Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alitumia gia ya kuoa Ili ale mzigo kiulainiHuyo jamaa wa 3 kuna mawili:
Huenda alikuwa anatesti mitambo kuhusu kuishi wote akaona imetick ghafla mno kastuka kuwa anapigwa.
Au ni kweli amedhamiria kuishi na wewe hivyo ameanza kukupima uvumilivu wako na reactions zako anapokuwa hakuzingatii.
Note:
Most women make no effort to keep their relationships healthy when the evil strikes , mara nyingi huendekeza lawama tu na kulalamika.
Huu sasa ndo ushauri...Pole ila ushauri wangu punguza huruma kwenye mapenz
🙌🙌🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ila jamii forums ina watu asee ...mtoa mada wapotezee asee usijejiua bureMkiwa wabichi huwa mnalinga ila Mkiwa mimama kama saizi mnataka kutwisha zigo mwanaume yoyote ndohapo utaanza kusema umekosa nn kutoka Kwangu kumbe k imepauka sana ukifunua tu inacheka kama mdomo wa kambale, unawatoto umetepeta. Wewe saizi uza hata mahindi ya kuchoma kwenye barabara za lami pembezoni utafute hela ya kodi na sabuni tu
Mwanamke akisikia ndoa tu beki hazikabi.Alitumia gia ya kuoa Ili ale mzigo kiulaini.
Yaani tumeivuruga wenyewe, tusitafute wa kumlaumu.[emoji16][emoji16][emoji16] key word
Tumeifanya Dunia kuwa ya ajabu ajabu sana