kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
Duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii imekuwa edited mkuu!Hatoi majibu kwa kuwa kichwa cha habari kinajieleza, someni chote jamani....nanukuu
Nimegundua mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile na mwanamke mwingine
Umewahi sana kuleta mambo ya talaka tulia kwanzaPole sana dadangu hili jambo ni gumu sana. Kama unavosema inatia sana kinyaaa pia. Hapo talaka ndio suluhisho kwa sababu kwa dini zote hili jambo halitakiwi na ni dhambi mbaya sana.
PoleHabari,
Nimegundua kuwa mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile. Najiskia vibaya na siko tayari kushiriki naye tendo la ndoa kwa kuhofia magonjwa na najiskia kinyaa pia.
Naombeni mnishauri, ushauri wa kujenga tafadhali siyo kejeli.
Asanteni.
Umewahi sana kuleta mambo ya talaka tulia kwanza
Kubali mwanangu. Hapo mume huna. Uamuzi ni wako.Habari,
Nimegundua kuwa mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile. Najiskia vibaya na siko tayari kushiriki naye tendo la ndoa kwa kuhofia magonjwa na najiskia kinyaa pia.
Naombeni mnishauri, ushauri wa kujenga tafadhali siyo kejeli.
Asanteni.
uligunduaje? pili kila mwanaume anafanya hivyo,sasa utafanyaje?Habari,
Nimegundua kuwa mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile. Najiskia vibaya na siko tayari kushiriki naye tendo la ndoa kwa kuhofia magonjwa na najiskia kinyaa pia.
Naombeni mnishauri, ushauri wa kujenga tafadhali siyo kejeli.
Asanteni.
Pole sanaHabari,
Nimegundua kuwa mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile. Najiskia vibaya na siko tayari kushiriki naye tendo la ndoa kwa kuhofia magonjwa na najiskia kinyaa pia.
Naombeni mnishauri, ushauri wa kujenga tafadhali siyo kejeli.
Asanteni.