Nimegundua leo kuwa kisamvu ni majani ya mti wa Muhogo

Hapo ukute unapata na Mkopo wa kusoma hiyo BA Kiswahili Hapo TEKKU. Lakini unachowaza pumba tu
 
Sio majani ya mhogo ila mpira (jamii inayofanana na mhogo)
 
[emoji23] kama ungekufa na Corona hiyo ingepita kushoto
 
Aya ya mwisho inatia shaka. Kuna harufu ya kufunua sketi mbili asubuhi yote hii......mnh....!!!!!
 
Happ ukute unapata na Mkopo wa kusoma hiyo BA Kiswahili Hapo TEKKU. Lakini unachowaza pumba tu
Hahaha Nilivyosoma tu coment nka scroll up tayari nilisha hisi huyo ni Joshua, mkuu teku wamekufanyaje au kuna ka msela ka teku kalikumbombea Demu wako nini hii si mara ya kwanza nakuona una attack teku na chuo fulani cha Morogoro
 
Majani ya mhogo kisamvu chake hunukia vizuri ila mpira ni kama maji tu
 
Kuna kisamvu cha majani ya mti wa muhogo na kisamvu cha mpira. Utofauti wake ni upana wa majani ila taste ni ile ile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…