Nimegundua kwamba jirani yangu mchicha mwiba

Nimegundua kwamba jirani yangu mchicha mwiba

Kupanga ni kuchagua muda wakuoa bado watu hatuoi kwa bahati mbaya tumeweka umri flani ndipo tunaoa.
Siyo kila siku mpenzi aje kushinda kwangu unless naye hana kazi ya kufanya...
Tunashinda wote hata mwezu mzima ila siyo kila siku maana naye anakuwa bsy na kutafuta pesa.
Kuhusu kuwa na maisha mazuri sijui maisha mazuri umepima kwa kutumia vigezo gani?


Sawa kwnye masuala ya ndoa, ila kwa ninavyo jua mwanume straight singeweza kubali kabisa kuwa na ushirika na huyo aliye taka kukupa denda, ungekua mkali na huyo shoga angekuogopa, ila wewe uka achia awe bado ana kuja kwako. Kingine huyo dogo kuweza kukuambia kwamba yeye amenyonywa uume na shoga ni jambo zito na lisilo la kawaida na sio rahisi kwa mwanaume wa kawaida kuhadithia hilo,ukiachia mbali wewe kumruhusu kwenda kwa mwanaume shoga akashinde huko.
Hapo inaonyesha kuna aina fualani ya u bisexual au hata ushoga unayo na sign moja kubwa ni hicho ikisingizio cha kuplana maisha kabla ya ndoa hivyo kutoa kuwa na uhusiano na demu sababu bado una jipanga huku ukiwa teari unakila kitu .
Tathmini yangu ina wezekana kwamba wewe na huyo dogo mna yenu na umeshindwa kumfanya chohcote huyo shoga sababu labda wewe ni bottom wa kisiri,. samahani lakini ni tathmini tuu isiyo ya kisayansi.
 
Sawa kwnye masuala ya ndoa, ila kwa ninavyo jua mwanume straight singeweza kubali kabisa kuwa na ushirika na huyo aliye taka kukupa denda, ungekua mkali na huyo shoga angekuogopa, ila wewe uka achia awe bado ana kuja kwako. Kingine huyo dogo kuweza kukuambia kwamba yeye amenyonywa uume na shoga ni jambo zito na lisilo la kawaida na sio rahisi kwa mwanaume wa kawaida kuhadithia hilo,ukiachia mbali wewe kumruhusu kwenda kwa mwanaume shoga akashinde huko.
Hapo inaonyesha kuna aina fualani ya u bisexual au hata ushoga unayo na sign moja kubwa ni hicho ikisingizio cha kuplana maisha kabla ya ndoa hivyo kutoa kuwa na uhusiano na demu sababu bado una jipanga huku ukiwa teari unakila kitu .
Tathmini yangu ina wezekana kwamba wewe na huyo dogo mna yenu na umeshindwa kumfanya chohcote huyo shoga sababu labda wewe ni bottom wa kisiri,. samahani lakini ni tathmini tuu isiyo ya kisayansi.
Watu jf mna kuwa na assumption ya kuwajua watu wakati hata hamuwajui.
Nina kila kitu umefika umeona kuwa nina kila kitu?
Kila mtu ana malengo maishani mwake mimi siwez kuoa tu kisa kuoa nitaoa pale nitakapoona kwa sasa niko tayari kuoa by the way umri wenyewe hujaenda sana hivyo sina haraka.
Kama mtu wa kumuoa ninaye lakini siyo mtu wa kwamba kila siku ashinde kwangu ni mfanyakazi na anakuwa bsy na kazi pia tukipata muda tunaweza kaa wote hata mwezi kwangu.
Hayo mengine ni mtazamo wako nishaelezea sina haja ya kurudia.
How you judge me is not my problem as long as I know siyo kweli...
Maisha hayafanani ndiyo maana kuna watu wana hata miaka 50 hawajaoa kuoa ni uamuzi tu... kuna mwingine akimiliki kitanda na subwoofer anaona ana kila kitu aoe mwingine akimiliki nyumba na gari anaoaba ana kila kitu aoe.
Tumezaliwa sote tukiwa sawa ila ndoto zetu zinatofautiana na hapo pia ndipo hutofautiana mafanikio...
 
Kumnyonya mtu ub0o hadi akamwaga inaitwa blow job.

Kumchezea mtu kwa mikono ubo.0 hadi akamwaga inaitwa hand job.
Duh, hivi hisia unazitoa wapi Kwa mwanaume mwenzako,.... Mmmh, mm hata mwanamke mwenzangu akinikumbatia najiskia kinyaa
 
Tena hivi vya 16-25 vinajifunza kulewa ndio vinapakuliwa Kama Ubwabwa!
Kanajifunza kulewa kwa bia za offer Halafu anaogopa
Kurudi nyumbani na Mipombe hivyo anatafuta rafiki Mwenye ghetto ajistiri ndo wanapoharibiwa
Wazazi wanahusika sana na uharibifu huu

Inakuaje uruhusu Mtoto/ Kijana wako alale nje bila ya taarifa hata Kama ni wa Kiume ?


Zile wanaita Slumber party , wana gongana sana hivyo vi teenager vilivyo balehe wanzana wo kwa wao kwanza
Watu jf mna kuwa na assumption ya kuwajua watu wakati hata hamuwajui.
Nina kila kitu umefika umeona kuwa nina kila kitu?
Kila mtu ana malengo maishani mwake mimi siwez kuoa tu kisa kuoa nitaoa pale nitakapoona kwa sasa niko tayari kuoa by the way umri wenyewe hujaenda sana hivyo sina haraka.
Kama mtu wa kumuoa ninaye lakini siyo mtu wa kwamba kila siku ashinde kwangu ni mfanyakazi na anakuwa bsy na kazi pia tukipata muda tunaweza kaa wote hata mwezi kwangu.
Hayo mengine ni mtazamo wako nishaelezea sina haja ya kurudia.
How you judge me is not my problem as long as I know siyo kweli...
Maisha hayafanani ndiyo maana kuna watu wana hata miaka 50 hawajaoa kuoa ni uamuzi tu... kuna mwingine akimiliki kitanda na subwoofer anaona ana kila kitu aoe mwingine akimiliki nyumba na gari anaoaba ana kila kitu aoe.
Tumezaliwa sote tukiwa sawa ila ndoto zetu zinatofautiana na hapo pia ndipo hutofautiana mafanikio...

Sisi wengine ni wajanja sana tunajua kuwasoma watu, kwa maelezo yako pekee umeshajionyesha your personality na tumeshaisoma , unajua una ficha kitu, umeweza weka viashiria vinavyo kuwepo kwa mtu pale anapo kua gay au bisexual wa siri hata kama una mwanamke nina amini ni wa pambo tuu kukufuchia siri yako . labda nikueleze tuu ,kwa mwanaume straight hawezi react kama ulivyo react na pia hawezi kuwa opend na dogo anaye kuja mtembelea na kumruhusu kwenda kwa jirani na kunyonywa uume na kuja kuku hadithia, something is not right here .lakini kumbuka being gay sio jambo la kushangaza most ya binadamu ni bixesuals kwa hiyo usije jiogopa au jaribu ji defend hapa kwa kutumia nguvu sana kwani wengi wanao soma hii ni utakuta ni bisexual vile vile kwahiyo your not alone .usigope.
 
Duh, hivi hisia unazitoa wapi Kwa mwanaume mwenzako,.... Mmmh, mm hata mwanamke mwenzangu akinikumbatia najiskia kinyaa
Umeona eeeh? huyo dogo aliye nyonywya naye ni shoga anaye gonga ,sababu kapatwa na hisia mpaka kamwaga . kuna kitu wana ficha hawa ,siamini kama kweli hawaja shiriki , inaonekana huyo dogo ndio kidume wao wote wawili hao.
 
Hao michicha mwiba ambao hawana mwonekano wa kis.enge ni wa kuwaogopa kama ukoma, wamewatatua sana marinda ya vijana wapenda vya bure.
Na wao huwa wanasimamisha vizuri tu sema tu ndio mpaka wabustiwe kwanza. Tofauti na wale masho.ga ammbao wao huwa wanajiuzza na wameshalegea kila idara na kujionesha waziwazi.
Kuna mchicha mwiba mmoja Kino nasikia kawatafuna vijana acha kabisa.
 
Umeona eeeh? huyo dogo aliye nyonywya naye ni shoga anaye gonga ,sababu kapatwa na hisia mpaka kamwaga . kuna kitu wana ficha hawa ,siamini kama kweli hawaja shiriki , inaonekana huyo dogo ndio kidume wao wote wawili hao.
Hahaha, mkuu umeenda mbali, kuna story kama hii Facebook kwenye group, kuna mdada analalamika kuwa anatongozwa na mwanamke mwenzake baas watu wakaanza kumtrace heeee kumbe yeye ndo anatongoza wenzake na anamwanamke mwenzake kwamba ndo dem wake na kaweka kabisa relationship status Facebook
 
Hahaha, mkuu umeenda mbali, kuna story kama hii Facebook kwenye group, kuna mdada analalamika kuwa anatongozwa na mwanamke mwenzake baas watu wakaanza kumtrace heeee kumbe yeye ndo anatongoza wenzake na anamwanamke mwenzake kwamba ndo dem wake na kaweka kabisa relationship status Facebook


kuna wtu hupenda kutoa story zao kwa namna fulani wasijulikane kama wao ndio wahusika ili tuu wajisikie vizuri, kama zile za rafiki yangu ana ugua ugonjwa anahitaji kujua ni ugonjwa gani, kumbe ni yeye mwenyewe hahahahaha
 
Zile wanaita Slumber party , wana gongana sana hivyo vi teenager vilivyo balehe wanzana wo kwa wao kwanza


Sisi wengine ni wajanja sana tunajua kuwasoma watu, kwa maelezo yako pekee umeshajionyesha your personality na tumeshaisoma , unajua una ficha kitu, umeweza weka viashiria vinavyo kuwepo kwa mtu pale anapo kua gay au bisexual wa siri hata kama una mwanamke nina amini ni wa pambo tuu kukufuchia siri yako . labda nikueleze tuu ,kwa mwanaume straight hawezi react kama ulivyo react na pia hawezi kuwa opend na dogo anaye kuja mtembelea na kumruhusu kwenda kwa jirani na kunyonywa uume na kuja kuku hadithia, something is not right here .lakini kumbuka being gay sio jambo la kushangaza most ya binadamu ni bixesuals kwa hiyo usije jiogopa au jaribu ji defend hapa kwa kutumia nguvu sana kwani wengi wanao soma hii ni utakuta ni bisexual vile vile kwahiyo your not alone .usigope.
Nimeandika nilichoandika kuamua kuamini unachowaza wewe huo ni utashi wako.
Maana jf kila mtu jack of many trades master of none.
Amini unachoamini mimi sijali hunijui sikujui and as long as sio kweli I dont care
 
Nimeandika nilichoandika kuamua kuamini unachowaza wewe huo ni utashi wako.
Maana jf kila mtu jack of many trades master of none.
Amini unachoamini mimi sijali hunijui sikujui and as long as sio kweli I dont care
Swadakta , ila usisahau matumizi ya kinga!
 
lol..dogo kapigwa nusu mlingoti..afu nae anauzima???hahahah dogo wako nae team sampuli o
 
Mdogo wako ameishaliwa mate/saliva na dume jenzie.

Wewe na huyo dogo wako msipokuwa makini nanyi mtaanza kulana saliva hasa msipotengana kukaa kwenye apartment moja.

Kwa kifupi, dogo wako tayari ni "wali" anasubiria tu bwabwa mweingine ndipo utaona hatari yake.
 
Kweli dunia imechoka.
Hapa ninapoishi kuna apartments tano zote ndani ya gate moja lakini kila moja ikijitegemea kwa kila kitu.
Hivyo kutokana na kila moja kujitegemea hakuna muingiliano jambo linalo tufanya hata tusizoeane maana kila mtu ana mambo yake na muda mwingi kila mtu yuko ndani kwake ama kwenye mishe zake.
Sasa recently kuna jamaa aliondoka so akahamia jamaa flani hivi kapanda mrefu mtu wa mazoezi na mtanashati.
Kama kawaida tukawa hatuna mazoea zaidi ya salamu basi kila mtu ana mambo yake na saa nyingibe unaweza pita hata mwezi hatujaonana.
Nakumbuka siku moja luku yangu iliisha units usiku nikawa nahangaika kununua kwa voda sijibiwi yeye alikuwa nje akaninunulia kwa simu yake line ya tigo na toka siku hiyo tukazoeana kawaida.
Kuna siku usiku niko ndani mara naskia mtu anagonga mlango, kufungua nakuta ni yeye kalewa ana heshima za kilevi samahani nyingi.
Akaniambia bro nimekuletea zawadi. Nikamkaribisha ndani akauliza unakunywa pombe nikamwambia siyo sana kidogo tu na mara moja moja.
Akatoa john walker red label akasema nimeleta tunywe sote.
Nikaona siyo tabu japo alikuwa kalewa tukakaa sebuleni kwangu tukaanza shusha chupa taratibu.
Mimi siyo mpenzi wa vinywaji vikali hivyo nikawa nakunywa kwa kutegea so baadae mara akanisogelea akanikumbatia nkamuuliza we jamaa vipi mbona sikuelewi umelewa sana kalale.
Akasema relax samahani lakini mara nikaona analeta domo nikampush akaanguka glass yake ikapasuka na shangwe likaishia hapo nikamwambia akalale na mimi nikaenda lala zangu.
Nilitafakari jambo hilo sana ila nikahisi huenda ni pombe zilimzidia maana aliniambia kabla ya kurudi alikuwa kanywa chupa mbili za black label.
Sikumwambia mtu na hilo tukio nikalifuta kichwani mwangu.
Sasa juzi kuna dogo flani uwa anakuja hapa kwangu wamefahamiana na jamaa na kuna siku akimuita kwake siku ya christmas usku mimi wakati nimelala wao walikuwa kwa jamaa wanapiga ulabu so design wamekuwa marafiki pia.
Sasa juzi nikawa napiga story na yule dogo katika story nikamwambia kuna siku jamaa alifanya hivi na hivi, dogo akaniambia bro hata mimi nilitaka nikwambie yule jamaa hayuko sawa ana element flani sizielewi siku tunapiga ulabu alikuwa ananisugua miguu yangy kwa miguu yake, mara anishikr vidole atakuwa mchicha mwiba yule.
Mimi nikamwambia sitaki kuamini aisee maana jamaa miraba minne halafu mtu wa mazoezi story zake za kuwapanda mabinti tu.
Akasema kweli nakwambia bro na nitaprove kama kweli jamaa mchicha mwiba.
Na kweli usku wake akaja na janzel, kanigongea jirani njoo tupige mambo.
Mimi nikamwambia aisee kwa leo hapana mimi nikinywa pombe mpaka upite muda hata miezi miwili ndio ninywe tena dogo alikuwepo nikamwambia dogo nenda naye.
Wakaenda kwake wakaanza piga ulabu mpaka saa tisa ndipo naskia dogo anafungua mlango anarudi kulala.
Kesho yake asubuhu yani jana, dogo ananiambia jirani yako punga bro nimeprove.
Nikamuuliza kwani vipi akaniambia alianza nishika akanikiss namimi ni ka act niko ok nione mwisho wake, nikawa namshika kiuno mara mgongo akanipa blow job bro baadae akataka nimwingilie nikagoma akaniahidi atanipa sihyi ela simu tv nikamwambia next time.
Aisee nilipigwa butwaa jamaa huwezi mfikiria kwanza ana demu wake mzuri alinionyesha picha zake kwenye simu, pili ana mtoto na tatu naskia mabinti hapa mtaani wanampenda sana.
Toka dogo kaniambia na akanionyesha sms jamaa alimtxt akimwambia aije thubutu niambia ibaki siri baina yao.
Jamaa sitaki hata kumwona mazoea naye sitaki kabisa, na huyu dogo naye ujasiri wake umentisha hadi anatulia dume linampa blow job hata kama ni research imepitiliza naye natafuta jinsi aache kuja kwangu maana inaelekea ahadi za jamaa kama zimemwingia kichwani vile.
Madada poleni sana maana wanaume wanazidi kuisha yani huwezi jua jamaa kama shoga kuanzia umbo lake muonekano wake na mazoezi anayopiga.

Mwambie dogo research haina conclusion na findings arudi tena Field
 
Back
Top Bottom