Nimegundua haya

Nimegundua haya

ivi kwani watu walio okoka hawafi.? alafu wew umewahi kuishi kiroho.? sema mtupanga mtupige visadaka tu hakuna lolote
mwanadamu ni roho, hiyo ndiyo itakayohukumiwa, mwili huu ni mavumbi tu, hivyo hata mwili huu ukifa roho huwa haifi, huwa inaenda mahali pale unapostahili,kama ulimpa Yesu Maisha utaenda mbinguni kama haukumpa Yesu maisha ni motoni. Nakushuhudia hii leo kwamba, mimi sio mchungaji, wala nabii wala yeyote, ni mtu wa kawaida kabisa, ila Mungu amenifanya niyasema yale ambayo yatawafanya wengi wapone, ni sauti ya Mungu, anaweza kutumia yeyote hata mtu asiyefaa kama mimi, mtu aliyehurumiwa kama mimi, mtu aliyekuwa mwenye dhambi, aliyekuwa mzinzi, aliyekuwa zurumati aliyekuwa wa ajabu ajabu kama mimi, ananitumia kuwaletea hii habari njema.

ya kwamba Yesu Kristo alikufa akalipa garama ya dhambi na ukombozi kwa ujumla kwa mwanadamu, akaweka hiari mbele yetu, ukitaka kupona mwamini na kabidhi maisha kwa Yesu aliyelipa deni la dhambi sasa, na kama hautaki, ni hari yako, baki katika dhambi ila kuna siku atakuwa kuihukumu hii dunia, watu wataungua moto.

wale waliopotosha wengi wataungua moto pia, manabii wa uongo mliosababisha hadi watu hawaokoki kwa sababu ya utapeli wenu, mtakunywa kikombe cha haki sawasawa na yale mliyoyatenda. pia hata ninyi mnaolisikia sauti ya wokovu na mnakuwa na mioyo migumu, hamtakuwa na la kujitetea kwasababu mlishasikia mkakataa kwa kisingizio ati wapo manabii wa uongo duniani. sasa manabii wa uongo hata Yesu alisema watakuwepo, kwahiyo unataka ukaungue moto pamoja nao au wewe unataka uokoke binafsi? mimi sihitaji sadaka, huwa sipokei sadaka, sina kanisa sina chochote, ila ujumbe huu nashukuru kwamba umekufikia na nimenawa mikono. unamhitaji Mungu zaidi ya vile unavyoelewa, usisubiri upate shida ndio umrudie, sasahivi wakati amekujalia uzima mrudie yeye, muda ungalipo,nafasi ingalipo. ukiona mtumishi yeyote amefanya dhambi, usimfuate yeye fuata Neno la Mungu kwasababu kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe, wewe utabeba wa kwako, na manabii wa kwao, ila Neno la Mungu linakutaka uokoke, mpe Yesu Maisha ili upone hukumu ya milele. Mungu akusaidie.
 
Haujajibu swali langu la msingi unazidi kuleta hoja ambazo huenda zikaongeza maswali to infinity...; Swali langu la msingi ni kama Spirits have always existed na kinachofanyika ni kubadilisha tu vehicles (bodies) iweje hizo bodies zinaongezeka kuliko kabla sababu zingekuwa ni zile zile za kutosheleza spirits hakuna haja ya kuziongeza..., na kama watu wakikosa wanakuja kama wadudu basi makosa yamepungua sababu binadamu tunaongezeka...
Jibu simple kwenye andiko lake kasema sio Kila mwili una roho ya Binadamu wengine ni Alliens na Draconian

Hivyo basi hiyo population duniani inajazwa pia na hao
 
Jibu simple kwenye andiko lake kasema sio Kila mwili una roho ya Binadamu wengine ni Alliens na Draconian

Hivyo basi hiyo population duniani inajazwa pia na hao
Hao Aliens na Draconian walianza jana au since day one ?

Kama walianza since day one basi set kuanzia mwanzo ilikuwa na constant number sababu wanaobadilika na wanaochukua vehicles ni walewale kama kuanzia siku ya kwanza mpo ishirini kila mmoja anahitaji suti moja moja hata kama mmoja yupo Dar mwingine Mwanza na wengine Ulaya na kabati la suti lipo Bukoba haimaanishi hizo suti zitakuwa zinaongezeka sababu wavaaji hawaongezeki ni wanabadilishana tu suti au kukaa uchi (at maximum suti zitaendelea kuwa 20)
 
Kwenye technology nakubaliana nae, hivi unajua mpaka sasa hakuna mashine inayoweza kutoboa au kuchonga jiwe Kwa ufanisi!
Namba 3,na namba 13 zimenijulisha kuwa wewe ni mgonjwa wa akili kabisa,Shigongo alikuwa sahihi aliposema Bungeni kuwa Watanzania wengi wanaumwa ugonjwa wa akili kwa sababu ya maisha magumu
 
Habari wakuu

1. Binadamu hawafi, miili ndo hufika mwisho kuoperate

2. Sisi ni immortals/spiritual beings hatufii

3. Hakuna motoni wala mbinguni

4. Sio kila mwenye mwili wa mtu ni binadamu,wengine ni chitauli/aliens na wengine mijusi/reptilia

5. Tunaishi kwenye duara la maisha,tukitoka kwenye miili iliyokufa tunarudi tena kwenye miili inayozaliwa,tunafutwa kumbukumbu na roho kama sisi zenye ufahamu kubwa ambazo hazina upendo na hekima,kituo chao kimoja duniani kipo chini ya mlima ruwenzori

6. Kila mtu ni mchawi sema hajui kuutumia au kuuamsha na uwe mbaya au mzuri ni uamuzi wako

7. Vitabu vyote vya dini vimetokea mashariki ya kati ni vimeandikwa na wakufunzi wa shule za ajabu za misri/kemeti wenye kabila la levi/wayahudi wa zamani

8. Sisi tumetokea kwenye utupu mkuu kama roho ila miili tuliiumba kama majaribio ,kuna muda tuliiva tukashindwa kujitoa

9. Dunia ni jela ya roho za ulimwengu mwingine ambazo hukaa ndani ya miili maisha yao yote kutoka kwa maiti na kurudi kwa vichanga

10. Wazungu ni breed ya watoto wa chitauli na mwanamke wa kiafrika

11. DNA zote za wanawake duniani zina link africa

12. Tumechanganyiwa DNA ndo maana hatujui tumetoka wapi,kwanini tupo hapa na tunaelekea wapi

13. Tulikuwa na teknologia mara 1000 ya sasa,hatukuwa nyani wala hatukuumbwa na Mungu.

14. Mungu maana yake ''aliyeshuka toka angani'',ndio asili ya neno hilo wakimaanisha kiumbe wa ajabu mwenye uwezo wa kuua na kufufua,kuumba na kupoteza mf.chitauli,draco na wengine

15. Tunajua kila kitu ila tumefumbwa ufahamu,kila tunapotoka kwenye maiti tunafutwa kumbukumbu na kurudi tena japo bado duniani pia si kwetu.

16. Ukifa ukiona mwanga usielekee huko nenda upande wenye giza ndipo utajitoa kwenye hili gereza,ukifata mwanga utanasa kwenye neti za roho za kufuta memory na utarudi

Wewe je
Mkuu,
Hizi narratives bila rejea yoyote inakuwa kama riwaya ya kufikirika.
Au haya ni mafundisho ya dini fulani?!
 
Habari wakuu
1. Binadamu hawafi ,miili ndo hufika mwisho kuoperate

2. Sisi ni immortals/spiritual beings hatufii

3. Hakuna motoni wala mbinguni

4. Sio kila mwenye mwili wa mtu ni binadamu,wengine ni chitauli/aliens na wengine mijusi/reptilia

5. Tunaishi kwenye duara la maisha,tukitoka kwenye miili iliyokufa tunarudi tena kwenye miili inayozaliwa,tunafutwa kumbukumbu na roho kama sisi zenye ufahamu kubwa ambazo hazina upendo na hekima,kituo chao kimoja duniani kipo chini ya mlima ruwenzori

6. Kila mtu ni mchawi sema hajui kuutumia au kuuamsha na uwe mbaya au mzuri ni uamuzi wako

7. Vitabu vyote vya dini vimetokea mashariki ya kati ni vimeandikwa na wakufunzi wa shule za ajabu za misri/kemeti wenye kabila la levi/wayahudi wa zamani

8. Sisi tumetokea kwenye utupu mkuu kama roho ila miili tuliiumba kama majaribio ,kuna muda tuliiva tukashindwa kujitoa

9. Dunia ni jela ya roho za ulimwengu mwingine ambazo hukaa ndani ya miili maisha yao yote kutoka kwa maiti na kurudi kwa vichanga

10. Wazungu ni breed ya watoto wa chitauli na mwanamke wa kiafrika

11. DNA zote za wanawake duniani zina link africa

12. Tumechanganyiwa DNA ndo maana hatujui tumetoka wapi,kwanini tupo hapa na tunaelekea wapi

13. Tulikuwa na teknologia mara 1000 ya sasa,hatukuwa nyani wala hatukuumbwa na Mungu.

14. Mungu maana yake ''aliyeshuka toka angani'',ndio asili ya neno hilo wakimaanisha kiumbe wa ajabu mwenye uwezo wa kuua na kufufua,kuumba na kupoteza mf.chitauli,draco na wengine

15. Tunajua kila kitu ila tumefumbwa ufahamu,kila tunapotoka kwenye maiti tunafutwa kumbukumbu na kurudi tena japo bado duniani pia si kwetu.

16. Ukifa ukiona mwanga usielekee huko nenda upande wenye giza ndipo utajitoa kwenye hili gereza,ukifata mwanga utanasa kwenye neti za roho za kufuta memory na utarudi

Wewe je
Nonsense
 
😂😂😂😂😂
Yàaan mada nzuri sana mkuu.
Ila ulipoanza kuandika mambo ya ruwenzoli tuu mara kitovu daah
 
Habari wakuu

1. Binadamu hawafi, miili ndo hufika mwisho kuoperate

2. Sisi ni immortals/spiritual beings hatufii

3. Hakuna motoni wala mbinguni

4. Sio kila mwenye mwili wa mtu ni binadamu,wengine ni chitauli/aliens na wengine mijusi/reptilia

5. Tunaishi kwenye duara la maisha,tukitoka kwenye miili iliyokufa tunarudi tena kwenye miili inayozaliwa,tunafutwa kumbukumbu na roho kama sisi zenye ufahamu kubwa ambazo hazina upendo na hekima,kituo chao kimoja duniani kipo chini ya mlima ruwenzori

6. Kila mtu ni mchawi sema hajui kuutumia au kuuamsha na uwe mbaya au mzuri ni uamuzi wako

7. Vitabu vyote vya dini vimetokea mashariki ya kati ni vimeandikwa na wakufunzi wa shule za ajabu za misri/kemeti wenye kabila la levi/wayahudi wa zamani

8. Sisi tumetokea kwenye utupu mkuu kama roho ila miili tuliiumba kama majaribio ,kuna muda tuliiva tukashindwa kujitoa

9. Dunia ni jela ya roho za ulimwengu mwingine ambazo hukaa ndani ya miili maisha yao yote kutoka kwa maiti na kurudi kwa vichanga

10. Wazungu ni breed ya watoto wa chitauli na mwanamke wa kiafrika

11. DNA zote za wanawake duniani zina link africa

12. Tumechanganyiwa DNA ndo maana hatujui tumetoka wapi,kwanini tupo hapa na tunaelekea wapi

13. Tulikuwa na teknologia mara 1000 ya sasa,hatukuwa nyani wala hatukuumbwa na Mungu.

14. Mungu maana yake ''aliyeshuka toka angani'',ndio asili ya neno hilo wakimaanisha kiumbe wa ajabu mwenye uwezo wa kuua na kufufua,kuumba na kupoteza mf.chitauli,draco na wengine

15. Tunajua kila kitu ila tumefumbwa ufahamu,kila tunapotoka kwenye maiti tunafutwa kumbukumbu na kurudi tena japo bado duniani pia si kwetu.

16. Ukifa ukiona mwanga usielekee huko nenda upande wenye giza ndipo utajitoa kwenye hili gereza,ukifata mwanga utanasa kwenye neti za roho za kufuta memory na utarudi

Wewe je
umegunduaje mkuu
acha ujinga mkuu 😆 😆 😆
 
Vehicles kila siku zinaletwa toka mahospitalini zikiwa new,na spirits kila siku zinaacha vehicles zinarudi amnesia camp na kurudi kwenye circle again.

Ukiacha hizi center za amnesia ambazo zinateka roho na kufuta kumbukumbu na kuzirudisha kuvaa miili na kuanza moja,kuna sayari zingine zinakuja spirits zingine kuexperience ''what is it to be in body'' na zingine pia huletwa kama wafungwa waliokosea kwenye dimensions zao.

Dunia ni dimension moja yapo kati ya nyingi ambazo pengine hatuzikumbuki maana tulikuwa wiped memory.mf
Dunia ikiwa kwenye dimension ya 97.7fm jua kuna dimension ingine ipo katika 100.2fm zote zina spirits/lifeforms hazijuani ila zinabroadcast kwahiyo ukitaka kwenda kwenye station ingine lazime utoke kwenye
Ilikuaje ukabaki na kumbukumbu zako ulipofariki ukazaliwa tena mpaka unayajua haya?
Au na huko huwa kuna itilafu kama tulivyo na mgao wa umeme kwamba wakati wa kufuta kumbukumbu zako mashine kiwandani ilifeli?
 
Habari wakuu

1. Binadamu hawafi, miili ndo hufika mwisho kuoperate

2. Sisi ni immortals/spiritual beings hatufii

3. Hakuna motoni wala mbinguni

4. Sio kila mwenye mwili wa mtu ni binadamu,wengine ni chitauli/aliens na wengine mijusi/reptilia

5. Tunaishi kwenye duara la maisha,tukitoka kwenye miili iliyokufa tunarudi tena kwenye miili inayozaliwa,tunafutwa kumbukumbu na roho kama sisi zenye ufahamu kubwa ambazo hazina upendo na hekima,kituo chao kimoja duniani kipo chini ya mlima ruwenzori

6. Kila mtu ni mchawi sema hajui kuutumia au kuuamsha na uwe mbaya au mzuri ni uamuzi wako

7. Vitabu vyote vya dini vimetokea mashariki ya kati ni vimeandikwa na wakufunzi wa shule za ajabu za misri/kemeti wenye kabila la levi/wayahudi wa zamani

8. Sisi tumetokea kwenye utupu mkuu kama roho ila miili tuliiumba kama majaribio ,kuna muda tuliiva tukashindwa kujitoa

9. Dunia ni jela ya roho za ulimwengu mwingine ambazo hukaa ndani ya miili maisha yao yote kutoka kwa maiti na kurudi kwa vichanga

10. Wazungu ni breed ya watoto wa chitauli na mwanamke wa kiafrika

11. DNA zote za wanawake duniani zina link africa

12. Tumechanganyiwa DNA ndo maana hatujui tumetoka wapi,kwanini tupo hapa na tunaelekea wapi

13. Tulikuwa na teknologia mara 1000 ya sasa,hatukuwa nyani wala hatukuumbwa na Mungu.

14. Mungu maana yake ''aliyeshuka toka angani'',ndio asili ya neno hilo wakimaanisha kiumbe wa ajabu mwenye uwezo wa kuua na kufufua,kuumba na kupoteza mf.chitauli,draco na wengine

15. Tunajua kila kitu ila tumefumbwa ufahamu,kila tunapotoka kwenye maiti tunafutwa kumbukumbu na kurudi tena japo bado duniani pia si kwetu.

16. Ukifa ukiona mwanga usielekee huko nenda upande wenye giza ndipo utajitoa kwenye hili gereza,ukifata mwanga utanasa kwenye neti za roho za kufuta memory na utarudi

Wewe je
Unazingua. Big time . Hii elimu umeitoa wapi?
 
Habari wakuu

1. Binadamu hawafi, miili ndo hufika mwisho kuoperate

2. Sisi ni immortals/spiritual beings hatufii

3. Hakuna motoni wala mbinguni

4. Sio kila mwenye mwili wa mtu ni binadamu,wengine ni chitauli/aliens na wengine mijusi/reptilia

5. Tunaishi kwenye duara la maisha,tukitoka kwenye miili iliyokufa tunarudi tena kwenye miili inayozaliwa,tunafutwa kumbukumbu na roho kama sisi zenye ufahamu kubwa ambazo hazina upendo na hekima,kituo chao kimoja duniani kipo chini ya mlima ruwenzori

6. Kila mtu ni mchawi sema hajui kuutumia au kuuamsha na uwe mbaya au mzuri ni uamuzi wako

7. Vitabu vyote vya dini vimetokea mashariki ya kati ni vimeandikwa na wakufunzi wa shule za ajabu za misri/kemeti wenye kabila la levi/wayahudi wa zamani

8. Sisi tumetokea kwenye utupu mkuu kama roho ila miili tuliiumba kama majaribio ,kuna muda tuliiva tukashindwa kujitoa

9. Dunia ni jela ya roho za ulimwengu mwingine ambazo hukaa ndani ya miili maisha yao yote kutoka kwa maiti na kurudi kwa vichanga

10. Wazungu ni breed ya watoto wa chitauli na mwanamke wa kiafrika

11. DNA zote za wanawake duniani zina link africa

12. Tumechanganyiwa DNA ndo maana hatujui tumetoka wapi,kwanini tupo hapa na tunaelekea wapi

13. Tulikuwa na teknologia mara 1000 ya sasa,hatukuwa nyani wala hatukuumbwa na Mungu.

14. Mungu maana yake ''aliyeshuka toka angani'',ndio asili ya neno hilo wakimaanisha kiumbe wa ajabu mwenye uwezo wa kuua na kufufua,kuumba na kupoteza mf.chitauli,draco na wengine

15. Tunajua kila kitu ila tumefumbwa ufahamu,kila tunapotoka kwenye maiti tunafutwa kumbukumbu na kurudi tena japo bado duniani pia si kwetu.

16. Ukifa ukiona mwanga usielekee huko nenda upande wenye giza ndipo utajitoa kwenye hili gereza,ukifata mwanga utanasa kwenye neti za roho za kufuta memory na utarudi

Wewe je
Kwenye point yako ya 15 ni nan aliyetufumba uo ufahamu
 
AI yenyewe inasema binadam ni scams
Hii inaitwa cyclic redundancy error
Unatengeneza sanamu ambayo unaitaka ikuelezee wewe ni nani!
Natural law inayofanya kazi hapa ni kwamba the creature cannot create the creator
 
mwanadamu ni roho, hiyo ndiyo itakayohukumiwa, mwili huu ni mavumbi tu, hivyo hata mwili huu ukifa roho huwa haifi, huwa inaenda mahali pale unapostahili,kama ulimpa Yesu Maisha utaenda mbinguni kama haukumpa Yesu maisha ni motoni. Nakushuhudia hii leo kwamba, mimi sio mchungaji, wala nabii wala yeyote, ni mtu wa kawaida kabisa, ila Mungu amenifanya niyasema yale ambayo yatawafanya wengi wapone, ni sauti ya Mungu, anaweza kutumia yeyote hata mtu asiyefaa kama mimi, mtu aliyehurumiwa kama mimi, mtu aliyekuwa mwenye dhambi, aliyekuwa mzinzi, aliyekuwa zurumati aliyekuwa wa ajabu ajabu kama mimi, ananitumia kuwaletea hii habari njema.

ya kwamba Yesu Kristo alikufa akalipa garama ya dhambi na ukombozi kwa ujumla kwa mwanadamu, akaweka hiari mbele yetu, ukitaka kupona mwamini na kabidhi maisha kwa Yesu aliyelipa deni la dhambi sasa, na kama hautaki, ni hari yako, baki katika dhambi ila kuna siku atakuwa kuihukumu hii dunia, watu wataungua moto.

wale waliopotosha wengi wataungua moto pia, manabii wa uongo mliosababisha hadi watu hawaokoki kwa sababu ya utapeli wenu, mtakunywa kikombe cha haki sawasawa na yale mliyoyatenda. pia hata ninyi mnaolisikia sauti ya wokovu na mnakuwa na mioyo migumu, hamtakuwa na la kujitetea kwasababu mlishasikia mkakataa kwa kisingizio ati wapo manabii wa uongo duniani. sasa manabii wa uongo hata Yesu alisema watakuwepo, kwahiyo unataka ukaungue moto pamoja nao au wewe unataka uokoke binafsi? mimi sihitaji sadaka, huwa sipokei sadaka, sina kanisa sina chochote, ila ujumbe huu nashukuru kwamba umekufikia na nimenawa mikono. unamhitaji Mungu zaidi ya vile unavyoelewa, usisubiri upate shida ndio umrudie, sasahivi wakati amekujalia uzima mrudie yeye, muda ungalipo,nafasi ingalipo. ukiona mtumishi yeyote amefanya dhambi, usimfuate yeye fuata Neno la Mungu kwasababu kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe, wewe utabeba wa kwako, na manabii wa kwao, ila Neno la Mungu linakutaka uokoke, mpe Yesu Maisha ili upone hukumu ya milele. Mungu akusaidie.
Kwenye kilugha chetu kuna msemo huwa una maanisha maneno haya kwa Kiswahli kwamba
........"chochote kile ambacho kinaweza kuja kwako kwa kasi huku kikiwa kimeachama mdomo wazi, usijiweke kwenye njia yake bali unatakiwa ukikwepe na kukiacha kiendelee mbele ili kikaumane ma miti"

View: https://www.youtube.com/watch?v=jcDrtRPjcwo&pp=ygUYWWVzdSBhbmFydWRpIE1jaCBNYWdlbWJl
 
Hizi imani potofu za kuaminisha watu hakuna MUNGU wala hakuna hukumu baada ya kifo zinazidi kupamba moto.

Acha niiishi vema kwa kutenda mema, kama nikienda huko nisimkute Mungu sitapata hasara, ili nikimkuta wakati nilimkana huku duniani hakika itakuwa hatari.
Moto ulao
 
Mleta mada...
Hukuwai kukaa ukafikiriaaa...!
Kuhusu huu ulimwengu,
Kuna time nikiwaza na kuwazua naona mambo yote nikumbukumbu tu hakuna uhalisia , hakuna binadam hakuna chochote ni mtiririko tu wa kumbukumb na time ikifika kumbukumb yako hufik mwisho,na mwisho wakumbukub zako sio mwisho wakumbukumbu zingine...
Ni mtazamo
🏃🏃🚶
kumbukumb za kwamba uliwah kuishi wapi kabla ya hapa duniani au me ndo cielew?
 
Back
Top Bottom