Afyayaakili
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 924
- 1,263
😂😂😂😂 Mambo ni fekeche.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂 Mambo ni fekeche.
Ndio maana mzee wa watu alishika tama siku ileBinafsi nina mashaka uelewa wa mambo wa namba moja au anafanya makusudi. Juzi juzi alisema katiba ni ya wananchi na si wanasiasa pekee. Nikajiuliza:
1. Kwani ile tume ya WARIOBA si ilizunguka Tanzania nzima, tena vijijini ndani ndani walikusanya maoni. Nina uhakika hakuna tume ya katiba mpya itakayoundwa na kufanya kazi kwa uweledi kama tume ya Warioba kwa sababu ile tume ilipewa uhuru wa kufanya kazi, na maoni yale yalikuwa ni ya wananchi kabisa.
Kwahiyo Wapemba wenzake ndio wanajuwa katiba ndio maana wana katiba mpya?Ndiyo maana Rais amesema kwa uhakika kuwa watu wanataka katiba mpya wakati hata hjii ya sasa hawaijui!View attachment 2748789
Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli alisukumiziwa tu Urais, na makamu wake hakutaka hata huo umakamu hana uwezo nao.
Kwahiyo Wapemba wenzake ndio wanajuwa katiba ndio maana wana katiba mpya?
Tunategemea makubwa sana kutoka katika kile kiti. That kiti is not equiped to handle these inordinately massive national issues. Kile kiti hakijui hata kazi za kiti.Kangi Lugola aliyewahi kuwa Waziri wa mambo ya ndani, alikuwa anaonesha uzalendo wake kwa kuvaa shati lililonakshiwa kwenye mifuko na bendera ya Taifa! Huku akitembea muda wote na kitabu cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mwingine alijinasibu uzalendo kwa kuvaa tai yenye rangi za Bendera ya Taifa karibia muda wote.
Nina hakika wawili hawa hawajawahi kukutana na maswali ya moja kwa moja yanayohitaji majibu ya kikatiba, nukuu na vifungu vyake! Walijinasibu uzalendo kwa sababu ya tumbo!
Asilimia 95 ya watendaji kwenye mamlaka zetu hawajawahi kuisoma Katiba, hawaijui, na hawaifuati na hapa ni pamoja na Kiti chenyewe. Wanaweza na kujua ni wakati tu ule wa kukishika kitabu kidogo cha Katiba wakati wa kuapa.
Wanaoijua Katiba, kuisoma, kuichambua na kuitumia katika maisha ya kila siku ni wananchi wachache walioko nje ya mfumo wa kaliba mbalimbali, wasomi na wanasheria pamoja na wazee wachache wastaafu waliobaki.
Wabunge, Mawaziri, Makatibu Wakuu na Watendaji karibia wote wakusanye leo uwape mtihani rahisi wa maswali machache ya Katiba ujionee maajabu ya Dunia kwa alama watakazopata, na hii ni pamoja na kiti chenyewe!
Matamshi ya kuita Katiba ni makaratasi tu yanaangazia tatizo kubwa mbleni kuliko tunavyodhani.
Eeh Mungu isaidie Tanganyika iweze kuvuka salama
Kila mstari wa Katiba ya Marekani umeshitakiwa mahakamani na tafsiri zake kutolewa.Tunategemea makubwa sana kutoka katika kile kiti. That kiti is not equiped to handle these inordinately massive national issues. Kile kiti hakijui hata kazi za kiti.
Fupa limetushinda vichwa milioni 60, miaka 60 ya uhuru, haliwezi fupa hili kutafunwa na kiti.
Not that kiti anyway....
Kila mstari wa Katiba ya Marekani umeshitakiwa mahakamani na tafsiri zake kutolewa.
Sasa mahakama za Tanzania zinapelekewa kesi ya kikatiba zinasema hawawezi kuingilia muhimili mwingine.
Kile kiti hakiwezi kuwa na majawabu ya mambo ya kikatiba ambayo hata majaji hawana upeo wa kuyatafsiri. Unahitaji kiti very very exceptionally special. Hatujapata bado mnyamwezi wa kubeba mizigo kama hiyo.