The Conscious
JF-Expert Member
- Mar 18, 2021
- 740
- 1,218
Hizo zote ni dharau tu mkuu kama wewe ni mfanya biashara basi bidhaa zako weka na bango kwamba marufuku mtumishi wa umma kununua bidhaa kwako au kushirikiana na wewe ili ieleweke tu una jeuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza povu subiria mwiba ukuingieAcha uchawi kila mtu na maisha yake,kwani waliogoma kaliakoo nao ni njaa,kata tiketi ukose usafiri utakubali kinyonge,maisha ni circle,ukipata wewe hunipi hata chembe,hivi unafikiri.
mikopo waloyo nayo wafanyakazi ni kitu kidogo,hata wewe inaonyesha kabisa mifumo wa maisha hauko sawa, mtumishi akiwekeza mnaiba,akifungua duka muuzaji anaiba,akinunua ardhi anaibiwa,ndio maaana mafisadi hawaishi,mtu anapiga kila mtu afe na chake,hata wafanyabiashara mmejaa ndumba mpaka mgogongoni,hii Nchi iko vita ya uchumi wewe endelea kulala.
Kila mtu sio TGSUko TGS ipi?
Mbona mmegoma kaliakoo,kweli ni mfanyabiashara kwanini mnachukau vitu kwa waxhina kwa mkopoSis wafanya biashara bhana hatulii njaaa hata nchi iingiee vitani mwaka mzima
Na biashara zenyewe mnachukau pesa za wafanyakazi benkiSis wafanya biashara bhana hatulii njaaa hata nchi iingiee vitani mwaka mzima
Uchumi wa nchi ukianguka,kumbuka hata uchumi wa mtu mmoja mmoja utaanguka pia.Sis wafanya biashara bhana hatulii njaaa hata nchi iingiee vitani mwaka mzima
Povu hata Trump na kizimkazi wametoa ndo maana wako Whitehouse circle,hakuna kulalaPunguza povu subiria mwiba ukuingie
Anaweka fixed deposit anakula cha juu kama mfanyakazi vileKwani Mo nje ya biashara ana kazi gani?
Hawa wanaolialia itakuwa TGSCKila mtu sio TGS
ETi kama mfanyakazi vileAnaweka fixed deposit anakula cha juu kama mfanyakazi vile
Washalipa tayariHawa wanaolialia itakuwa TGSC
Sijajua, wengine mishahara inakutana hata ya mwaka mzimaWashalipa tayari
Utaiuzia nchi silaha? Mara paap duka limelipuliwa ama unauza nini ndugu yetu?Sis wafanya biashara bhana hatulii njaaa hata nchi iingiee vitani mwaka mzima
Na ndio maana hao wanao husika na michakato ya kutunga na kupitisha hizo kanuni,, Taratibu na Sheria juu ya maslahi ya wafanyakazi hawazitumii waoNi aibu kwa kweli, ndio maana huduma ni mbovu.
Yaani hata mwisho wa mwezi haujafika mtu analeta thread eti mshahara umechelewa hii inafikirisha sana.
Nimekuja kugundua ndio maana huduma kwenye taasisi nyingi za serikali hususani wizari, sekretarieti za mikoa na halmashauri ni mbovu.
Mfanyakazi anashindwa hata kuweka akiba sasahuyo ataweza kweli hata kufanya maendeleo binafsi kama hata kujenga nyumba kweli?
Yaani mshahara wa mtu unakuwa hands to mouth thing mmh ni hatari kwa kweli na pia inasikitisha sana
Cc. Nesi mkungaHabari Ya Jioni Jf,sina Mengi zaidi Nimekuja kugundua Wafanya kazi wa Tanzania wananuka Njaa Sana,yaani mshahara umechelewa kidogo kila mfanyakazi analalamika mara hivi mara vile.
Niwaombe nyinyi wafanyakazi mnao lia lia mjitahidi muwe na nyenzo zingine yaani literally uchumi kingine sio mnategemea msharaha tu.
Fungue biashara yoyote ile hapo mnanuka njaa je nchi ikiingia kwenye janga la kutokuwa na pesa hivi mtavumilia nyinyi achaneni na lawama.
Usiku mwema ukinuna wewe nuna .
Kikubwa tafuteni njia mbadala wa kuingiza pesa tofauti na kutegemea mshahara.
U sio mkuu? Usichukulie vitu serious mkuu Kwahiyo unahisi niliiyokuwa nalalamika umenichukulia seriously?
Hapana,A
U sio mkuu? Usichukulie vitu serious mkuu Kwahiyo unahisi niliiyokuwa nalalamika umenichukulia seriously?