Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hivi hapa siyo chit - chat? Hebu futa kauli.Huyo huyo aliomba ushauri kuwa asome PCM AU PCB. Kumaanisha alifaulu masomo ya sayansi.
Leo hata hajui namna kioo kinavyoweza kuathiri taswira ya kitu.
Ni aibu mwanaume kila Mara kuwa na Mzaha.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu wangu, akiwa serious sana kwani anataka agundue mbingu?
Watoto ni viumbe waaminifu sana. Ukimfananisha mtu awayeyote na mtoto hakika umemuweka karibu na Yesu! [emoji120] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Una mambo ya kitoto Sana dogo.
Ukwel unauma lakini[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] endelea hivyo hivyo kuamini huenda imani yako ikaamisha mlima
Hahaahaaaa!!!Watoto ni viumbe waaminifu sana. Ukimfananisha mtu awayeyote na mtoto hakika umemuweka karibu na Yesu! [emoji120] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Mkono wa kulia kwenye kioo unaonekana wa kushoto, wa kushoto unaonekana wa kulia. Unakubaliana na hili?hapana macho yetu ndo tanatudanganya...
unaweza kuamka asubui siku zingine unajiona mzurii ,wakati mwingine wa kawaida...
mimi nahisi ni macho na fikra zetu ndio zinatufanya tushindwe kujiona...
pia vioo inategemea kioo kimekaaje
kirefu/kipana au square...
kioo kipana utajiona mnene, kirefu utajiona mwembamba mrefu..
kioo square utajiona vizuri...