Nimegundua kumbe Jehanamu ni pale Gongo La Mboto!!

Nimegundua kumbe Jehanamu ni pale Gongo La Mboto!!

kante mp2025

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2022
Posts
631
Reaction score
1,192
Nimekuwa nikitafakari sana kuhusu jehanamu hasa kujua iko wapi nikitumia google photo map walau kupata direction yake.

Asee kumbe hata google map haifui dafu ikanibidi nitumie tu knowlege aliyoitumia Christopher Columbus kuigundua Marekani


Imenichukua miaka kumi jana usiku ndio nimekuja kugundua kumbe Jehanamu sio mbali ni hapo Gongo La Mboto asee

Wakaazi mnaoishi Jehanamu naombeni muhame haraka sana mnaishi Jehanamu ndio maana wakazi wengi wa Gongo La Mboto mapambano yao hayazai matunda.


We fikiria tu kwanini waite Gongo la Mboto, Nilijichimbia kujua undani wa jina hili kumbe mboto ni shetani kwa lugha ya kimanyere na kisazi sasa shetani anatumiaga Gongo kutembelea toka alivojeruhiwa baada ya kufukuzwa kutoka mbinguni alipotaka afanye mapinduzi

Hivo Gongo la Mboto ni Gongo La Shetani.


Chapisho langu la utafiti nataka niliweke kwenye website kubwa tu sema humu siwezi weka maana akina paratrooper hawakawii kucopy na kupaste kupeleka kule X kwa jiniazi mwenzangu
 
Nimekuwa nikitafakari sana kuhusu jehanamu hasa kujua iko wapi nikitumia google photo map walau kupata direction yake.

Asee kumbe hata google map haifui dafu ikanibidi nitumie tu knowlege aliyoitumia Christopher Columbus kuigundua Marekani


Imenichukua miaka kumi jana usiku ndio nimekuja kugundua kumbe Jehanamu sio mbali ni hapo Gongo La Mboto asee

Wakaazi mnaoishi Jehanamu naombeni muhame haraka sana mnaishi Jehanamu ndio maana wakazi wengi wa Gongo La Mboto mapambano yao hayazai matunda.


We fikiria tu kwanini waite Gongo la Mboto, Nilijichimbia kujua undani wa jina hili kumbe mboto ni shetani kwa lugha ya kimanyere na kisazi sasa shetani anatumiaga Gongo kutembelea toka alivojeruhiwa baada ya kufukuzwa kutoka mbinguni alipotaka afanye mapinduzi

Hivo Gongo la Mboto ni Gongo La Shetani.


Chapisho langu la utafiti nataka niliweke kwenye website kubwa tu sema humu siwezi weka maana akina paratrooper hawakawii kucopy na kupaste kupeleka kule X kwa jiniazi mwenzangu
Umevuta bila kula eeeh!?
 
Kama Gomz ni jehanamu na Maeneo kama Kigogo, Tandale, Vingunguti, Mbagala, Tandika na Tabata Dampo tuyaiteje, makao makuu ya shetani ama?
 
Nipo kuungana na wale watakaosema tukuongeze kwenye lile kundi la watu wenye Mental Health .
Mental health sio tatizo. Hiki kipengele watu mnamix sana maneno hapo, ulitaka kusema mental illness kama sijakosea. Mental health sio tatizo mkuu
 
Nimekuwa nikitafakari sana kuhusu jehanamu hasa kujua iko wapi nikitumia google photo map walau kupata direction yake.

Asee kumbe hata google map haifui dafu ikanibidi nitumie tu knowlege aliyoitumia Christopher Columbus kuigundua Marekani


Imenichukua miaka kumi jana usiku ndio nimekuja kugundua kumbe Jehanamu sio mbali ni hapo Gongo La Mboto asee

Wakaazi mnaoishi Jehanamu naombeni muhame haraka sana mnaishi Jehanamu ndio maana wakazi wengi wa Gongo La Mboto mapambano yao hayazai matunda.


We fikiria tu kwanini waite Gongo la Mboto, Nilijichimbia kujua undani wa jina hili kumbe mboto ni shetani kwa lugha ya kimanyere na kisazi sasa shetani anatumiaga Gongo kutembelea toka alivojeruhiwa baada ya kufukuzwa kutoka mbinguni alipotaka afanye mapinduzi

Hivo Gongo la Mboto ni Gongo La Shetani.


Chapisho langu la utafiti nataka niliweke kwenye website kubwa tu sema humu siwezi weka maana akina paratrooper hawakawii kucopy na kupaste kupeleka kule X kwa jiniazi mwenzangu
Hivi binadamu amepatwa na kitu gani? Mbona anazungumza uwehu kiasi hiki???
 
Mimi kuna mahali nilisoma kuwa Asili ya hilo jina ni kutoka kwa mama mmoja aliyekuwa akiuza pombe maarufu kwa jina la Gongo maeneo hayo na mmewe alikuwa akiitwa “Mboto” .

Historia inazidi kueleza kuwa Mama muuza Gongo alikuwa na wateja wengi sana.

Kila alipokuwa akiuza na kumaliza pombe yake wateja waliokuja baadae wakiulizia pombe hiyo aliwajibu imebaki “Gongo la Mboto” yani la Mumewe.

Hivyo ndivyo jina la Gongo la Mboto lilivyozaliwa. 😊.

Nilisoma mahali.


Ngoja tuendelee kupata ujuzi zaidi.
 
Magenius tunazidi kuongeza Tanzania hakika nchi itaneemeka sana

Mimi kuna mahali nilisoma kuwa Asili ya hilo jina ni kutoka kwa mama mmoja aliyekuwa akiuza pombe maarufu kwa jina la Gongo maeneo hayo na mmewe alikuwa akiitwa “Mboto” .

Historia inazidi kueleza kuwa Mama muuza Gongo alikuwa na wateja wengi sana.

Kila alipokuwa akiuza na kumaliza pombe yake wateja waliokuja baadae wakiulizia pombe hiyo aliwajibu imebaki “Gongo la Mboto” yani la Mumewe.

Hivyo ndivyo jina la Gongo la Mboto lilivyozaliwa. 😊.

Nilisoma mahali.


Ngoja tuendelee kupata ujuzi zaidi.
Una reasoning capacity kubw sana i wish all people wangekuwa na hiyo mentality yako.

Mumeo amepata kitu chema safi sana
 
Nimekuwa nikitafakari sana kuhusu jehanamu hasa kujua iko wapi nikitumia google photo map walau kupata direction yake.

Asee kumbe hata google map haifui dafu ikanibidi nitumie tu knowlege aliyoitumia Christopher Columbus kuigundua Marekani


Imenichukua miaka kumi jana usiku ndio nimekuja kugundua kumbe Jehanamu sio mbali ni hapo Gongo La Mboto asee

Wakaazi mnaoishi Jehanamu naombeni muhame haraka sana mnaishi Jehanamu ndio maana wakazi wengi wa Gongo La Mboto mapambano yao hayazai matunda.


We fikiria tu kwanini waite Gongo la Mboto, Nilijichimbia kujua undani wa jina hili kumbe mboto ni shetani kwa lugha ya kimanyere na kisazi sasa shetani anatumiaga Gongo kutembelea toka alivojeruhiwa baada ya kufukuzwa kutoka mbinguni alipotaka afanye mapinduzi

Hivo Gongo la Mboto ni Gongo La Shetani.


Chapisho langu la utafiti nataka niliweke kwenye website kubwa tu sema humu siwezi weka maana akina paratrooper hawakawii kucopy na kupaste kupeleka kule X kwa jiniazi mwenzangu
Nimepita Gehenna jana kuja hapa Chanika.
 
Back
Top Bottom