Huwa naweka same amount ya hela na gauge inafika level ile ile....hivi karibuni effect za tozo imebidi bajeti ipande kwa 20,000/- ili ijae.Naonaga yakiisha kama kwenye kujaza natoa hela nyingi sana.. tofauti na ikiwa nusu tank najidanganya hivyo yani kwamba sijatoa hela nyingi.. kama hivi kesho kutwa nina trip ya zaidi ya hadi jumatatu nina zaidi ya 1800km za kutembea
Kingine,
Gar ikiwa fulltank, hata matumizi ya mafuta yanakua slow
Not true.....ikijaa ndio inatumia zaidi kuliko ikiwa nusu kwasababu ya mzigo mkubwa(full tank ni mzigo).Fact [emoji817]
Uko sahihi,mimi hiyo nimeigundua gari inapokuwa taa ya mafuta imewaka,gari inakosa nguvu,na muungurumo huwa wa juu kidogo unapoilazimisha kutumia nguvu..Wakuu salama? Bila shaka acha niende kwa mada,
Kutokana na kuendesha gari tofauti tofauti, manual na automatic nimegundua hili.
Gari ikiwa na wese full tank au hata ikiwa kwenye half tank ukiwa road gari inakua inachanganya fasta sana afu hata engine inaaunguruma fresh kabisa smoothhh.
Gari ikiwa chini ya half tank utaona utofauti hata kuchanganya na muungurumo wa engine. Gari haichanganyi haraka hta rpm utaona inasuasua.
Ni hayo tu
Welcome to the club😁...Utaratibu wangu najaza,natumia hadi yaishe najaza tena....naendelea hivyo hivyo.
Not true.....ikijaa ndio inatumia zaidi kuliko ikiwa nusu kwasababu ya mzigo mkubwa(full tank ni mzigo).
MythWajuvi wanasema full tank inapunguza ulaji wa wese na pia pump haipitishi uchafu
Hivi kwanini gari zile mashindano, kule majuu, ukikutwa una nusu liter, kwenye gar, inahesabiwa ni kosa, wanaruhusu angalau kuanzi liter moja.Not true.....ikijaa ndio inatumia zaidi kuliko ikiwa nusu kwasababu ya mzigo mkubwa(full tank ni mzigo).
Bwashee unajaza gari full tank kwani una safari ya mkoani?Sio ugeni na full tank, nazingatia sana wese lisifike chini ya full tank. Ila uo ndo ukweli japo wabongo watapinga hapa tukianza na wewe
Bwashee unajaza gari full tank kwani una safari ya mkoani?
Nnachojua hapo n fuel pump inakuwa inabehave proper ila fuel gauge ikiwa chini ya robo tank fuel pump inakuwa inatumia more effort kupush ndo maana inatokea ilo na kuongezeka kdgo ktk consumption
Hii sijui itabidi nitafute taarifa.Hivi kwanini gari zile mashindano, kule majuu, ukikutwa una nusu liter, kwenye gar, inahesabiwa ni kosa, wanaruhusu angalau kuanzi liter moja.
lazma ubakishe 1ltr for test analysis if umetumia racing fuel yenye additive za aina gan cz kuna zingne zinakuwa na advantage ktk burning so gari ako itakuwa na advantage zaidi ya wenzio kisheria n kosa kuongeza izo additiveHivi kwanini gari zile mashindano, kule majuu, ukikutwa una nusu liter, kwenye gar, inahesabiwa ni kosa, wanaruhusu angalau kuanzi liter moja.