini ( Imani ) Suala la ulipaji Kodi limehimizwa mno tu na ni Wajibu wa kila Binadamu ( Mtu ) anayepumua ili Maendeleo yaweze kupatikana.
Mnataka Tanzania iwe kama Marekani, Uingereza na Dubai Kimaendeleo halafu mkiwekewa Kodi mbalimbali mnaanza Kulalama tu wakati ukweli ni kwamba Watanzania wengi tunajuana kwa Matumizi mabaya ya Pesa zetu kwa Mambo ya Kipuuzi Kipuuzi tu ila tukiwekewa Kodi tunaona tunaonewa.
Mmeshaambiwa kuwa hii ni Tozo ya Kodi ya Kizalendo ambapo Serikali imebuni chanzo chake cha Mapato zaidi na hatimaye imekipata katika Mitandao ya Simu tatizo liko wapi?
Kuna Watu mnataka mwakani muongezewe Mishahara ( na mmeshahaidiwa mtaongezewa ) hivi mnadhani bila 'Mama' kuja na Ubunifu wake huu hizo Pesa za Mishahara yenu mnataka azitoe Kijijini Kwake Unguja?
Wakati akina GENTAMYCINE na wengineo ( wenye Akili na Maono ) kila Siku tunawaambieni kuwa Meli ya aina Moja inayoongozwa na Manahodha tofauti tofauti tokea iundwe mwaka 1977 sasa inaenda 'Kutuzamisha' katika Mkondo wa Nungwi si mlikuwa hamtuelewi? Sasa tutaelewana tu Kudadadeki zenu.
Lipeni ( tulipeni ) Kodi tuacheni 'blah blah' japo nailaumu sana Serikali ya CCM chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuweka Kiwango kidogo hiki cha Tozo kwani Mimi GENTAMYCINE nilitamani ili Watanzania tunyooke na tunyooshwe vizuri ingekuwa ukitoa Tsh 10,000/ Basi ukatwe Tsh 6,000/ na ukitoa Tsh 100,000/ ukatwe Tsh 75,000/ huku ikiwezekana ungekuwa ukitoa Tsh 1,000,000/ Basi ukatwe Tsh 800,000/ naamini hapa Akili zetu Watanzania zingeamka na kutukaa sawa kabisa.
Katika hili nina Furaha kubwa sana tu.