Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #221
Weka sukari tukunyweππππ
Ahaaah wewe ni ME /KE Kasomee utawa u enjoy life relationship ni shida siku hiziRoho unaniumaga Sana nikiona post ya hivi .....tena hadharani
Ninavyowajua wabongo wangetongoza hata wadada "wabovu" kwa lengo la kupiga mashangazi zao "wakali"[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787]Shangazi anakuiita kule Uganda[emoji125][emoji125]
mimi shangazi simtaki.Hahahahaha, interview inaanzia Kwa shangazi[emoji23][emoji23]
Nimesema shangazi anakuiita πππ
ndg usichezee shilingi chooni.sitaki sasa ..kwani lazima!!!!!!!!!!!
Sema kweli yako sasaSi kweli
fala wewe..... π π π π πndg usichezee shilingi chooni.
kwa umri wako bora umkubali tu huyo shangazi,tena ukikazana unaweza kupewa zawadi mbali mbali
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππAhaaah wewe ni ME /KE Kasomee utawa u enjoy life relationship ni shida siku hizi
HaahahahhaahNinavyowajua wabongo wangetongoza hata wadada "wabovu" kwa lengo la kupiga mashangazi zao "wakali"[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Si unaenda kupimwa urijali, mbona unakuwa mkaliπππππππsitaki sasa ..kwani lazima!!!!!!!!!!!
Hahahahahaahhahaπππππndg usichezee shilingi chooni.
kwa umri wako bora umkubali tu huyo shangazi,tena ukikazana unaweza kupewa zawadi mbali mbali
Sent using Jamii Forums mobile app
Shangazi oyee ππππfala wewe..... π π π π π
basi tu yaani bibi harusi nilikuwa nimeshamuweka kwenye 18 zangu sema ndio vile tu kitumbua kimeingia mchangaNdoroooboe,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo ivyo bwana
Bouncer kavunja ndoa ya watu
Haaah shangazi sio mm nlietaka # hebu rejea comments za juu hapo utajua nan aliyekuomba [emoji23][emoji23][emoji23]Si umetaka namba ya biharusi?!
Hio hapo, VP tena mbona waogopa?![emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaha, foleni inaanzia Kwa shangaziππbasi tu yaani bibi harusi nilikuwa nimeshamuweka kwenye 18 zangu sema ndio vile tu kitumbua kimeingia mchanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Shangazi oyee ππππ
Sauwa atasikiaUshauri wangu aachane nae tu
Haina nomaHaaah shangazi sio mm nlietaka # hebu rejea comments za juu hapo utajua nan aliyekuomba [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app