Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #261
Asante Kwa mchango wakoImoji kibao, unapoteza kabisa uharisia wa Jambo lenyewe labda umetunga.
Kama Ni kweli we usikilize moyo wako unataka nini utakaa na msera anayesukumwa tope ama unakula Kona maamuzi Ni yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mwanamke hana akili,ameletewa picha na mesenja na yeye amezipokea pasipo kumuuliza mchumba ake anaanza kusambaza kwa watu,amejiuliza lengo ni nini la kuletewa hizo picha na mesenja,kuna viashiria vyovyote aliwahi kuviona mwanzo kabla hajavikwa pte kuwa mumewe mtarajiwa ni bwabwa??kwa teknelojia ya sasa ilivyo kubwa unawezaje kuamini picha moja kwa moja na kianza kumuiabisha mumeo mtarajiwa pasipo kujiridhisha??ni vipi akija kigindua si kweli ,atawwza kumsafisha??Jana, nilisheherekea siku ya kuzaliwa ya Baba yangu Mzazi, tukaalika ndugu, jamaa na familia wa karibu kuja kumpongeza Mzee wetu
Katika kupika pika kule jikoni Akina mama sie, msichana mmoja akafunguka Kwa machozi mengi tukabakia na mshangao kwasababu NI Bibi harusi mtarajiwa,
Bibi Harusi: jamani Mimi nazidi kuchanganyikiwa mwenzenu, najua nimevishwa Pete j2 iliopita lakini juzi amenifuata Mesenja ofisini, akaniambia saini hapa nikasaini akaondoka..
Kufungua na kuangalia nakuta picha za mchumba wangu, anafanya Mapenzi na mwanaume mwenzake, tena anachekeleeea kabisa.
Nilitapika pale pale, sikula siku 3 nimelia Sana, sijamwuliza mpaka sasa mchumbangu, akipiga simu naongea nae kama hamna kitu, akitaka tuonane namkwepa namwambia corona mpaka leo Birthday ya Babu, nimeona nisipoongea ntakufa[emoji1784][emoji856][emoji855]
Nifanyaje?! Mume wangu mtarajiwa NI Bwabwa(shoga)?!
Akatoa picha kwenye pochi akaziweka mbele yetu tukahakikisha kabisa.[emoji125][emoji125][emoji125]
Doh kweli bwana! MKWE NI Bwabwa, tena anatulizwa na jamaa amejazia kweli kweli kama wale ma bouncer wa kwenye makumbi ya starehe kama disco[emoji123]
jamani mpeni ushauri biharusi mtarajiwa, akae au atembee [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Je kama wote NI wapendwa katika bwana?!Huyo mwanamke hana akili,ameletewa picha na mesenja na yeye amezipokea pasipo kumuuliza mchumba ake anaanza kusambaza kwa watu,amejiuliza lengo ni nini la kuletewa hizo picha na mesenja,kuna viashiria vyovyote aliwahi kuviona mwanzo kabla hajavikwa pte kuwa mumewe mtarajiwa ni bwabwa??kwa teknelojia ya sasa ilivyo kubwa unawezaje kuamini picha moja kwa moja na kianza kumuiabisha mumeo mtarajiwa pasipo kujiridhisha??ni vipi akija kigindua si kweli ,atawwza kumsafisha??
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo pm nitakupatiaππππ
ShigoxJana, nilisheherekea siku ya kuzaliwa ya Baba yangu Mzazi, tukaalika ndugu, jamaa na familia wa karibu kuja kumpongeza Mzee wetu
Katika kupika pika kule jikoni Akina mama sie, msichana mmoja akafunguka Kwa machozi mengi tukabakia na mshangao kwasababu NI Bibi harusi mtarajiwa,
Bibi Harusi: jamani Mimi nazidi kuchanganyikiwa mwenzenu, najua nimevishwa Pete j2 iliopita lakini juzi amenifuata Mesenja ofisini, akaniambia saini hapa nikasaini akaondoka..
Kufungua na kuangalia nakuta picha za mchumba wangu, anafanya Mapenzi na mwanaume mwenzake, tena anachekeleeea kabisa.
Nilitapika pale pale, sikula siku 3 nimelia Sana, sijamwuliza mpaka sasa mchumbangu, akipiga simu naongea nae kama hamna kitu, akitaka tuonane namkwepa namwambia corona mpaka leo Birthday ya Babu, nimeona nisipoongea ntakufaπ€§π€π€
Nifanyaje?! Mume wangu mtarajiwa NI Bwabwa(shoga)?!
Akatoa picha kwenye pochi akaziweka mbele yetu tukahakikisha kabisa.πππ
Doh kweli bwana! MKWE NI Bwabwa, tena anatulizwa na jamaa amejazia kweli kweli kama wale ma bouncer wa kwenye makumbi ya starehe kama discoπͺ
jamani mpeni ushauri biharusi mtarajiwa, akae au atembee ππππππ
We n ke au me?Endelea kusubiri wakati tunakuunganisha na muhudumu wetu .... [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Embu TOA msaada Kwa biharusi mtarajiwa bwana Acha vurugu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie wanaume skuhizi mnatinduliwa?! [emoji125][emoji125]
Ke
Sawa uje Kwa shangazi kule anakuitaππππKwani alichaguliwa si walikubaliana wenyewe! Wakae wenyewe pia wajadili kama watawekeana zamu na huyo Baunsa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamaokomezee Kwanza shangazi wa kiganda ndio uje kwanguπππAhaaahaaa nimekusamehe bure ningeisokomeza mboo kinywani mwako nione kama hutopata covid 19 π
NI sheedah ππππ[emoji23][emoji23][emoji23] nmecheka had bas khaaa, japo inaweza iwe story ila ndio uhalisia ulioko kweny jamii, siku hizi wanaume wengi n misago na michicha mwiba. Yaaan Pa1 na udhaifu wangu wa kijinsia sihitaji kabisaaa msago. Mweeeeeh dune zima linanyonywa chuchu, linapigwa stater matak.. on ili urungu usimame msieeeeeew. Ni heri nijichue kwa dildo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe je hutaki?Kamaokomezee Kwanza shangazi wa kiganda ndio uje kwanguπππ
Ukimalizana na shangazi uniambieπππWewe je hutaki?
Mbona tiyari bibie nakusikiza sasaUkimalizana na shangazi uniambieπππ
Umesema waoaji wapya wote ni mabwabwa nami nasema si kweliSema kweli yako sasa