Nimegundua hizi tofauti kwa warembo flat screens na wenye booties

Nimegundua hizi tofauti kwa warembo flat screens na wenye booties

Wanawake wengi wenye takoz kichwani hakuna kitu, wanapenda sana kutaka vitu kiurahisi.

Flat ni hustlers yeah wengi wana sharp mind.

F*ck takoz bt mary Flat huh
 
Akili zao zinahamia matakoni ndo maana flat wanawafunika, ila binafsi napenda demu mwenye matako ya wastani
 
Aise demu mwenye tako la maana kwangu huwa nahonga hata mshahara wote wa mwezi.flat screen hapana kwakweli maana hawana tofauti na wanaume.flat screen hata elfu 10 yangu ni ngumu kuipata.
Hurumaaa......unatia hurumaa[emoji445] [emoji445] [emoji445]
 
Flat screen hachok haraka halaf viumbo vyao vinavutiaa mabongez atavutia akiwan ndan ya nguo lakin akitoa ni majangaa halaf wengi wao wanavitambii kwangu mwanamke mwembamba namfeel sana hata ukosea haoni aibu kukuchana, ila wana mdomo hao wengi wao wambea hasa wale wa uswahilini
 
Habarini Wadau,

Nimetafiti Individually then nikagundua kuwa kwa mazingira ya maisha yetu kimjinimjini,kuna tofauti zifuatazo :-

1) Flat screen ladies, wao ndio wanaendesha migari ya maana na heshima mijini. Sijui sababu ni ipi ila ukipiga jicho kwenye magari mazito mazito...kuanzia levels za Harriers,Lexus,Range,VolksWagen,BMW and the like zinaendeshwa na videm vizuri vya sura ila hasara 1 kubwa havina t'ako.

2) Viflat screen vina akili ya haraka sana/sharp minded kuliko madem waliojaliwa mizigo ya nyuma.

3) Viflat screen wengi ni walevi wa pombe kali na wanapenda kuchuna pesa nyingi sana- vibomu vyao ni vya kilometres nyingi kuliko hata waliojaliwa hagaz.

4) Viflat screen vingi vina roho mbaya. Haijalishi anafanya kazi wapi ILA wana roho mbaya kuliko vibonge hasa wakiwa wasomi.

5) Viflat screen a.k.a table mats wengi hawapendi nyimbo za taarab na wanaidis sana,wapo radhi kushabikia hiphop.

6) Wanawake wenye mikia yao iliyonona huwa wana huruma sana kwa wanaume kuliko vi table mats.

7) Wenye mikia yao wanafuatwa sana na wanaume na hivyo ni source ya migogoro mingi sana kwa wanaume.

8) Viflat vinapenda sana kwenda na fashion kuliko bongez.

mungu wabariki wadada wenye nyama zao za kutosha.

Nawasilisha.
Usisahau pia kuwa big mshededez wanaongoza kwa kushukia kituo cha 'mawasiliano' pale simu 2000 wakitokea mikoani.

Kama hamjaelewa mtafuteni mdogo wangu Mentor awatafsirie
 
Usisahau pia kuwa big mshededez wanaongoza kwa kushukia kituo cha 'mawasiliano' pale simu 2000 wakitokea mikoani.

Kama hamjaelewa mtafuteni mdogo wangu Mentor awatafsirie
Hahaha...nimekuelewa sana, mitandao yao ya mawasiliano inashika channel zaidi ya moja.
 
Back
Top Bottom