Nimegundua kusheherekea birthday ni upumbavu

Nimegundua kusheherekea birthday ni upumbavu

Hata kupondea wanaoserekea birthday ni upuuzi
 
Kwani uongo??? aitoe wapi huyo mwana kijiji kwanza!! hata wanakijiji wenzago hawaijui, watakuona jizi maarifa tu!! yaani siyo b,day tu!! hata first day to see de sun ni sherehe tu!! hata yesu alipoondoka kwenda patakatifu pa pataka tifu ni sherehe tu!!

yaani sisi huku ni sherehe kila siku mabarabara hayapumziki kwa misururu ya magari iwe usiku iwe mchana ni misururu tuuu!! kwa kwenda mbele!! kumbi ziko busy every day!! ni mwendo wa kula na kunywa msituige mnasikia hamuwezi!!

kifupi Bongo Daisalama ni sherehe kila siku!! usije na vihela vyako humu kwa kuuza mahindi!! kingine kabla sija sahau kila siku asubuhi kabla ya kazi tuna Meza Mboga tuuuuuu, bila ugali!! km wewe maskini au unashinikizo la damu chai ya rangi,

ukiiga kunya kwa tembo..........
Tuma Salam kwa watu watat
 
Huna hela ya kufanya birth day party, kuvaa pete mpaka shingoni, ndo zetu tangu zama! huna huo utamaduni acha kusherehekea si mahali pako!!! Birth day zilianziaga Misri ya kale na Misri ni ya waafrica!! wao wazungu ndiyo wametuiga.

na ilikuwa ni siku maalumu ya mfalme kutoka tumboni mwa mama yake!! na yule alikuwa ana sababu maalumu ya kimizimu, na sasa kuna wafalme hao wamechanganyikana na wabantu humu lazima wafanye!!
Sina hela nakula nyumbani kwako?
Unaweza kukuta naww ni mwanaume kabisa unasherekea birthday?

Acheni mambo ya kijinga, hata ukiwa na hela fanya kuzitumia kwenye shughuli zenye maana na ukishindwa kunywa pombe au kahonge kuliko mwanaume mzima kuimbiwa happy birthday unakata keki we umekuwa mwali?
 
Usiwapangie, wao waliamua iwe birth day!! lkn yako wewe ni birthdate shrehekea wewe na mkeo!!! ya watu hayakuhusu!! sasa wewe pilipili haiko shambani mwako yakuwashia nini??

huko mkoani maskini hamjui hata sikukuu zaMashujaa, uhuru, kuzaliwa kwa chama, kamwe hamsherekei, bali ni Musoma mjini na DSM baasi! BONGO DARISALAMA WEEE! nimeku miss!!! viburudisho mpaka mtaani jamani weee

Yaani huko njombe mwaka mpya sijui krismas mweee!! hawajawahi kivijua uiii!! sasa mnaanza kuchokonoa vya mjini hamtuwezi nyie wankijiji mtasubili sana.....''Dooodomaaa wanaenda na kurudi enheee!!'' unamjua alie imba hivi?? unadhani kwa nini....
dokta kumbuka kumbe upo humu
 
Sina hela nakula nyumbani kwako?
Unaweza kukuta naww ni mwanaume kabisa unasherekea birthday?

Acheni mambo ya kijinga, hata ukiwa na hela fanya kuzitumia kwenye shughuli zenye maana na ukishindwa kunywa pombe au kahonge kuliko mwanaume mzima kuimbiwa happy birthday unakata keki we umekuwa mwali?
Bush star na Birth day wapi na wapi !! msituchafulie mitindo yetu ya maisha bana!! ule kwangu si utaogopa?? navo chafua Meza wallahi hutarudi tena! kwanza Hela huko bush uitoe wapi?? mpaka ukauze maharage ya msimu!!

kimsingii uko sahihi ''huwezi'' ukifanyia huko kwenu Mbagala wanakucheka Mnoo!! lazima uone soo!!

ata kwa birth day yako waweza kunywa pombe tu siyo mpaka Bar!! Mwali ndo strehe yangu wangu bana usiwataje hovyo!!! tena mtamu tamu wacha kabisa! ujinga wa birth day nini ??? sema mazingira unayo ishi hamna utamaduni huo!! wachache wanao jua wanaona soo!!

kukumbuka siku mwanana ya kuzaliwa si ujinga?? hata hujui .....

x-Masa ni kuzaliwa kwa Yesu! wenzako tunakula bata kitaifa kila mwaka, Moshi ndo kabisaaa!

Angalia kuzaliwa kwa chama, mama weee tangu utotoni twa sherehekea

jamhuri, mama wee niseme nini......

kuzaliwa kwa TZ wenzako tunaitwaga Ikulu kula bata , kunywa na kula Disco km kawa, siyo pombe tu! mengiiiii! tyuuu tuna fanya isipokuwa zinaa!
sasa wewe unakaa huko kwenu Mahurunga karibu na nsumbiji utajuaje???? utapata wapi mwaliko wa birth day hata wa mwenye kiti wa Mtaa tu! nani anakuthamini kwanza huko!! Mtuachege haya ni mambo yetu!

lazima usijue haya mambo!! na kwa taarifa yako kamwe sherehe km hizi hazijawahi fanyikia huko mbali tunafanyia hapoo Magogoniiiiiiii!! na Mama Samia hatoki humu!!

Lile li Bush Star lenzako ndo lilianza mambo za kuleta hapa kutupelekesha tuuuu!! tuka liretisha in peace!!

Mara tule mihogo na soda kwenye sherehe za Muungano, mara tufanye usafi! tupige kavu yaani kuongozwa na Ma Bush stars shida sana!! Mambo yote bana Mzee wa Msoga wee!! yule ndo Born town hasa kula Bata Bata na wewe!! raha tupu

Aha!!!aaaa kikwete weeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Bush star na Birth day wapi na wapi !! msituchafulie mitindo yetu ya maisha bana!! ule kwangu si utaogopa?? navo chafua Meza wallahi hutarudi tena! kwanza Hela huko bush uitoe wapi?? mpaka ukauze maharage ya msimu!!

kimsingii uko sahihi ''huwezi'' ukifanyia huko kwenu Mbagala wanakucheka Mnoo!! lazima uone soo!!

ata kwa birth day yako waweza kunywa pombe tu siyo mpaka Bar!! Mwali ndo strehe yangu wangu bana usiwataje hovyo!!! tena mtamu tamu wacha kabisa! ujinga wa birth day nini ??? sema mazingira unayo ishi hamna utamaduni huo!! wachache wanao jua wanaona soo!!

kukumbuka siku mwanana ya kuzaliwa si ujinga?? hata hujui .....

x-Masa ni kuzaliwa kwa Yesu! wenzako tunakula bata kitaifa kila mwaka, Moshi ndo kabisaaa!

Angalia kuzaliwa kwa chama, mama weee tangu utotoni twa sherehekea

jamhuri, mama wee niseme nini......

kuzaliwa kwa TZ wenzako tunaitwaga Ikulu kula bata , kunywa na kula Disco km kawa, siyo pombe tu! mengiiiii! tyuuu tuna fanya isipokuwa zinaa!
sasa wewe unakaa huko kwenu Mahurunga karibu na nsumbiji utajuaje???? utapata wapi mwaliko wa birth day hata wa mwenye kiti wa Mtaa tu! nani anakuthamini kwanza huko!! Mtuachege haya ni mambo yetu!

lazima usijue haya mambo!! na kwa taarifa yako kamwe sherehe km hizi hazijawahi fanyikia huko mbali tunafanyia hapoo Magogoniiiiiiii!! na Mama Samia hatoki humu!!

Lile li Bush Star lenzako ndo lilianza mambo za kuleta hapa kutupelekesha tuuuu!! tuka liretisha in peace!!

Mara tule mihogo na soda kwenye sherehe za Muungano, mara tufanye usafi! tupige kavu yaani kuongozwa na Ma Bush stars shida sana!! Mambo yote bana Mzee wa Msoga wee!! yule ndo Born town hasa kula Bata Bata na wewe!! raha tupu

Aha!!!aaaa kikwete weeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Ungana na mwenzio pichani
Screenshot_20210713-175257.jpg
 
namshukuru Mungu hakuwahi kunifikisha hapoo ....
 
Mtu umezaliwa na kukulia kiteto umefika dar basi umeanza kusherehekea birthday.
 
Halafu kuna kumwagiwa maji. Sijui ujinga huu kauanzisha nani!!
 
Back
Top Bottom