BIG THINKER
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 680
- 1,436
Siyo sawa kumfanyia ustaarabu masikinWw nawe pia ni fala kama fala wengine na huna ustaarabu, ni kwann asubiri umalize kunywa ndio ukatoe gari.?
Nan kasema magufur alikuwa MASKIN!?Magufuli alikuwa masikini
[emoji848][emoji55]
SahihiNa kweli njaa huleta hasira... Ndiyo maana ukitongoza demu kwa Mara ya kwanza hakikisha anakula kwanza kabla ya maongezi..
Elewa mada basi 😠😠😠Nan kasema magufur alikuwa MASKIN!?
AISEE HII NCHI UHURU UMEZIDI🤣🤣🤣Sasa naona kampiga kofi muhudum
Dogo acha kiburi!!!Je ukiwa tajiri kama sisi si utajisaidia barabarani mdogo wangu!!!!Be humble dunia mapitoKama kichwa Cha habari kinavyojieleza
Muda huu Niko hpa nakunywa nimechelewa kufika Sasa nimepaki gari langu nyuma ya magari ya vyombo vingine vya usafir...
Mbona hukuja kuchukua funguo za range we dada au ulijisahauKuna watu watakuja kusema hii chai, mtoa mada uwapuuze
Nilifika hadi eneo la tukio nikashindwa kukudipu simu haikua na salioMbona hukuja kuchukua funguo za range we dada au ulijisahau
Rafiki yako zawadi yake 🤣🤣🤣
MAWEED vuta ☘️☘️ kwanzaKama ungetoka wewe basi kichwa cha uzi wako kingesomeka
NIMEZABWA VIBAO BAR NA MASIKINI LEO
Kwa kwel ingesomeka hivyoKama ungetoka wewe basi kichwa cha uzi wako kingesomeka
NIMEZABWA VIBAO BAR NA MASIKINI LEO
Nelson Jacob lushasiDogo acha kiburi!!!Je ukiwa tajiri kama sisi si utajisaidia barabarani mdogo wangu!!!!Be humble dunia mapito