Nimegundua mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile na mwanamke mwingine

Nimegundua mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile na mwanamke mwingine

Hatoi majibu kwa kuwa kichwa cha habari kinajieleza, someni chote jamani....nanukuu

Nimegundua mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile na mwanamke mwingine​

Hii imekuwa edited mkuu!
 
Pole sana dadangu hili jambo ni gumu sana. Kama unavosema inatia sana kinyaaa pia. Hapo talaka ndio suluhisho kwa sababu kwa dini zote hili jambo halitakiwi na ni dhambi mbaya sana.
Umewahi sana kuleta mambo ya talaka tulia kwanza
 
Habari,

Nimegundua kuwa mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile. Najiskia vibaya na siko tayari kushiriki naye tendo la ndoa kwa kuhofia magonjwa na najiskia kinyaa pia.

Naombeni mnishauri, ushauri wa kujenga tafadhali siyo kejeli.

Asanteni.
Pole
 
Habari,

Nimegundua kuwa mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile. Najiskia vibaya na siko tayari kushiriki naye tendo la ndoa kwa kuhofia magonjwa na najiskia kinyaa pia.

Naombeni mnishauri, ushauri wa kujenga tafadhali siyo kejeli.

Asanteni.
Kubali mwanangu. Hapo mume huna. Uamuzi ni wako.
 
Habari,

Nimegundua kuwa mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile. Najiskia vibaya na siko tayari kushiriki naye tendo la ndoa kwa kuhofia magonjwa na najiskia kinyaa pia.

Naombeni mnishauri, ushauri wa kujenga tafadhali siyo kejeli.

Asanteni.
uligunduaje? pili kila mwanaume anafanya hivyo,sasa utafanyaje?
 
Habari,

Nimegundua kuwa mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile. Najiskia vibaya na siko tayari kushiriki naye tendo la ndoa kwa kuhofia magonjwa na najiskia kinyaa pia.

Naombeni mnishauri, ushauri wa kujenga tafadhali siyo kejeli.

Asanteni.
Pole sana
 
Back
Top Bottom