#COVID19 Nimegundua unaweza kuwa na Elimu kubwa ukawa na IQ ndogo

#COVID19 Nimegundua unaweza kuwa na Elimu kubwa ukawa na IQ ndogo

NostradamusEstrademe

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2017
Posts
3,402
Reaction score
4,532
Najaribu kutafakari yanayoendelea sasa mjadala kuhusu chanjo ya COVID na jinsi baadhi ya watu, viongozi wa dini na wanasiasa wanavyolichukulia jambo hili kwa wepesi na kuhoji uhalali wake ilhali wao wenyewe walishachanjwa toka utotoni. Je, wasingechanjwa wangekuwa hai leo?

Utamtumainije Mungu pekee bila ya wewe kuweka jitihada? Kuna maandiko yanasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa hapa ndio mahali pake.

Ugonjwa wa small pox au ndui ni ugonjwa ulioangamizwa duniani toka kuja kwake duniani unakadiriwa ulishaua watu 300-350millioni.

Ungekuja leo tukasema watu wasichanjwe dunia sijui ingekuwaje.
 
Katika maisha unaweza ukawa na elimu hiyohiyo na ukakosa maamuzi, swala la chanjo haliingiliani kbsa na IQ wala elimu ya mtu,
kila mtu ana maamuzi yake kusuka ama kunyoaa. Cha msingi jitahidi mtazamo wako usiiforce uwe kwa wengine.

Kila mtu anaendeshwa na serikali ya kichwa chake,
 
Huwa nawashangaa sana mnaopima uwezo wa akili wa mtu kwa hii ishu mtambuka ya chanjo.

Kaa ujitafakari mkuu yawezekana tatizo unalo wewe mpima IQ na sio hao wahanga wa IQ ndogo unaowatuhumu.
 
Najaribu kutafakari yanayoendelea sasa mjadala kuhusu chanjo ya COVID na jinsi baadhi ya watu, viongozi wa dini na wanasiasa wanavyolichukulia jambo hili kwa wepesi na kuhoji uhalali wake ilhali wao wenyewe walishachanjwa toka utotoni. Je, wasingechanjwa wangekuwa hai leo?

Utamtumainije Mungu pekee bila ya wewe kuweka jitihada? Kuna maandiko yanasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa hapa ndio mahali pake.

Ugonjwa wa small pox au ndui ni ugonjwa ulioangamizwa duniani toka kuja kwake duniani unakadiriwa ulishaua watu 300-350millioni.

Ungekuja leo tukasema watu wasichanjwe dunia sijui ingekuwaje.
kwani ukichanja unapata faida gani mkuu.
 
Uko sawa mkuu ila sasa msimamo ulionao au aliona mtu asijaribu kushawishi wengine hiyo ndio point yangu ya msingi unielewe
hio kauli yako ya kutojaribu kushawishi wengine ichunguze vizuri mana najua inaweza ikakufunga au kukinzana na matendo yako.. cause najua hata wewe unashawishigi wengine kuepuka kufanya jambo flani baya.

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Uko sawa mkuu ila sasa msimamo ulionao au aliona mtu asijaribu kushawishi wengine hiyo ndio point yangu ya msingi unielewe

Unamaanisha hata serikali isihamasishe watu kuchanjwa? Kumbuka kuna pande mbili hapo, wanaotetea kuchanjwa na wasiotaka kuchanjwa.

Nafikiri kikubwa ingekua kila upande kueleza kitaalam watu wakaelewa na kufanya maamuzi binafsi.

Kinachotatiza ni lugha za kibabe, kejeli na dharau toka kwa kila upande, hii itawachanganya na kuwavuruga zaidi wananchi. Watashindwa washike lipi waache lipi.
 
Mkuu kama ukipata chanjo bado kuna uwezekano wa kufa kwa UVIKO-19 kuna haja gani ya kuchanja?

Ebu nieleweshe!
 
Najaribu kutafakari yanayoendelea sasa mjadala kuhusu chanjo ya COVID na jinsi baadhi ya watu, viongozi wa dini na wanasiasa wanavyolichukulia jambo hili kwa wepesi na kuhoji uhalali wake ilhali wao wenyewe walishachanjwa toka utotoni. Je, wasingechanjwa wangekuwa hai leo?

Utamtumainije Mungu pekee bila ya wewe kuweka jitihada? Kuna maandiko yanasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa hapa ndio mahali pake.

Ugonjwa wa small pox au ndui ni ugonjwa ulioangamizwa duniani toka kuja kwake duniani unakadiriwa ulishaua watu 300-350millioni.

Ungekuja leo tukasema watu wasichanjwe dunia sijui ingekuwaje.
IQ ndogo na watu wanafuata mkumbo tu...sasa mzungu akitaka kutuangamiza anashindwaje kwa mfano?Mfano mdogo , yaani mtu anakataa chanjo lakini anavaa imported barakoa, sanitizer nk....ambavyo asili yake mzungu....angalia bidhaa za vyakula,mavazi,madawa,electonics,electrical nk ambazo zinatoka nje ....kuna pa kutokea? acheni upoyoyo
 
Back
Top Bottom