Thomson mtau
JF-Expert Member
- May 31, 2024
- 251
- 379
Huo muda wakufanya hayo yote ulipatia wapi? Ulitakiwa uwe bize kwa kutengeneza mazingira ya kupata pesaKatika pitapita kwenye maeneo ya ofisi ya mpenzi wangu, nikasikia wananiteta, ''kimburu wangu ananivuruga kweli, hataki kutulia na mimi, kila wakati ni migogoro tu''
Wenzie wakamuuliza, kimburu ndio nani; ndipo aliponitaja equation x.
Baada ya kusikia hayo maneno, hata sikuingia ofisini kwake, ikabidi niendelee na mihangaiko yangu.
Hapa bado natafakari, kwa nini ananiita mimi kimburu?
Nipeni ushauri wakuu, au na nyie wapenzi wenu wanawaita majina ya ajabu ajabu wakiwa na marafiki zao?