Nimegundua mdogo wangu ana mahusiano ya kimapenzi na Mpenzi wangu

Kwa uzoefu wangu wanao fanyaga hayo!! Kaka mkubwa ukipiga kimya! dogo ata paralyse/pigo!! ....hasahasa km ikitokea akazaa na dem huyo! hali inakuwaga mbaya zaidi, kaka mkuu ukiweza waonye make dogo/dem wanajua! km unamtakia mema dogo ! mkanye!

ukitaka uzuri dogo asi-paralyse mwili mwambie! kosa lake na atubu kiukweli!! vinginevyo dogo akikaidi dogo ataumia ki afya ni ile mbaya, weye ni wa level ya Baba yake!.....kamwee usichezee kitu ya Babako! tena ukijua heee! ni habari nyingine!

Bora angefanya mnae fuatana ziwa huyo ni kama pacha!! Mtaniwe!!....... lkn dogo wa mbaali ivo huyo ni km ulimlea tu!...msaidie kabla hali haijawa mbaya sana! .... ukitaka/penda!

Mifano ninayo miingi sana ila kiurahisi nakupa huu wa kibiblia waweza soma kwa waktiwe '' Abosalom alimfanya mke wa Babake Mfalme Daudi ...kilichotokea aliuawa ghafla mwaloni kirahisi mno, tena kimaajabu tu!! na aliye mchochea kuyafanya hayo..alijnyonga tu bila sababu!!...

Reuben alijikwaa kwa kitanda cha babake!! lkn akatubu!! adhabu yake akanyimwa heshima ya uzaliwa wa kwanza!.... na mara nyingi wenye mali huwa wanajua madhambi yanayotendeka hapo kati kimaajabu sana!

Dogo lako! miaka minne zaidi kiumri ....huyo ni amepanda kitanda cha Baba yake tena maksudi, Kamwe hatakuwa na fursa za maisha /neema maishani mwake mwote! km mie muongo subiri uone akitendwa na maisha live!! !

sikujui hunijui ila dogo atakavyo pata kichapo cha maisha ni utashangaa!!...subiri!...shika maneno haya uone!! au laah! muwahi atubu na aache!...atamke amepiga mara ngapi wapi na lini na kwanini!
 
Jamaa achukue ushauri huu
 
Pole sana kiongozi usifikirie kufanya kitu kibaya,Mungu amekuonyesha mapema kuwa hakuwa chagua lako ingawa kwa macho ya binadamu uliona hilo piga moyo konde, vumilia, huna haja ya kufikiria kujiua hujaimaliza hii Tanzania na dunia kwa ujumla wanawake ni weeeengi wazuri, wenye mapenzi ya dhati jipe muda ikiwezekana fanya safari sehemu tofauto tofauti itakusaidia kukupa Amani ya moyo kamwe usifikirie kuuvunja undugu ni mapito tu
 
We dogo kwanza tulia,kama kuna mahali pangine nenda katulize akili cos ni aibu sana kugombana na mdogo wako sababu ya mbususu narudia ni UJINGA WA HALI YA JUU..

Usimuoneshe dogo kama umejua kuhusu mahusiano yao.

La mwisho tafta njia ya kuwaachanisha watu hao(FANYA FIGISU ZA HALI YA JUU)hapa tutamuhitaji sana kaka deep bond kwa ushauri manake huyu ni Master kwenye haya matukio.

Kama ukitaka kuendelea naye fanya hayo,ila kama umemchoka kwa alichofanya muache kimya kimya kuepusha fedheha.
 
Roho yako siku ikipiga paaa!!....dogo hana maisha....wewe ni baba yake tu....mshua akifa leo weye ndo mbeba mikoba

.anaweza aka-paralyse mwili mazima huyo...huwezi cheza na kitanda cha babayo.ukabaki salama!.....abosalum kwenye Biblia alitembea na mke wa babae... alikufa.
 
One man Down...

Piga Chini hyo Mama Mkuu, Pole Sana.
Jifanye hujui kitu , mpe madawa ya kulevya huyo demu kisha , kula mtungo na wahuni ulowaanda ukimrekodi , bila kuweka sura , tafuta mchora tatoo amchole matakoni loser , kisha mwite mahali na dogo wachane
 
...Umesema Mpenzi Wako ulikuwa Unampenda Sana... Yeye alikuwa anakupenda Sana?? Ametembeaje na Mdogo Wako???
Piga Chini, Songa Mbele...
 
Ukinywa sumu ndo nini kitatokea??niamini mimi kama ulikuwa na mpango wa kunywa sumu basi tayri ungeshakunywa hata sms hii ndefu usingepata muda wa kuandika.achana nao songa mbele maisha ya sasa usichukulie mahusiano kama kitu serious sana yaan weka mguu moja ndani mwingine nje (simaanishi usimpende mtu)hapana ila kuwa na akiba kwa siku kama hizi.
 
Vp kama dogo alianza kumgonga long time halafu wewe umepora demu wa dogo nae kakuheshimu tu?
 
 
 
huyo msichana ameshakuona bolizozo you have no future. haiwezekani kijana wa miaka zaidi ya 24 bado unakaa kwa baba na mama. when will you grow up? she has discovered masculinity kwa mdogo wako.
 
Ungezirusha hizo picha za utupu kwa damange kimavi ungeokoa fungu flani ivi af nyingine unge upload pornhub ungeingiza mpunga jifunze kubadilisha changamoto kua fursa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…