Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahMkuu kuwa naye mbali anaweza kukugeukia akakutafuna kibabe
HahahahKama nakuona unajikana
Mkuu ww sio huyo dogo kweli?Kweli dunia imechoka.
Hapa ninapoishi kuna apartments tano zote ndani ya gate moja lakini kila moja ikijitegemea kwa kila kitu.
Hivyo kutokana na kila moja kujitegemea hakuna muingiliano jambo linalo tufanya hata tusizoeane maana kila mtu ana mambo yake na muda mwingi kila mtu yuko ndani kwake ama kwenye mishe zake.
Sasa recently kuna jamaa aliondoka so akahamia jamaa flani hivi kapanda mrefu mtu wa mazoezi na mtanashati.
Kama kawaida tukawa hatuna mazoea zaidi ya salamu basi kila mtu ana mambo yake na saa nyingibe unaweza pita hata mwezi hatujaonana.
Nakumbuka siku moja luku yangu iliisha units usiku nikawa nahangaika kununua kwa voda sijibiwi yeye alikuwa nje akaninunulia kwa simu yake line ya tigo na toka siku hiyo tukazoeana kawaida.
Kuna siku usiku niko ndani mara naskia mtu anagonga mlango, kufungua nakuta ni yeye kalewa ana heshima za kilevi samahani nyingi.
Akaniambia bro nimekuletea zawadi. Nikamkaribisha ndani akauliza unakunywa pombe nikamwambia siyo sana kidogo tu na mara moja moja.
Akatoa john walker red label akasema nimeleta tunywe sote.
Nikaona siyo tabu japo alikuwa kalewa tukakaa sebuleni kwangu tukaanza shusha chupa taratibu.
Mimi siyo mpenzi wa vinywaji vikali hivyo nikawa nakunywa kwa kutegea so baadae mara akanisogelea akanikumbatia nkamuuliza we jamaa vipi mbona sikuelewi umelewa sana kalale.
Akasema relax samahani lakini mara nikaona analeta domo nikampush akaanguka glass yake ikapasuka na shangwe likaishia hapo nikamwambia akalale na mimi nikaenda lala zangu.
Nilitafakari jambo hilo sana ila nikahisi huenda ni pombe zilimzidia maana aliniambia kabla ya kurudi alikuwa kanywa chupa mbili za black label.
Sikumwambia mtu na hilo tukio nikalifuta kichwani mwangu.
Sasa juzi kuna dogo flani uwa anakuja hapa kwangu wamefahamiana na jamaa na kuna siku akimuita kwake siku ya christmas usku mimi wakati nimelala wao walikuwa kwa jamaa wanapiga ulabu so design wamekuwa marafiki pia.
Sasa juzi nikawa napiga story na yule dogo katika story nikamwambia kuna siku jamaa alifanya hivi na hivi, dogo akaniambia bro hata mimi nilitaka nikwambie yule jamaa hayuko sawa ana element flani sizielewi siku tunapiga ulabu alikuwa ananisugua miguu yangy kwa miguu yake, mara anishikr vidole atakuwa mchicha mwiba yule.
Mimi nikamwambia sitaki kuamini aisee maana jamaa miraba minne halafu mtu wa mazoezi story zake za kuwapanda mabinti tu.
Akasema kweli nakwambia bro na nitaprove kama kweli jamaa mchicha mwiba.
Na kweli usku wake akaja na janzel, kanigongea jirani njoo tupige mambo.
Mimi nikamwambia aisee kwa leo hapana mimi nikinywa pombe mpaka upite muda hata miezi miwili ndio ninywe tena dogo alikuwepo nikamwambia dogo nenda naye.
Wakaenda kwake wakaanza piga ulabu mpaka saa tisa ndipo naskia dogo anafungua mlango anarudi kulala.
Kesho yake asubuhu yani jana, dogo ananiambia jirani yako punga bro nimeprove.
Nikamuuliza kwani vipi akaniambia alianza nishika akanikiss namimi ni ka act niko ok nione mwisho wake, nikawa namshika kiuno mara mgongo akanipa blow job bro baadae akataka nimwingilie nikagoma akaniahidi atanipa sihyi ela simu tv nikamwambia next time.
Aisee nilipigwa butwaa jamaa huwezi mfikiria kwanza ana demu wake mzuri alinionyesha picha zake kwenye simu, pili ana mtoto na tatu naskia mabinti hapa mtaani wanampenda sana.
Toka dogo kaniambia na akanionyesha sms jamaa alimtxt akimwambia aije thubutu niambia ibaki siri baina yao.
Jamaa sitaki hata kumwona mazoea naye sitaki kabisa, na huyu dogo naye ujasiri wake umentisha hadi anatulia dume linampa blow job hata kama ni research imepitiliza naye natafuta jinsi aache kuja kwangu maana inaelekea ahadi za jamaa kama zimemwingia kichwani vile.
Madada poleni sana maana wanaume wanazidi kuisha yani huwezi jua jamaa kama shoga kuanzia umbo lake muonekano wake na mazoezi anayopiga.
Ukaendepo mkuu?Ndo maana mazoea ya fastafasta mi siyapendi
Kuna siku nimeenda zangu uwanjan kutulia(UD) baada ya mda flanflan hv akaja bwana mdogo flan hv lainlain flan hv nae anasoma apa chuo kunambia nimpigepige picha
Asee ayo mapozi sasa ya kupiga picha nilichoka, serious mwanaume unapiga picha unainama duh!!
Baada ya apo akawa ananiulizauliza maswalamaswala mengimengi nikamwambia mi sisomi apa ili kutoa uzoefu wa harakaharaka
Baadae anataka kuondoka akaniomba namba
Frsh nikampa
Baada ya apo goodnytgudnyt nyingi na kunitaftatafta kwingi2. Na profile pic za ajabajab2
Siku ananipigia ananambia yuko pekeake niendepo kwake, duh!
Sasa unadhanije mkuu kama kaweza blow job atashindwa kula kabisa?Huyo dogo atakuwa kapiga mzigo hataki tu kufunguka.
Mkuu wataje tu hapa tunaongea kweli tupu au ni simba na tembo nn?nao wana tabia za kipunga ?Kuna idadi kubwa sana ya wanaume kugeuka kuwa wanawake.
Nakumbuka 2015 nikiwa ofisi moja nilikuwa napewa taarifa za jamaa mmoja anafanya kazi kwenye ile ofisi ni Shoga kiukweli huna wakosa hamu na hawa viumbe ninaposikia mtu anajibadili kuwa mwanamke, Basi yule jamaa alikuwa kaenda likizo ya kikazi alivyorudi tukapangwa kufanya kazi pamoja, siku moja tukiwa kwenye kikao cha wafanyakazi akaanza wangapi hapa wanatumia pombe nikajua tayari kund. U limewasha maana tulikuwa pale kama wafanyakazi 4 hivi wageni ila mimi taarifa zake nilikuwa nazo zote wanaume wakanyoosha mikono watumiaji wa pombe.
Usiku si mmoja kati ya wale wafanyakazi akaenda nae kunywa pombe baada ya pombe kukolea jamaa wakaondoka kwenda kwake (kilichotokea wanajua wenyewe) aliwahi kukamuliwa Lodge moja na wasanii 2 wakubwa tu hapa nchini kwenye tamasha.
Kiukweli bora nirudi kupiga punyeto ila sio kufanya ujinga wa namna hii wanawake watamu sana.
Mkuu hiyo Dp yako inatia shaka !!Huyo dogo karuka kitu kwenye story aliyokwambia. Atakuwa kala mzigo huyo.
NilikaidiUkaendepo mkuu?
haaaa haaaa haaaa usiogope taratibuMkuu hiyo Dp yako inatia shaka !!
Haa ha ha...huyo jamaa nae itakua wale wale!!Mkuu hiyo Dp yako inatia shaka !!
Sawa mtoto wa kishua jina sawa na ray waniache.dont worry your secrete is safe
Mkuu sihitaji kujua zaidi nilichojua kinatosha kufanya maamuzi kama alikula au walikulana sihitaji kujua toka jana napost uzi huu nishafanya maamuzi...Mmhh! Huyo. Jirani yako Mbona ana vielement kama vya Mwanahabari Huru mkuu!?
Kwa kitendo cha huyo mdogo wako kupokea Blow job kutoka kwa huyo jamaa kimethibitisha na dogo naye ni ubwabwa wa nazi. Muulize vizuri,inawezekana kuna part hajakuambia ukweli.
Huko yapo mengi, kuna moja lilinifuata DM eti Chris you are handsome... Ikabidi niulize jinsia ingawa niliona picha za kiume maana sikuamini kauli kama hiyo toka kwa mwanaume. NililiblockIpo Sana hii siku izi,me Kuna mijamaa Kama mitatu ishanifata insta dm inataka kusuguliwa
Nkawaambia hiyo kwangu Haram kubwa siwezi ata iweje,eti ipo sorry Yani tupo ivi ila eti Tanzania wanapata shida sana kupata wa kuwashughulikia dah