Nimegundua nikipasha chakula kwa microwave ladha hubadilika kabisa

Nimegundua nikipasha chakula kwa microwave ladha hubadilika kabisa

Na ukikipasha kwenye jiko la mkaa au la kuni haukiui??

Ndio nilisikia mtu anasema maharage yakipikwa kwenye pressure cooker yanakua mabaya mara chakula ukikipika kwenye gesi kinakua kibaya sijui wali ukipika kwenye pressure cooker kinakua kibaya, watasema nyama ikiokwa kwenye oven inakua mbaya, lol

Huo muda wa kuwasha mikaa mnakua nao aiseee.
Dah....kuni ndiyo inakuwa fasta....na misosi yake inakuwaga POA sana [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Beretta ARX 160
 
Unapasha chakula ikiwa ina maana hakijapikwa muda huo, kilipikwa haukula bali ulihifadhi, so lazima kitakuwa kimepoteza uhalisia wake kwa kukaa muda flani hata kama uliweka kwenye friji........sina uhakika kama kupasha kwa microwave kuna effect ya radha.
Mbona mnanichanganya hapa,,,
Hivi ni "radha au ladha"?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapasha chakula ikiwa ina maana hakijapikwa muda huo, kilipikwa haukula bali ulihifadhi, so lazima kitakuwa kimepoteza uhalisia wake kwa kukaa muda flani hata kama uliweka kwenye friji........sina uhakika kama kupasha kwa microwave kuna effect ya radha.
Kabisaaa..kiporo ni kiporo!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom