Nimegundua makosa madogo ya kiuandishi katika Press Release ya leo iliyotolewa na Madam Zuhura Yunus

Nimegundua makosa madogo ya kiuandishi katika Press Release ya leo iliyotolewa na Madam Zuhura Yunus

Huo unaouona utata kwenye hiyo sentensi moja unajibiwa ukisoma andiko lote.

Nadhani ni makosa kuchota sentensi moja na kuitolea maana, hili andiko linaarifu kwa kusimulia ktk namna fulani. Hivyo kuipata maana kusudiwa (kwenye suala hili ni aidha Mbossa kachukua nafasi au kateuliwa) ni muhimu kurejea kichwa cha habari au kuendelea kusoma andiko.
Andiko lina makosa,ukimpa mwalimu wangu wa chuo hapo utakuta makosa 20
 
Andiko lina makosa,ukimpa mwalimu wangu wa chuo hapo utakuta makosa 20

Ndiyo, ninakubali kuwa kwenye baadhi ya maeneo alama za uandishi hazikuzingatiwa.

Ila nilichoandika ambacho wewe ‘umereply’ ilikuwa kujibu hoja mahususi iliyolenga sentensi moja.
 
Sio kweli hata kidogo. Mtangazaji ni mwanahabari na mwanahabari kujua uandishi ni jambo muhimu.

Pascal Mayalla tusaidie hapa maana naona tunabishana tu.

All in all, mpaka hapa Madam Zuhura nitakuwa nimemsaidia, na nitakuwa pia nimesaidia kulinda image ya ofisi yake pamoja na ya Boss wake kwa siku za mbeleni.

Kumbuka hiyo ni Kurugenzi na sio mtu mmoja kama Salary slip. Pia, mabandiko ya Salary Slip hayana hadhi kama yale ya Ikulu na yanaishia hapa hapa JF.
Mkuu Kishina cha Mshahara, Salary Slip, kwanza hongera sana for having "an eye for details" yaani una jicho fulani hivi, hata sindano ikidondoka unaweza kuitafuta ukaipata. Enzi za Nyerere waalimu wa sekondari walikuwa wamepewa maelekezo wakikutana na wanafunzi wa type yako, wawaripoti ili baada tuu ya kumaliza shule wale 'jamaa zetu' wana Ku recruit, watu wa type yako husaidia sana jamii, big up for this hata humu jf, unasaidia sana tuu.

Tukija kwenye uandishi wa habari, fani rasmi ya uandishi wa habari ni Journalism, hivyo hata mtu akiwa mtangazaji, huanza kwanza kuwa mwandishi, a journalist, then ndio unakuwa broadcast journalist.

Wengi Zuhura Yunus wamemjua baada ya kuteuliwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, lakini sisi tunamfahamu tangu akiwa BBC na tumekuwa tukimshauri and she is a very positive lady hata mimi niliwahi kumpiga spana hii akiwa BBC Uchaguzi 2020 - Uongo na Upotoshaji huu wa BBC London kuhusu Tanzania kipindi hiki cha kampeni una maana gani? Sio mbinu za mabeberu? Wapi weledi wa ki-BBC? hivyo alipotimuliwa Ikulu niligopa maana..
Lakini baada ya kula shavu la Ikulu nilipoutoa ushauri huu kwakwe, asiwe bubu, Alichokifanya Gerson Msigwa, New York alipaswa akifanye Siku Zote Ikulu. Zuhura Yunus Asiwe Bubu!
she took it very positive na sasa anautekeleza, yeye sio bubu.

Sisi wenye jicho la ndani na Sikio la ndani, ukitoa ushauri kwa nia njema in good faith, hiyo nia njema inaonekana wazi.

I share with you the sentiments kuwa kuna ofisi na ofisi, afisi nyingine zinaweza kufanya hizi silly mistakes na zikavumiliwa but not ofisi yetu kuu, it has to be perfect, hata enzi za Braza niliwahi kushauri Wasaidizi wa Rais, Please Msaidieni Rais Wetu Kwenye Public . Msimuachie Kila Kitu Peke Yake! .

Pia Naamini Rais Magufuli ana washauri wazuri na anashauriwa vizuri tuu! , Ila...

P.
 
Mkuu Kishina cha Mshahara, Salary Slip, kwanza hongera sana for having "an eye for details" yaani una jicho fulani hivi, hata sindano ikidondoka unaweza kuitafuta ukaipata. Enzi za Nyerere waalimu wa sekondari walikuwa wamepewa maelekezo wakikutana na wanafunzi wa type yako, wawaripoti ili baada tuu ya kumaliza shule wale 'jamaa zetu' wana Ku recruit, watu wa type yako husaidia sana jamii, big up for this hata humu jf, unasaidia sana tuu.

Tukija kwenye uandishi wa habari, fani rasmi ya uandishi wa habari ni Journalism, hivyo hata mtu akiwa mtangazaji, huanza kwanza kuwa mwandishi, a journalist, then ndio unakuwa broadcast journalist.

Wengi Zuhura Yunus wamemjua baada ya kuteuliwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, lakini sisi tunamfahamu tangu akiwa BBC na tumekuwa tukimshauri and she is a very positive lady hata mimi niliwahi kumpiga spana hii akiwa BBC Uchaguzi 2020 - Uongo na Upotoshaji huu wa BBC London kuhusu Tanzania kipindi hiki cha kampeni una maana gani? Sio mbinu za mabeberu? Wapi weledi wa ki-BBC? hivyo alipotimuliwa Ikulu niligopa maana..
Lakini baada ya kula shavu la Ikulu nilipoutoa ushauri huu kwakwe, asiwe bubu, Alichokifanya Gerson Msigwa, New York alipaswa akifanye Siku Zote Ikulu. Zuhura Yunus Asiwe Bubu!
she took it very positive na sasa anautekeleza, yeye sio bubu.

Sisi wenye jicho la ndani na Sikio la ndani, ukitoa ushauri kwa nia njema in good faith, hiyo nia njema inaonekana wazi.

I share with you the sentiments kuwa kuna ofisi na ofisi, afisi nyingine zinaweza kufanya hizi silly mistakes na zikavumiliwa but not ofisi yetu kuu, it has to be perfect, hata enzi za Braza niliwahi kushauri Wasaidizi wa Rais, Please Msaidieni Rais Wetu Kwenye Public . Msimuachie Kila Kitu Peke Yake! .

Pia Naamini Rais Magufuli ana washauri wazuri na anashauriwa vizuri tuu! , Ila...

P.
Asante sana mkuu. Naamini comment yako kama mwandishi, ilikuwa muhimu sana hapa, na bila shaka Muhusika ataona uzito wa hoja hii.

Asante sana.
 
Simtetei, ila hata mimi nimeona makosa kwenye uandishi wako.
Kwenye quote ya kwanza, dada yetu anaitwa Zuhura, siyo Zuena; na jina lilipaswa kuanza na herufi kubwa.
Kwenye quote ya pili, neno 'yaliyofuayta' lilipaswa kuwa 'yaliyofuata'.
Ni hayo tu.
Mbona hamuelewi,kasema (nami namuunga mkono),tukikosea sisi siyo shida saana.Kwanza sisi hatuna vitengo wala siyo kwamba tunafatiliwa kiofisi na watu wengine.Ndiyo maaa hata maneno ya kishikaji unaweza chomeka humu.
Wale wanaandika haya kiofisi na kumbuka taarifa hii inafatiliwa hata na watu wasiojua ligha ya kiswahili hivyo wanaweza kuhitaji kutafsiri ktk google.
Nikukumbushe 'binadamu kumla samaki siyo habari,lakini samaki akimla binadamu hata Urisi anaweza kustisha vita kwanza ili amsungue kwanza samaki huyo!'
 
Japo mimi sio mtaalama wa maswla ya uandishi na wala si mwandishi wa habari, ila nimegundua makosa madogo ya kiuandishi katika Press Realease ya leo iliyotolewa na Madam Zuhura Yunus aliefanya kazi kwenye chombo kikubwa cha habari kama BBC.

Kwa uelewa wangu mdogo, Dada yangu Zuhura anakosea katika matumizi ya comma, ila kutokana na unyeti wa nafasi yake, makosa haya yasipuuzwe unless mimi ndio niko wrong.

Kwa mfano, neno TPA liloko katika mabano, lilipaswa kufuatiwa na comma kabla ya kutaja jina la Ndugu Eric Hamisi ambae uteuzi wake umetenguliewa.

Kasoro nyingine naiona katika hii sentesi: "kabla ya uteuzi huo".

Kwa uelewa wangu mdogo, mwisho wa sentesi hiyo fupi, kulistahili kuwa na comma kabla ya kuendelea na sentesi iliyofiuayta inayoanza na "Ndugu".

Ukiacha kasoro hizo mbili, hata hii sentesi: "Ndugu Plascude Mkeli Mbossa" , iliostahili kufuatiwa na comma kabla ya kuendelea na maneno yanayofuayta (yaani ingeandikwa hivi: "Ndugu Plascude Mkeli Mbossa, ......").

Hata katika aya ya kwanza, sentesi: "...... leo 04, July 2022 ......" comma ilipaswa kufuata baada ya 2022 na kisha ndio angeendelee na maneno yaliyofuata(yaanii ingekuwa hivi: "..... leo 04, July 2022, ametengua ......).

Kama nimekosea mnisahihishe, ila kama niko sahihi kama navyoamini, wataalamu wa uandishi watakuwa wanaona makosa mangapi na ukizingatia hii ni document kutoka ofisi kubwa kabisa kwa nchi yetu?

Kwakweli kama ni kupitiwa au alisahau kufanya editing, basi walau kasoro hiyo ingejitokeza mara moja au mbili, ila hapa imejitokeza mara tatu na si ajabu kuna makosa mengine yanayoweza kuainishwa na wataalamu wa uandishi.

Ukosoaji huu ni kwa nia njema kwani document kama hii inasomwa na watu wengi wa ndani na nje ya nchi.

Sisi wengine hata tukichapia sawa tu, ila sio Zuhura kwa nafasi aliyonayo, na pia kwa fani aliyonayo ya uandishi wa habari.

NB: Tatizo kubwa hapa si typing error, kosa ambalo wengi hulifanya/tunalifanya, bali tatizo linaoonekana ni Mhusika kuwa na udhaifu kwenye matumizi ya "comma" kwenye uandidshi na ndio maana kasoro husika imejirudia zaidi ya mara tatu kitu ambacho sio kizuri kwa mtu kama yeye ukizingatia wadhifa alionao.

View attachment 2281127

Matumizi ya punctuation marks ni shida kwa baadhi ya wandishi wa habari. Obviously, huyu ni mmoja wao. Mwingine, ambaye hawezi kukosekana kwenye hiyo orodha, ni Paschal Mayalla.

Nadhani baadhi ya wandishi wa habari walipaswa kuwa watangazaji tu.
 
Makosa ni mengi tu kiukweli.

Hata uandishi wa tarahe haujakaa sawa,pia neno Ikulu mwisho wa habari lilipaswa liwekewe nukta lakini hajafanya hivyo!!


Alama za uandishi hazijazingatiwa kabisa. Kuna haja kubwa sana kufanyiwa kazi haya makosa madogo. Kuandika tarehe "4Julai,2022"aise HAPANA!!
Kama watu wanakwapua mabilioni ya hela na hawaambiwi kitu ndio hiyo watajali?
 
Back
Top Bottom