Nimegundua vitu kadhaa kuhusu "Mtanzania"

Nimegundua vitu kadhaa kuhusu "Mtanzania"

MtotoKautaka

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2018
Posts
373
Reaction score
895
Kuna thread nimeitoa muda kidogo umepita unasomeka "hii imeniuma sana na itamuuma kila mtanzania"

Ndugu zangu nimegundua kitu kikubwa sana leo.


Tatizo kubwa la sisi wa Tanzania tulio wengi tuna roho mbaya, hatuthaminiani, hatupendi haki, tunatanguliza maslahi yetu na familia zetu.

Ukipitia koments nyingi katika hiyo thread utakuja kuamini katika haya niliyoyasema.

Wengi ni - acha umbea, fanya mambo yako, utapakatwa, utapigwa shaba kufatilia ya watu, hafu wengine unakuta ni watu wazima wanafamilia wameoa wameolewa kifupi ni mtu ambaye kwa haraka haraka ukikutana naye unaweza mshirikisha mambo nyeti ya maana kumbe hafai pia hata kupewa dili la millioni

Huyu huyu mtu mnamkuta analalamika barabara mbovu, umeme unakatika hovyo, hospital hakuna dawa, pembejeo zipo juu, viongozi hawafai mafisadi, wala rushwa...n.k


Halafu katika nyuzi kama hizi ambazo zina reveal ufisadi mtu huyohuyo anashadadia fanya yako, utapigwa shaba kufatilia mambo ya watu. asijue pengine hii pesa inayoliwa ilielekezwa kuongeza mashimo ya vyoo mashuleni ili watoto wetu wajistili pazuri na kupunguza ma uti na vipindupindu yeye hafikirii hayo anaenda direct kuweka comment za kijinga ili pengine achekeshe wenzake, mpenda misifa, au aonekane mtu flani hivi mjanja wa town kumbe ni boya mkubwa labda kwasasa yupo sehemu

Ana kifursa kapewa nayeye anajipigia vipesa vyake vya kifisadi anashiriki kuididimiza tanzania hafu baadae muda wake ukiisha arudi vijiweni aanze kusema "aaah hii nchi ya kiboya sana maendeleo hakuna, watu wanapiga tu pesa" anasahau nayeye kwa wakati na nafasi yake alishiriki kuididimiza nchi.

Tuombe mungu atupe wokovu wa kifikra tupendane, tupende haki, tujaliane na kuisogeza nchi yetu panapotakiwa na penye kumnufaisha kila mtanzania bila kujali naf
asi, cheo wala elimu.

Watu hao ni pamoja na hawa hapa, to mention just few of them

be calm dr matola phd philomena3 gatabhanya watu8 nzalendo kigi makasi faizafoxy waziri wa kaskazini to god

Mimi binafsi huwa ni mtu objective sana simbezi mtu, simpambi mtu sifa asiyoatahili.

Hawa watu endapo kama ningekuwa nawafahamu basi kwenye fursa ambazo mimi ningeweza kuzitengeneza au kuzipata nisingeweza kuwashirikisha au kuwasogeza kwa namna yoyote ile hawa watu personality yao ni haifai kwasabab it seems ni watu wapenda sifa, wajanja wajanja in disguise (washamba) na hawafai kupewa nafasi yoyote hata ngazi ya kitongoji.

Stay safe my country people, better days are coming
 

Attachments

  • Screenshot_2024-11-26-07-41-43-020_cn.wps.moffice_eng.jpg
    Screenshot_2024-11-26-07-41-43-020_cn.wps.moffice_eng.jpg
    84.7 KB · Views: 5
Kuna thread nimeitoa muda kidogo umepita unasomeka "hii imeniuma sana na itamuuma kila mtanzania"

Ndugu zangu nimegundua kitu kikubwa sana leo.


Tatizo kubwa la sisi wa Tanzania tulio wengi tuna roho mbaya, hatuthaminiani, hatupendi haki, tunatanguliza maslahi yetu na familia zetu.

Ukipitia koments nyingi katika hiyo thread utakuja kuamini katika haya niliyoyasema.

Wengi ni - acha umbea, fanya mambo yako, utapakatwa, utapigwa shaba kufatilia ya watu, hafu wengine unakuta ni watu wazima wanafamilia wameoa wameolewa kifupi ni mtu ambaye kwa haraka haraka ukikutana naye unaweza mshirikisha mambo nyeti ya maana kumbe hafai pia hata kupewa dili la millioni

Huyu huyu mtu mnamkuta analalamika barabara mbovu, umeme unakatika hovyo, hospital hakuna dawa, pembejeo zipo juu, viongozi hawafai mafisadi, wala rushwa...n.k


Halafu katika nyuzi kama hizi ambazo zina reveal ufisadi mtu huyohuyo anashadadia fanya yako, utapigwa shaba kufatilia mambo ya watu. asijue pengine hii pesa inayoliwa ilielekezwa kuongeza mashimo ya vyoo mashuleni ili watoto wetu wajistili pazuri na kupunguza ma uti na vipindupindu yeye hafikirii hayo anaenda direct kuweka comment za kijinga ili pengine achekeshe wenzake, mpenda misifa, au aonekane mtu flani hivi mjanja wa town kumbe ni boya mkubwa labda kwasasa yupo sehemu

Ana kifursa kapewa nayeye anajipigia vipesa vyake vya kifisadi anashiriki kuididimiza tanzania hafu baadae muda wake ukiisha arudi vijiweni aanze kusema "aaah hii nchi ya kiboya sana maendeleo hakuna, watu wanapiga tu pesa" anasahau nayeye kwa wakati na nafasi yake alishiriki kuididimiza nchi.

Tuombe mungu atupe wokovu wa kifikra tupendane, tupende haki, tujaliane na kuisogeza nchi yetu panapotakiwa na penye kumnufaisha kila mtanzania bila kujali naf
asi, cheo wala elimu.

Watu hao ni pamoja na hawa hapa, to mention just few of them

be calm dr matola phd philomena3 gatabhanya watu8 nzalendo kigi makasi faizafoxy waziri wa kaskazini to god

Mimi binafsi huwa ni mtu objective sana simbezi mtu, simpambi mtu sifa asiyoatahili.

Hawa watu endapo kama ningekuwa nawafahamu basi kwenye fursa ambazo mimi ningeweza kuzitengeneza au kuzipata nisingeweza kuwashirikisha au kuwasogeza kwa namna yoyote ile hawa watu personality yao ni haifai kwasabab it seems ni watu wapenda sifa, wajanja wajanja in disguise (washamba) na hawafai kupewa nafasi yoyote hata ngazi ya kitongoji.

Stay safe my country people, better days are coming
😳 Mbona umeniweka wa kwanza mkuu? Kuna nini eti?🥴
 
MITANZANIA NI MINYANG'AU
MITANZANIA NI MITAHIRA
MITANZANIA NI MIJINGA
MITANZANIA HAINA AKILI


TABIA ZA MITANZANIA NDIZO TABIA ZA MIAFRIKA!

MIAFRIKA MINGI NI MINYANG'AU INAYOPASWA KUUAWA!

MUAFRIKA HAPASWI KUISHI ANAPASWA AFE!
 
Kuna thread nimeitoa muda kidogo umepita unasomeka "hii imeniuma sana na itamuuma kila mtanzania"

Ndugu zangu nimegundua kitu kikubwa sana leo.


Tatizo kubwa la sisi wa Tanzania tulio wengi tuna roho mbaya, hatuthaminiani, hatupendi haki, tunatanguliza maslahi yetu na familia zetu.

Ukipitia koments nyingi katika hiyo thread utakuja kuamini katika haya niliyoyasema.

Wengi ni - acha umbea, fanya mambo yako, utapakatwa, utapigwa shaba kufatilia ya watu, hafu wengine unakuta ni watu wazima wanafamilia wameoa wameolewa kifupi ni mtu ambaye kwa haraka haraka ukikutana naye unaweza mshirikisha mambo nyeti ya maana kumbe hafai pia hata kupewa dili la millioni

Huyu huyu mtu mnamkuta analalamika barabara mbovu, umeme unakatika hovyo, hospital hakuna dawa, pembejeo zipo juu, viongozi hawafai mafisadi, wala rushwa...n.k


Halafu katika nyuzi kama hizi ambazo zina reveal ufisadi mtu huyohuyo anashadadia fanya yako, utapigwa shaba kufatilia mambo ya watu. asijue pengine hii pesa inayoliwa ilielekezwa kuongeza mashimo ya vyoo mashuleni ili watoto wetu wajistili pazuri na kupunguza ma uti na vipindupindu yeye hafikirii hayo anaenda direct kuweka comment za kijinga ili pengine achekeshe wenzake, mpenda misifa, au aonekane mtu flani hivi mjanja wa town kumbe ni boya mkubwa labda kwasasa yupo sehemu

Ana kifursa kapewa nayeye anajipigia vipesa vyake vya kifisadi anashiriki kuididimiza tanzania hafu baadae muda wake ukiisha arudi vijiweni aanze kusema "aaah hii nchi ya kiboya sana maendeleo hakuna, watu wanapiga tu pesa" anasahau nayeye kwa wakati na nafasi yake alishiriki kuididimiza nchi.

Tuombe mungu atupe wokovu wa kifikra tupendane, tupende haki, tujaliane na kuisogeza nchi yetu panapotakiwa na penye kumnufaisha kila mtanzania bila kujali naf
asi, cheo wala elimu.

Watu hao ni pamoja na hawa hapa, to mention just few of them

be calm dr matola phd philomena3 gatabhanya watu8 nzalendo kigi makasi faizafoxy waziri wa kaskazini to god

Mimi binafsi huwa ni mtu objective sana simbezi mtu, simpambi mtu sifa asiyoatahili.

Hawa watu endapo kama ningekuwa nawafahamu basi kwenye fursa ambazo mimi ningeweza kuzitengeneza au kuzipata nisingeweza kuwashirikisha au kuwasogeza kwa namna yoyote ile hawa watu personality yao ni haifai kwasabab it seems ni watu wapenda sifa, wajanja wajanja in disguise (washamba) na hawafai kupewa nafasi yoyote hata ngazi ya kitongoji.

Stay safe my country people, better days are coming
Yaani ungeniweka kwenye urodha sijui ningekufanyeje.
Ukitaka kujua namna ambavyo mimi hufanya ubaya ubwela jaribu kuichafua ID yangu.
 
Kuna thread nimeitoa muda kidogo umepita unasomeka "hii imeniuma sana na itamuuma kila mtanzania"

Ndugu zangu nimegundua kitu kikubwa sana leo.


Tatizo kubwa la sisi wa Tanzania tulio wengi tuna roho mbaya, hatuthaminiani, hatupendi haki, tunatanguliza maslahi yetu na familia zetu.

Ukipitia koments nyingi katika hiyo thread utakuja kuamini katika haya niliyoyasema.

Wengi ni - acha umbea, fanya mambo yako, utapakatwa, utapigwa shaba kufatilia ya watu, hafu wengine unakuta ni watu wazima wanafamilia wameoa wameolewa kifupi ni mtu ambaye kwa haraka haraka ukikutana naye unaweza mshirikisha mambo nyeti ya maana kumbe hafai pia hata kupewa dili la millioni

Huyu huyu mtu mnamkuta analalamika barabara mbovu, umeme unakatika hovyo, hospital hakuna dawa, pembejeo zipo juu, viongozi hawafai mafisadi, wala rushwa...n.k


Halafu katika nyuzi kama hizi ambazo zina reveal ufisadi mtu huyohuyo anashadadia fanya yako, utapigwa shaba kufatilia mambo ya watu. asijue pengine hii pesa inayoliwa ilielekezwa kuongeza mashimo ya vyoo mashuleni ili watoto wetu wajistili pazuri na kupunguza ma uti na vipindupindu yeye hafikirii hayo anaenda direct kuweka comment za kijinga ili pengine achekeshe wenzake, mpenda misifa, au aonekane mtu flani hivi mjanja wa town kumbe ni boya mkubwa labda kwasasa yupo sehemu

Ana kifursa kapewa nayeye anajipigia vipesa vyake vya kifisadi anashiriki kuididimiza tanzania hafu baadae muda wake ukiisha arudi vijiweni aanze kusema "aaah hii nchi ya kiboya sana maendeleo hakuna, watu wanapiga tu pesa" anasahau nayeye kwa wakati na nafasi yake alishiriki kuididimiza nchi.

Tuombe mungu atupe wokovu wa kifikra tupendane, tupende haki, tujaliane na kuisogeza nchi yetu panapotakiwa na penye kumnufaisha kila mtanzania bila kujali naf
asi, cheo wala elimu.

Watu hao ni pamoja na hawa hapa, to mention just few of them

be calm dr matola phd philomena3 gatabhanya watu8 nzalendo kigi makasi faizafoxy waziri wa kaskazini to god

Mimi binafsi huwa ni mtu objective sana simbezi mtu, simpambi mtu sifa asiyoatahili.

Hawa watu endapo kama ningekuwa nawafahamu basi kwenye fursa ambazo mimi ningeweza kuzitengeneza au kuzipata nisingeweza kuwashirikisha au kuwasogeza kwa namna yoyote ile hawa watu personality yao ni haifai kwasabab it seems ni watu wapenda sifa, wajanja wajanja in disguise (washamba) na hawafai kupewa nafasi yoyote hata ngazi ya kitongoji.

Stay safe my country people, better days are coming
Nakupa pole....binafsi kwangu mie hapa ni kijiweni pa kupiga blah blah.........
 
Umechelewa kugundua mkuu Mtanzania anatoka kwenda Nje hasa madereva hapo Tunduma wanavyoulizwa maswali na wengine wanapelekea kutoa rushwa ili agongewe anapotoka kwenye Nchi yake mpaka utashangaa wakikutana na sisi ngoma ngumu wanataka kuleta hiyo michongo ya kitoto unawaambia hiki kitu kwangu hakiwezekani ukiweza gonga nisitoke na utoe sababu wanabaki kukasirika tu kwa kukataa kutoa rushwa mpaka unawashangaa kwa ujinga wao..
 
Kuna thread nimeitoa muda kidogo umepita unasomeka "hii imeniuma sana na itamuuma kila mtanzania"

Ndugu zangu nimegundua kitu kikubwa sana leo.


Tatizo kubwa la sisi wa Tanzania tulio wengi tuna roho mbaya, hatuthaminiani, hatupendi haki, tunatanguliza maslahi yetu na familia zetu.

Ukipitia koments nyingi katika hiyo thread utakuja kuamini katika haya niliyoyasema.

Wengi ni - acha umbea, fanya mambo yako, utapakatwa, utapigwa shaba kufatilia ya watu, hafu wengine unakuta ni watu wazima wanafamilia wameoa wameolewa kifupi ni mtu ambaye kwa haraka haraka ukikutana naye unaweza mshirikisha mambo nyeti ya maana kumbe hafai pia hata kupewa dili la millioni

Huyu huyu mtu mnamkuta analalamika barabara mbovu, umeme unakatika hovyo, hospital hakuna dawa, pembejeo zipo juu, viongozi hawafai mafisadi, wala rushwa...n.k


Halafu katika nyuzi kama hizi ambazo zina reveal ufisadi mtu huyohuyo anashadadia fanya yako, utapigwa shaba kufatilia mambo ya watu. asijue pengine hii pesa inayoliwa ilielekezwa kuongeza mashimo ya vyoo mashuleni ili watoto wetu wajistili pazuri na kupunguza ma uti na vipindupindu yeye hafikirii hayo anaenda direct kuweka comment za kijinga ili pengine achekeshe wenzake, mpenda misifa, au aonekane mtu flani hivi mjanja wa town kumbe ni boya mkubwa labda kwasasa yupo sehemu

Ana kifursa kapewa nayeye anajipigia vipesa vyake vya kifisadi anashiriki kuididimiza tanzania hafu baadae muda wake ukiisha arudi vijiweni aanze kusema "aaah hii nchi ya kiboya sana maendeleo hakuna, watu wanapiga tu pesa" anasahau nayeye kwa wakati na nafasi yake alishiriki kuididimiza nchi.

Tuombe mungu atupe wokovu wa kifikra tupendane, tupende haki, tujaliane na kuisogeza nchi yetu panapotakiwa na penye kumnufaisha kila mtanzania bila kujali naf
asi, cheo wala elimu.

Watu hao ni pamoja na hawa hapa, to mention just few of them

be calm dr matola phd philomena3 gatabhanya watu8 nzalendo kigi makasi faizafoxy waziri wa kaskazini to god

Mimi binafsi huwa ni mtu objective sana simbezi mtu, simpambi mtu sifa asiyoatahili.

Hawa watu endapo kama ningekuwa nawafahamu basi kwenye fursa ambazo mimi ningeweza kuzitengeneza au kuzipata nisingeweza kuwashirikisha au kuwasogeza kwa namna yoyote ile hawa watu personality yao ni haifai kwasabab it seems ni watu wapenda sifa, wajanja wajanja in disguise (washamba) na hawafai kupewa nafasi yoyote hata ngazi ya kitongoji.

Stay safe my country people, better days are coming
Tatizo la watanzania wengi ni hapo kichwani.
 
Kuna thread nimeitoa muda kidogo umepita unasomeka "hii imeniuma sana na itamuuma kila mtanzania"

Ndugu zangu nimegundua kitu kikubwa sana leo.


Tatizo kubwa la sisi wa Tanzania tulio wengi tuna roho mbaya, hatuthaminiani, hatupendi haki, tunatanguliza maslahi yetu na familia zetu.

Ukipitia koments nyingi katika hiyo thread utakuja kuamini katika haya niliyoyasema.

Wengi ni - acha umbea, fanya mambo yako, utapakatwa, utapigwa shaba kufatilia ya watu, hafu wengine unakuta ni watu wazima wanafamilia wameoa wameolewa kifupi ni mtu ambaye kwa haraka haraka ukikutana naye unaweza mshirikisha mambo nyeti ya maana kumbe hafai pia hata kupewa dili la millioni

Huyu huyu mtu mnamkuta analalamika barabara mbovu, umeme unakatika hovyo, hospital hakuna dawa, pembejeo zipo juu, viongozi hawafai mafisadi, wala rushwa...n.k


Halafu katika nyuzi kama hizi ambazo zina reveal ufisadi mtu huyohuyo anashadadia fanya yako, utapigwa shaba kufatilia mambo ya watu. asijue pengine hii pesa inayoliwa ilielekezwa kuongeza mashimo ya vyoo mashuleni ili watoto wetu wajistili pazuri na kupunguza ma uti na vipindupindu yeye hafikirii hayo anaenda direct kuweka comment za kijinga ili pengine achekeshe wenzake, mpenda misifa, au aonekane mtu flani hivi mjanja wa town kumbe ni boya mkubwa labda kwasasa yupo sehemu

Ana kifursa kapewa nayeye anajipigia vipesa vyake vya kifisadi anashiriki kuididimiza tanzania hafu baadae muda wake ukiisha arudi vijiweni aanze kusema "aaah hii nchi ya kiboya sana maendeleo hakuna, watu wanapiga tu pesa" anasahau nayeye kwa wakati na nafasi yake alishiriki kuididimiza nchi.

Tuombe mungu atupe wokovu wa kifikra tupendane, tupende haki, tujaliane na kuisogeza nchi yetu panapotakiwa na penye kumnufaisha kila mtanzania bila kujali naf
asi, cheo wala elimu.

Watu hao ni pamoja na hawa hapa, to mention just few of them

be calm dr matola phd philomena3 gatabhanya watu8 nzalendo kigi makasi faizafoxy waziri wa kaskazini to god

Mimi binafsi huwa ni mtu objective sana simbezi mtu, simpambi mtu sifa asiyoatahili.

Hawa watu endapo kama ningekuwa nawafahamu basi kwenye fursa ambazo mimi ningeweza kuzitengeneza au kuzipata nisingeweza kuwashirikisha au kuwasogeza kwa namna yoyote ile hawa watu personality yao ni haifai kwasabab it seems ni watu wapenda sifa, wajanja wajanja in disguise (washamba) na hawafai kupewa nafasi yoyote hata ngazi ya kitongoji.

Stay safe my country people, better days are coming
Zaidi ya roho mbaya, WaTz ni limbukeni, wenye ushamba uliokubuhu, na si kwa wa shambani, hapana, ni wa mjini na pengine wamesoma bila ya kuelimika.
Mtu akipata wadhifa, hatekelezi wajibu wa wadhifa, bali kukomoa, kujiyapa, kulimbuka kama asiye amini kama huo wadhifa ni wake. Likija suala la magari, yaani ni ushamba, ulimbukeni, taifa zima liki kwenye mkwamo wa kishadadia magari ya Japan, si viongozi wa Serikali, na madereva wao, si wananchi, wote ni kuponda pesa kila siku kuwa na yoleo jipya la gari LA Japan, huduma za msingi na muhimu zimesahaulika.
 
We inaonekana bado mgeni wa jf... Huku kila mada utapata wa kukuunga mkono na wa kukupopoa! Hasa zinazohusu siasa katika mapana yake...

Hivyo kuwa tu mpole, jf inakukomaza kuishi na watu vizuri bila kuwa na hasira au ghadhabu. Kiufupi huku ni burudani, ridhika na kila jibu utakalopewa. Na siku zote fikira haziwezi kuwa sawa
 
Back
Top Bottom