kante mp2025
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 631
- 1,192
Nimekuwa nikitafakari sana kuhusu jehanamu hasa kujua iko wapi nikitumia google photo map walau kupata direction yake.
Asee kumbe hata google map haifui dafu ikanibidi nitumie tu knowlege aliyoitumia Christopher Columbus kuigundua Marekani
Imenichukua miaka kumi jana usiku ndio nimekuja kugundua kumbe Jehanamu sio mbali ni hapo Gongo La Mboto asee
Wakaazi mnaoishi Jehanamu naombeni muhame haraka sana mnaishi Jehanamu ndio maana wakazi wengi wa Gongo La Mboto mapambano yao hayazai matunda.
We fikiria tu kwanini waite Gongo la Mboto, Nilijichimbia kujua undani wa jina hili kumbe mboto ni shetani kwa lugha ya kimanyere na kisazi sasa shetani anatumiaga Gongo kutembelea toka alivojeruhiwa baada ya kufukuzwa kutoka mbinguni alipotaka afanye mapinduzi
Hivo Gongo la Mboto ni Gongo La Shetani.
Chapisho langu la utafiti nataka niliweke kwenye website kubwa tu sema humu siwezi weka maana akina paratrooper hawakawii kucopy na kupaste kupeleka kule X kwa jiniazi mwenzangu
Asee kumbe hata google map haifui dafu ikanibidi nitumie tu knowlege aliyoitumia Christopher Columbus kuigundua Marekani
Imenichukua miaka kumi jana usiku ndio nimekuja kugundua kumbe Jehanamu sio mbali ni hapo Gongo La Mboto asee
Wakaazi mnaoishi Jehanamu naombeni muhame haraka sana mnaishi Jehanamu ndio maana wakazi wengi wa Gongo La Mboto mapambano yao hayazai matunda.
We fikiria tu kwanini waite Gongo la Mboto, Nilijichimbia kujua undani wa jina hili kumbe mboto ni shetani kwa lugha ya kimanyere na kisazi sasa shetani anatumiaga Gongo kutembelea toka alivojeruhiwa baada ya kufukuzwa kutoka mbinguni alipotaka afanye mapinduzi
Hivo Gongo la Mboto ni Gongo La Shetani.
Chapisho langu la utafiti nataka niliweke kwenye website kubwa tu sema humu siwezi weka maana akina paratrooper hawakawii kucopy na kupaste kupeleka kule X kwa jiniazi mwenzangu