Nimegundua kusheherekea birthday ni upumbavu

Nimegundua kusheherekea birthday ni upumbavu

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Wakuu,

Hapo mwanzo na hata nilipokuwa mdogo, nilikuwa nikipenda sana kushehereka birthday kila ninapotimiza miaka fulani, (siku ya kuzaliwa)

Lakini kadri umri unavyokwemda unakuja kugundua ni upumbavu na kupoteza muda, haswa sisi wanaume tuachane na haya mambo ya watoto, kama mimi nimeacha kuanzia sasa.

Eti ooh "happy birthday to mee" then what?

Yaani nimekuja kuona kwamba binadamu tunafurahia siku za kuishi kwetu zinapungua then unafurahia? Kivipi?

Haya mambo naona kama sisi wa Njombe na Ludewa tumeiga tu kwa wanaume wa Dar mimi nimeacha shauri yenu.
 
Umeona ujinga baada kukabwa na majukumu mpaka siku yako yakuzaliwa inakupita huikumbuki.
 
Kwanza kuna makosa makubwa, wengi wanasherehekea au kukumbuka tarehe ya kuzaliwa (birthdate) lakini wanaiita siku ya kuzaliwa (birthday). A birthdate is not a birthday!

Siku (days) ziko saba tu ambazo tunazaliwa ndani yake. Yeyote yule huzaliwa kati ya Jumatatu, Jumanne hadi Jumapili. Wakati tarehe (dates) zinaanzia 1 hadi 28, 29, 30 au 31 kulingana na ufupi au urefu wa mwezi husika.

Mathalani, aliyezaliwa Jumapili, Januari Mosi, 1967; siku yake ya kuzaliwa (birthday) ni Jumapili. Tarehe yake ya kuzaliwa (birthdate) ni Januari Mosi. Ila kuna miaka ambayo birthday (siku ya kuzaliwa) itagongana na birthdate (tarehe ya kuzaliwa).

Hata hivyo, kufurahia kufikisha idadi ya miaka kadhaa ni jambo jema na la kumshukuru Mungu.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu,

Hapo mwanzo na hata nilipokuwa mdogo, nilikuwa nikipenda sana kushehereka birthday kila ninapotimiza miaka fulani, (siku ya kuzaliwa)

Lakini kadri umri unavyokwemda unakuja kugundua ni upumbavu na kupoteza muda, haswa sisi wanaume tuachane na haya mambo ya watoto, kama mimi nimeacha kuanzia sasa.

Eti ooh "happy birthday to mee" then what?

Yaani nimekuja kuona kwamba binadamu tunafurahia siku za kuishi kwetu zinapungua then unafurahia? Kivipi?

Haya mambo naona kama sisi wa Njombe na Ludewa tumeiga tu kwa wanaume wa Dar mimi nimeacha shauri yenu.
Kuna upumbavu mwingi sana tunaiga iga mwanaume kusherehekea birthday
Hata kuvaa pete za ndoa mara uchumba ni kuvamia vitu tusivyovijua kwa undani, sijui hata ni utamaduni wa jamii ilianza kuvaa pete sisi tunakurupukia tu unaweza kujikuta unaabudu mashetani bila kujua
 
Kuna upumbavu mwingi sana tunaiga iga mwanaume kusherehekea birthday
Hata kuvaa pete za ndoa mara uchumba ni kuvamia vitu tusivyovijua kwa undani, sijui hata ni utamaduni wa jamii ilianza kuvaa pete sisi tunakurupukia tu unaweza kujikuta unaabudu mashetani bila kujua
Huna hela ya kufanya birth day party, kuvaa pete mpaka shingoni, ndo zetu tangu zama! huna huo utamaduni acha kusherehekea si mahali pako!!! Birth day zilianziaga Misri ya kale na Misri ni ya waafrica!! wao wazungu ndiyo wametuiga.

na ilikuwa ni siku maalumu ya mfalme kutoka tumboni mwa mama yake!! na yule alikuwa ana sababu maalumu ya kimizimu, na sasa kuna wafalme hao wamechanganyikana na wabantu humu lazima wafanye!!
 
Wanaume wa Dar watasema huna hela. [emoji1787][emoji1787]
Kwani uongo??? aitoe wapi huyo mwana kijiji kwanza!! hata wanakijiji wenzago hawaijui, watakuona jizi maarifa tu!! yaani siyo b,day tu!! hata first day to see de sun ni sherehe tu!! hata yesu alipoondoka kwenda patakatifu pa pataka tifu ni sherehe tu!!

yaani sisi huku ni sherehe kila siku mabarabara hayapumziki kwa misururu ya magari iwe usiku iwe mchana ni misururu tuuu!! kwa kwenda mbele!! kumbi ziko busy every day!! ni mwendo wa kula na kunywa msituige mnasikia hamuwezi!!

kifupi Bongo Daisalama ni sherehe kila siku!! usije na vihela vyako humu kwa kuuza mahindi!! kingine kabla sija sahau kila siku asubuhi kabla ya kazi tuna Meza Mboga tuuuuuu, bila ugali!! km wewe maskini au unashinikizo la damu chai ya rangi,

ukiiga kunya kwa tembo..........
 
Kwanza kuna makosa makubwa, wengi wanasherehekea au kukumbuka tarehe ya kuzaliwa (birthdate) lakini wanaiita siku ya kuzaliwa (birthday). A birthdate is not a birthday!

Siku (days) ziko saba tu ambazo tunazaliwa ndani yake. Yeyote yule huzaliwa kati ya Jumatatu, Jumanne hadi Jumapili. Wakati tarehe (dates) zinaanzia 1 hadi 28, 29, 30 au 31 kulingana na ufupi au urefu wa mwezi husika.

Mathalani, aliyezaliwa Jumapili, Januari Mosi, 1967; siku yake ya kuzaliwa (birthday) ni Jumapili. Tarehe yake ya kuzaliwa (birthdate) ni Januari Mosi. Ila kuna miaka ambayo birthday (siku ya kuzaliwa) itagongana na birthdate (tarehe ya kuzaliwa).

Hata hivyo, kufurahia kufikisha idadi ya miaka kadhaa ni jambo jema na la kumshukuru Mungu.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Usiwapangie, wao waliamua iwe birth day!! lkn yako wewe ni birthdate shrehekea wewe na mkeo!!! ya watu hayakuhusu!! sasa wewe pilipili haiko shambani mwako yakuwashia nini??

huko mkoani maskini hamjui hata sikukuu zaMashujaa, uhuru, kuzaliwa kwa chama, kamwe hamsherekei, bali ni Musoma mjini na DSM baasi! BONGO DARISALAMA WEEE! nimeku miss!!! viburudisho mpaka mtaani jamani weee

Yaani huko njombe mwaka mpya sijui krismas mweee!! hawajawahi kivijua uiii!! sasa mnaanza kuchokonoa vya mjini hamtuwezi nyie wankijiji mtasubili sana.....''Dooodomaaa wanaenda na kurudi enheee!!'' unamjua alie imba hivi?? unadhani kwa nini....
 
Usiwapangie, wao waliamua iwe birth day!! lkn yako wewe ni birthdate shrehekea wewe na mkeo!!! ya watu hayakuhusu!! sasa wewe pilipili haiko shambani mwako yakuwashia nini??

huko mkoani maskini hamjui hata sikukuu zaMashujaa, uhuru, kuzaliwa kwa chama, kamwe hamsherekei, bali ni Musoma mjini na DSM baasi! BONGO DARISALAMA WEEE! nimeku miss!!! viburudisho mpaka mtaani jamani weee

Yaani huko njombe mwaka mpya sijui krismas mweee!! hawajawahi kivijua uiii!! sasa mnaanza kuchokonoa vya mjini hamtuwezi nyie wankijiji mtasubili sana.....''Dooodomaaa wanaenda na kurudi enheee!!'' unamjua alie imba hivi?? unadhani kwa nini....
Simpangii mtu, na kama umesoma vizuri sikatazi watu wasisherehekee. Ila wajue kuwa siku ya kuzaliwa (birthday) ni tofauti na tarehe ya kuzaliwa (birthdate). Soma kwa makini bandiko langu, watu watamke ilivyosahihi, sisemi wasisherehekee!!!

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Simpangii mtu, na kama umesoma vizuri sikatazi watu wasisherehekee. Ila wajue kuwa siku ya kuzaliwa (birthday) ni tofauti na tarehe ya kuzaliwa (birthdate). Soma kwa makini bandiko langu, watu watamke ilivyosahihi, sisemi wasisherehekee!!!

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Hujanielewa!!!
hiyo itamke wewe km wewe unavotaka iwe!! ile siyo Lugha yako, wenye nayo wametaka ivo kwa lugha yao!! usikariri........
Neno km Light, vist, shop, archbishop nk yana maana zaidi ya moja mkuu, ...kikwao kimetokana na kigiriki lkn!

unajua Birth day limetokana na lugha gani Ulaya?? kwa kijermani ina maanisha nini?? au ngoja

Kambi ya wakimbizi ''kakuma -'' Matombo-moro'' Lombo-Moshi yana maana zaidi ya moja kwa lugha za sehemu husika!! mbona hushangai kuitafsiri kiswahili?? badala yake una wasahihisha wakoloni?

unadhani kwa nini wao hao wazungu wasiwe na neno lenye maana zaidi ya moja pia??!! na wamedadavua kwa lugha Mama ila kwa sababu ya shallow Mind huelewi ndo nasema wewe ndo unataka wewe iwe ivo!!!...
Birth canal, birth passage, birth tube!! any way.......
 
Kwanza kuna makosa makubwa, wengi wanasherehekea au kukumbuka tarehe ya kuzaliwa (birthdate) lakini wanaiita siku ya kuzaliwa (birthday). A birthdate is not a birthday!

Siku (days) ziko saba tu ambazo tunazaliwa ndani yake. Yeyote yule huzaliwa kati ya Jumatatu, Jumanne hadi Jumapili. Wakati tarehe (dates) zinaanzia 1 hadi 28, 29, 30 au 31 kulingana na ufupi au urefu wa mwezi husika.

Mathalani, aliyezaliwa Jumapili, Januari Mosi, 1967; siku yake ya kuzaliwa (birthday) ni Jumapili. Tarehe yake ya kuzaliwa (birthdate) ni Januari Mosi. Ila kuna miaka ambayo birthday (siku ya kuzaliwa) itagongana na birthdate (tarehe ya kuzaliwa).

Hata hivyo, kufurahia kufikisha idadi ya miaka kadhaa ni jambo jema na la kumshukuru Mungu.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
kuna thread nilieleza kitambo kidogo wayback 2018 nadhani
 
Sema huna hela bana!! aaa!! kuzunguka kwiiingi!! af uko kijijini
 
Back
Top Bottom