Nimegundua Kwa nini nandy kanyoa nywele

Nimegundua Kwa nini nandy kanyoa nywele

Ni utamaduni wa muda mrefu katika kabila la wahaya kunyoa nywele zao tena wengine kipara kabisa kama watu wafuatao wakifiwa

Mjane
Watoto wa marehemu
Ndugu wa damu mtu akitaka
lakini hasahasa akiwa mkewe na ndugu yaani kaka au dada wa marehemu pale mda wa kuanua matanga unapokwisha


Turudi Kwa Nandi huyu naye amenyoa Una maana alikuwa na uhusiano gani Kwa boss Ruge? Au ni mjane wake? Aa kumbe inawezekana ikawa kweli
Pole Sana nandy Kwa kupoteza Mme wakoView attachment 1057525

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mwana we mnafki kishenzi,

Sa nywele zake zakuhusu nini..[emoji23][emoji23][emoji23]

Embu fanya ishu za maendelea Bhanaaaaa wacha umbea kwa ishu ata zisizo na msingi.

Huchelewi kutuambia kanyoa na v*z* pia ili sijui nn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Billnass is just a Gallant Man !!

Kijana Shapu..aliyetoka jimbo la kishap lenye wananchi shapu shapu.

Kwa akili za mademu, hapo alicheeeeeeeka sanaaa[emoji23][emoji23][emoji23] kisha ,,,,,, akamfata inbobo Convo yao ikawa ivi

Nandy [emoji117] ""Wee msengee nmemis kweli masiala yako, embu fanya nije nikuone basi nyau wangu ""


Bill[emoji117][emoji23][emoji23][emoji23]manina zako hapo minyege tu ndo umekushika saizi , et umenimis [emoji1] sema umemis mboooo

Nandy[emoji117]hahahahahah hahahahah uwiiiiii mbavu zanguu hahahahaha embu niache mie najonzi yangu hahahahahaha .

Nandy tena[emoji117] Ila sure bana boy nmekumis kinyamanyama

Bill[emoji117][emoji120] asante naelewa, basi wee ukiwa poa utanicheki tu muda wowote .

Nandy[emoji117]Ok thanks , ngoja nifanye kuwajibu wana kwanza then nitarudi tuendele.

Bill[emoji117]poaaaaa[emoji109][emoji137]


KWA UFUPI Nandy ni km madem wengine tuu. Na Billnass ni.wasanii wengine tu.

Infact wanawake ni watu waajabu sana, wagumu kuelewa ,wepesi kusahau.

"Dume la Nyani haliogopi Umande"
Kama utani vileee!!! Mtu atalika soon
 
Ila mwana we mnafki kishenzi,

Sa nywele zake zakuhusu nini..[emoji23][emoji23][emoji23]

Embu fanya ishu za maendelea Bhanaaaaa wacha umbea kwa ishu ata zisizo na msingi.

Huchelewi kutuambia kanyoa na v*z* pia ili sijui nn

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana jf kuna forum nyingi .huwezi nipangia nipost wap na MDA gani hii ni celebrity forum .forum za maendeleo zipo huko nenda kachangie kuliko kuja huku kupost pumba


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom