Nimegundua kwamba jirani yangu mchicha mwiba

Mkuu ww sio huyo dogo kweli?
 
Ukaendepo mkuu?
 
Siku nyingine usirudie kumsukuma mtu aliyelewa usije pewa kesi ka ya Lulu
 
Mkuu wataje tu hapa tunaongea kweli tupu au ni simba na tembo nn?nao wana tabia za kipunga ?
 
Mmhh! Huyo. Jirani yako Mbona ana vielement kama vya Mwanahabari Huru mkuu!?
Kwa kitendo cha huyo mdogo wako kupokea Blow job kutoka kwa huyo jamaa kimethibitisha na dogo naye ni ubwabwa wa nazi. Muulize vizuri,inawezekana kuna part hajakuambia ukweli.
 
dont worry your secrete is safe
Sawa mtoto wa kishua jina sawa na ray waniache.
Uzuri ni kwamba kile mwanadamu akiwazacho ndani yake lazima kitoke yani mawazo yako ya kitu unachotamani kikutokee ndicho unang'ang'ania kukisemea kwangu.
Mwanaume kujiita mtoto wa kishua lazima ushituke sawa na mdada flani anajiita judy wa kishua humu jf.
 
Mkuu sihitaji kujua zaidi nilichojua kinatosha kufanya maamuzi kama alikula au walikulana sihitaji kujua toka jana napost uzi huu nishafanya maamuzi...
 
Mwaka 2005 kuna jamaa mmoja nilikuwa namheshimu sana mtaani alikuwa ni ****** wa ****** wa ccm wa tawi la ****** ******. Siku moja usiku kwenye hilo tawi bahati mbaya aliniona na kuniita. Sikukataa nikamwambia ngoja nikaweke backpack yangu kwanza. Ilikuwa ni kipindi cha kampeni, hivyo kwenye hiyo branch mziki ulikuwa umehanikiza, niliporudi kumsikiliza kwanza aliniita kwa majina yangu, nilishangaa sana kwa vile hakuwahi hata siku moja kuniita kwa majina yangu. Hivyo akaanza kuniambia kuwa anataka nikamgonge, nikakataa, basi unaambiwa alinipa ahadi kibao hadi za kusomeshwa na wakubwa, kipindi hicho samsung double screen ndio zilikuwa zinaingia alikuwa nayo na aliahidi kunipa lakini tu kama ningemgonga, dah, aliniahidi pale pale angenipa laki5 cash usiku ule ule lakini bado nilikataa, mwisho alitaka walau nimwachie mkuyenge tu ili anipige blow job tu lakini pia nilikataa, namshukuru Mungu kwa kunivua na mtihani ule, maana nilikuwa empty lakini sikuwa na tamaa dah ningeangamia duh. Kazi kweli kweli.
 
Ipo Sana hii siku izi,me Kuna mijamaa Kama mitatu ishanifata insta dm inataka kusuguliwa
Nkawaambia hiyo kwangu Haram kubwa siwezi ata iweje,eti ipo sorry Yani tupo ivi ila eti Tanzania wanapata shida sana kupata wa kuwashughulikia dah
Huko yapo mengi, kuna moja lilinifuata DM eti Chris you are handsome... Ikabidi niulize jinsia ingawa niliona picha za kiume maana sikuamini kauli kama hiyo toka kwa mwanaume. Nililiblock
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…