Nimegundua ni upumbavu kuweka maisha yangu rehani tena kisa CHADEMA!

Nimegundua ni upumbavu kuweka maisha yangu rehani tena kisa CHADEMA!

muafi

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2015
Posts
2,557
Reaction score
6,128
Haya ni maoni yangu binafsi,

Mimi nimekua mkereketwa wa Chama hiki nikiamini kua ni chama cha ukombozi, nimekua nikishiriki harakati japo kwa ngazi ya chini, tukipiga kura. Tunabaki kulinda kura, nimeshawekwa mahabusu kwenye uchaguzi mdogo wa ubunge mwaka 2009 enzi hizo akina zitto bado wako CHADEMA,

Niliamini CHADEMA ni chama kilichonyooka kinachotetea maslai ya wanyonge, nilianza kushtuka 2015 walipomleta Lowassa,

Hapo ndio ajenda za ufisadi na kukemea wala rushwa zilianza kufa rasmi ndani ya CHADEMA,

Chama kikakosa mandate ya kukemea mafiaadi bila aibu,

Nimesikitika sana Leo hii tuhuma za Rushwa ndani ya Chama zimejaa na wanazifunika funika, Lissu ameonekana ni adui baada ya kuwataja wanufaika wa fedha za Abdul?

Mwenyekiti anajibu swali kirahisi et mwenye ushahidi aje nao? Mtuhumiwa wa rushwa ndio anagombea umakamu wenyekiti wa Chama?

Sisi tunafanywa kama wajinga tunahatarisha maisha yetu na familia zetu kumbe kuna watu wananufaika na mfumo?


Nina hasira sana ,
Bora kuendelea na mambo mengine tu, Hakuna Chama tena hapa
20241208_002449.jpg
 
Huna lolote masta,

Siasa sio mapenz,

Hakuna huruma kwenye maisha,

Siasa ni mchezo wa Maslahi na Usaliti

Unakuwa mkereketwa wenzako wanapata fwedha na vyeo
 
Lowassa aliibiwa kura Live, je ulifanya nini wewe binafsi kuipigania haki yake kupokwa ??
Kuna siku CDM ilitangaza maandano yasiyo na ukomo kudai katiba mpya, je ukitoka ndani?
au ndiyo nyie wanaharakati wa mitandaoni.
 
Lowassa aliibiwa kura Live, je ulifanya nini wewe binafsi kuipigania haki yake kupokwa ??
Kuna siku CDM ilitangaza maandano yasiyo na ukomo kudai katiba mpya, je ukitoka ndani?
au ndiyo nyie wanaharakati wa mitandaoni.
Muulize mbowe
 
Lowassa hajawahi kuwa mpinzani
Lowassa aliibiwa kura Live, je ulifanya nini wewe binafsi kuipigania haki yake kupokwa ??
Kuna siku CDM ilitangaza maandano yasiyo na ukomo kudai katiba mpya, je ukitoka ndani?
au ndiyo nyie wanaharakati wa mitandaoni.
 
Bado unahitaji ukombozi wa fikra bila shaka. Kwanini upambane kwa maslahi ya CHADEMA?
Siku ukiamua kupambana kwa masalhi ya taifa lako basi utakuwa umepiga hatua kuelekea ukombozi.
 
Haya ni maoni yangu binafsi,

Mimi nimekua mkereketwa wa Chama hiki nikiamini kua ni chama cha ukombozi, nimekua nikishiriki harakati japo kwa ngazi ya chini, tukipiga kura. Tunabaki kulinda kura, nimeshawekwa mahabusu kwenye uchaguzi mdogo wa ubunge mwaka 2009 enzi hizo akina zitto bado wako CHADEMA,

Niliamini CHADEMA ni chama kilichonyooka kinachotetea maslai ya wanyonge, nilianza kushtuka 2015 walipomleta Lowassa,

Hapo ndio ajenda za ufisadi na kukemea wala rushwa zilianza kufa rasmi ndani ya CHADEMA,

Chama kikakosa mandate ya kukemea mafiaadi bila aibu,

Nimesikitika sana Leo hii tuhuma za Rushwa ndani ya Chama zimejaa na wanazifunika funika, Lissu ameonekana ni adui baada ya kuwataja wanufaika wa fedha za Abdul?

Mwenyekiti anajibu swali kirahisi et mwenye ushahidi aje nao? Mtuhumiwa wa rushwa ndio anagombea umakamu wenyekiti wa Chama?

Sisi tunafanywa kama wajinga tunahatarisha maisha yetu na familia zetu kumbe kuna watu wananufaika na mfumo?


Nina hasira sana ,
Bora kuendelea na mambo mengine tu, Hakuna Chama tena hapaView attachment 3183160
Mkiwa na viongozi ambao hawajali chochote,wala hawajui madhara ya kufanya deals kwenye siasa,kwa sababu wapo watu ni marehemu mpaka sasa na wengine ni vilema Alafu kiongozi hajali yy anafanya deal za siasa,anaonekana wazi akifanya kazi ya watu fulani Alafu anadhani watu hawamuoni na wala hawamuelewi,ni kujidanganya mchana kweupe.Mbowe anatakiwa kujielewa alipokifikisha chama panatosha sana ampe mwingine tena bila kinyongo wala hasira kama kweli nia ni moja ya kuondokana na udhalimu wa CCM.
 
Haya ni maoni yangu binafsi,

Mimi nimekua mkereketwa wa Chama hiki nikiamini kua ni chama cha ukombozi, nimekua nikishiriki harakati japo kwa ngazi ya chini, tukipiga kura. Tunabaki kulinda kura, nimeshawekwa mahabusu kwenye uchaguzi mdogo wa ubunge mwaka 2009 enzi hizo akina zitto bado wako CHADEMA,

Niliamini CHADEMA ni chama kilichonyooka kinachotetea maslai ya wanyonge, nilianza kushtuka 2015 walipomleta Lowassa,

Hapo ndio ajenda za ufisadi na kukemea wala rushwa zilianza kufa rasmi ndani ya CHADEMA,

Chama kikakosa mandate ya kukemea mafiaadi bila aibu,

Nimesikitika sana Leo hii tuhuma za Rushwa ndani ya Chama zimejaa na wanazifunika funika, Lissu ameonekana ni adui baada ya kuwataja wanufaika wa fedha za Abdul?

Mwenyekiti anajibu swali kirahisi et mwenye ushahidi aje nao? Mtuhumiwa wa rushwa ndio anagombea umakamu wenyekiti wa Chama?

Sisi tunafanywa kama wajinga tunahatarisha maisha yetu na familia zetu kumbe kuna watu wananufaika na mfumo?


Nina hasira sana ,
Bora kuendelea na mambo mengine tu, Hakuna Chama tena hapaView attachment 3183160
Kwangu nasubiri matokeo ya uchaguzi wa mwenyekiti kwanza, Nikiona madudu sawa na tuliyoyalalamikia ccm natundika daruga, Siasa za kuhubiri mabadiliko kupitia vyama vya siasa yatakuwa yamekoma rasmi.Yaani leo wenje mtuhumiwa wa kula mlungula wa Abdul anagombea umakamu mwenyekiti chadema? Nampongeza lissu kwa kumlipua wenje japo alikuwa ni jamaa yake huko nyuma.Lissu anapigwa vita ndani ya vikao vya chadema, kisa ni kupinga rushwa na ufisadi
 
Haya ni maoni yangu binafsi,

Mimi nimekua mkereketwa wa Chama hiki nikiamini kua ni chama cha ukombozi, nimekua nikishiriki harakati japo kwa ngazi ya chini, tukipiga kura. Tunabaki kulinda kura, nimeshawekwa mahabusu kwenye uchaguzi mdogo wa ubunge mwaka 2009 enzi hizo akina zitto bado wako CHADEMA,

Niliamini CHADEMA ni chama kilichonyooka kinachotetea maslai ya wanyonge, nilianza kushtuka 2015 walipomleta Lowassa,

Hapo ndio ajenda za ufisadi na kukemea wala rushwa zilianza kufa rasmi ndani ya CHADEMA,

Chama kikakosa mandate ya kukemea mafiaadi bila aibu,

Nimesikitika sana Leo hii tuhuma za Rushwa ndani ya Chama zimejaa na wanazifunika funika, Lissu ameonekana ni adui baada ya kuwataja wanufaika wa fedha za Abdul?

Mwenyekiti anajibu swali kirahisi et mwenye ushahidi aje nao? Mtuhumiwa wa rushwa ndio anagombea umakamu wenyekiti wa Chama?

Sisi tunafanywa kama wajinga tunahatarisha maisha yetu na familia zetu kumbe kuna watu wananufaika na mfumo?


Nina hasira sana ,
Bora kuendelea na mambo mengine tu, Hakuna Chama tena hapaView attachment 3183160
kwahiyo eti nawewe nae ukajiona mpambanaji, right?

kweli mpambanaji ndivyo alivyo ndrugu zango? acheni utani na unafiki kwenye mapambano bana..

mpambanaji gani wewe anapumbazwa na nguvu ya hoja ya mpambanaji mwingine anazira?🐒
 
Mjomba Mbowe, asante kwa kukomboa kikoba chetu, maadui zetu wameanza kujidhihirisha wazi.
 
kwahiyo eti nawewe nae ukajiona mpambanaji, right?

kweli mpambanaji ndivyo alivyo ndrugu zango? acheni utani na unafiki kwenye mapambano bana..

mpambanaji gani wewe anapumbazwa na nguvu ya hoja ya mpambanaji mwingine anazira?🐒
Wewe buku saba Lumumba,
Mtu mzima unakua chawa
 
Wewe buku saba Lumumba,
Mtu mzima unakua chawa
ulikua mpumbavu miaka yooote hiyo saivi umeshachakaa eti ndio akili inakukaa sawa ndio unajiona mjanjaa wakati umetumika kama karai 🤣
 
Siasa ni mchezo kama ilivyo mchezo wa biashara hivyo kanuni na sheria ni zile zile, nawahurumia sana.
 
Back
Top Bottom