Nimegundua hizi tofauti kwa warembo flat screens na wenye booties

Nimegundua hizi tofauti kwa warembo flat screens na wenye booties

Ila 'Simu 2000' si ndio kituo cha mabasi yote, ya Pwani Mbweni mpaka bara Kimara?
Why flat wasitumie?
Waoga hao...ni wageni mjini halafu wenye nyama zao wanapendezea sana simu 2000, yaani dereva atajikuta tu anavutika nayo na kuanza udereva wake.
 
So shavu la dady ila hump ya maza.

Ujaaliwe miaka mingi.

😛😛😛
Screenshot_2016-05-02-21-46-39-1.png

"Doli doli....doli samwela"
 
Back
Top Bottom