Nimegundua mchumba wangu ni shoga, nifanyaje?

Imoji kibao, unapoteza kabisa uharisia wa Jambo lenyewe labda umetunga.

Kama Ni kweli we usikilize moyo wako unataka nini utakaa na msera anayesukumwa tope ama unakula Kona maamuzi Ni yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Kwa mchango wako
Unaitwa na shangazi harusi kule, akakuhesabu πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huyo mwanamke hana akili,ameletewa picha na mesenja na yeye amezipokea pasipo kumuuliza mchumba ake anaanza kusambaza kwa watu,amejiuliza lengo ni nini la kuletewa hizo picha na mesenja,kuna viashiria vyovyote aliwahi kuviona mwanzo kabla hajavikwa pte kuwa mumewe mtarajiwa ni bwabwa??kwa teknelojia ya sasa ilivyo kubwa unawezaje kuamini picha moja kwa moja na kianza kumuiabisha mumeo mtarajiwa pasipo kujiridhisha??ni vipi akija kigindua si kweli ,atawwza kumsafisha??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je kama wote NI wapendwa katika bwana?!
Hawaruhusiwi kusini mpaka ndoa?! πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Shigox
 
[emoji23][emoji23][emoji23] nmecheka had bas khaaa, japo inaweza iwe story ila ndio uhalisia ulioko kweny jamii, siku hizi wanaume wengi n misago na michicha mwiba. Yaaan Pa1 na udhaifu wangu wa kijinsia sihitaji kabisaaa msago. Mweeeeeh dune zima linanyonywa chuchu, linapigwa stater matak.. on ili urungu usimame msieeeeeew. Ni heri nijichue kwa dildo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NI sheedah πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…