lufungulo k
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 2,601
- 2,058
Katika mazungumzo yenu baada ya kumstukia live alikwambia kwann anafanya hivyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀MKUU USIMUACHE. HIYO NI SHIDA YA KISAIKOLOJIA. HUYO NI MWANAMKE MUAMINIFU KATIKA NDOA HATOKI NJE YA NDOA.
KINACHOTAKIWA NI KUMPA NAFASI YA KUBADILIKA. Nipo tayari kumsaidia buree na atabadilika. Tumewasaidia wengi na wamebadilika
Humgongi vzr, kaza buti mwanaume, kula hadi TAKO ataacha mwenyewe.....Habari wakuu!
It has been looong time sijatupia visa vyangu so siwezi kumbuka niliongea lini kuhusu hili ila nakumbuka ni humu humu JF nilipost kuhusu kuwa namashaka na mke wangu kuhusu tabia ya kujichua. Mada ilikuwa inahusu mke wangu hapendi kufanya mapenzi, let me dig in nitaweka link hapa hapa.
Sasa katika kuendelea kumfatilia nikawa najinyima usingizi na kuzuga nimelala, siku moja nikiwa nafatilia nakuangalia pirika zote nikiwa mkimya kabisa nisigundulike kama niko macho na niweze kunasa kila kitu nikaanza kuziona pirika, mke wangu akajilaza chali akiwa kajifunika, kwa mkono mmoja akaanza kujichezea nyeti zake. Nakuhakikishia hakuwa akijikuna maana niliona, nilisikia na nilimuumbua nikajikoholesha kikohozi kikavu ajue kabisa nipo macho. Akashtuka na kujirudisha katika hali ya kawaida, mi nikajikausha tukalala.
Kesho yake nikam'bana akaniomba msamaha na kuniahidi hatorudia na kweli hakurudia kwa wakati huo ila juzi hapa ameanza upya kwa ukimya zaid nisijue ila nshaona kila kitu, she's still masturbate!!!
Kwanini naleta kwenu hili?
1. Mke wangu hapendi kufanya mapenzi sana, mashine napiga vizuri kabisa najiuliza kwanini apende kujichua?
2. Sababu ni mimi na je anaweza kuacha tabia hii?
3. Japokuwa kila mtu hupima makosa kwa namna yake nauliza kosa hili linafaa kumuacha?
***Mwisho, hapa tunapeana uzoefu tu kulingana na tatizo, muamuzi nitabaki kuwa mimi so don't panic, don't be emotional wala usitukane.... Jibu kulingana na uelewa wako.
Wasalaam.
Nimeandika posting leo kuhusu masturbation. Sanghadisesa II.Habari wakuu!
It has been looong time sijatupia visa vyangu so siwezi kumbuka niliongea lini kuhusu hili ila nakumbuka ni humu humu JF nilipost kuhusu kuwa namashaka na mke wangu kuhusu tabia ya kujichua. Mada ilikuwa inahusu mke wangu hapendi kufanya mapenzi, let me dig in nitaweka link hapa hapa.
Sasa katika kuendelea kumfatilia nikawa najinyima usingizi na kuzuga nimelala, siku moja nikiwa nafatilia nakuangalia pirika zote nikiwa mkimya kabisa nisigundulike kama niko macho na niweze kunasa kila kitu nikaanza kuziona pirika, mke wangu akajilaza chali akiwa kajifunika, kwa mkono mmoja akaanza kujichezea nyeti zake. Nakuhakikishia hakuwa akijikuna maana niliona, nilisikia na nilimuumbua nikajikoholesha kikohozi kikavu ajue kabisa nipo macho. Akashtuka na kujirudisha katika hali ya kawaida, mi nikajikausha tukalala.
Kesho yake nikam'bana akaniomba msamaha na kuniahidi hatorudia na kweli hakurudia kwa wakati huo ila juzi hapa ameanza upya kwa ukimya zaid nisijue ila nshaona kila kitu, she's still masturbate!!!
Kwanini naleta kwenu hili?
1. Mke wangu hapendi kufanya mapenzi sana, mashine napiga vizuri kabisa najiuliza kwanini apende kujichua?
2. Sababu ni mimi na je anaweza kuacha tabia hii?
3. Japokuwa kila mtu hupima makosa kwa namna yake nauliza kosa hili linafaa kumuacha?
***Mwisho, hapa tunapeana uzoefu tu kulingana na tatizo, muamuzi nitabaki kuwa mimi so don't panic, don't be emotional wala usitukane.... Jibu kulingana na uelewa wako.
Wasalaam.
Ulipitia jando.Nshawahi kufanya hivi kilichonikuta sasa, mbususu inakuwa imeshalowa sana, imepoa alafu mwanamke anakuwa hana ushirikiano kabisa kama ametoka kutumika. Mkuu tucheke tu hii si nzuri kabisa [emoji22]
🤣🤣Mie nishaacha uzinziDada kipe nakuja unifunde 🤣🤣🤣
We usintanie emu nipe ujuzi usiubanie 🤣🤣🤣🤣🤣Mie nishaacha uzinzi
Nimeokoka,saivi nafanya na baba watoto tukiwa pamoja
Mwombe Evelyn Salt au cocastic watakupa ujuzi mdogo wangu.
🤣🤣Ule nishautubu na sijarudia tenaWe usintanie emu nipe ujuzi usiubanie 🤣🤣🤣
Tena ule wa Mwanza sijasahau bado
Hebu toa taarifa kitaalam. Naona unapinga bila kutoa utaalam.Sio msagaji huyo alikaa muda mrefu bila kushiriki tendo kipindi cha utoto wake . Ipo namna ya kumsaidia kuacha matendo hayo
Nakuhakikishia tatizo si hili kama huniamini try me!Humridhishi,we ukifika ni kuipaka mate,kupiga nje ndani,ukikojoa unageukia ukutani🤣
Mpe mahaba,make love to her,fatilia video za Kamasutra ujifunze then ,upractice kwake utanishukuru👌