REALITY
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 4,313
- 1,852
- Thread starter
- #61
nimesummarize vitabu 30 na uelewa wangu kwa point hizo ,ukisema uandike hakuna mtu wa kusoma na kama wapo ni wachacheUmeandika facts na Fallacies humohumo
Ushawahi kuona kitu chochote suspicious angani kwa ufahamu wako ukaona kuna something weird about it labda taswira,chombo,kiumbe,mwanga and so