Nimegundua wale watu ambao hawanywi pombe ndio wanafiki, wachawi na wambea

Nimegundua wale watu ambao hawanywi pombe ndio wanafiki, wachawi na wambea

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Iko hivi,

nina marafiki wa kila aina tofauti tofauti, walevi na wasio walevi..mimi binafsi ni mywaji mzuri tu ila sio wa kubebwa.

Sasa siku kadhaa za nyuma hapo nilipata kachangamoto flani ka kimaisha nikaona ngoja niwacheck jamaa zangu(bila kujali ni mlevi au mtakatifu kama wanavyojiita) Wale walevi fresh tu aliyekua nacho chochote kitu basi kwa muda wake aliniwezesha chochote kitu ambae hakua na kitu alinichana tu hana na issue ikaisha.

Sasa hawa wasiokunywa ndio wale nawacheck wananikataa halafu wanaenda huko pembeni wanasema ooh nalewa daily nashindwaje kutatua shida ka hiyo mwenyewe hawajui sie wanywaji kuna wakati unaitwa tu bar na washkaji huna hata Mia na wao ndio wanasimamia show zote.

Sasa leo kuna pimbi ambae sio mnywaji kapatwa na changamoto kama iliyonikuta mimi kipindi kile na yeye alinikataa hakunichangia hata senti tano kanikuta leo niko njema tu, kwanza kanipigia sijapokea coz tuna muda hatujawasliana tangu alivyonikataa ila taarifa zake nazipata toka kwa CIA wangu mmoja hivi, alivyonipa faili lake huyu jamaa nimemkataa kabisa.

Kwa kifupi nimegundua sie wanywaji tunasaidiana sana kuliko hao wanaojiita sijui waimba kwaya.
 
Iko hivi
nina marafiki wa kila aina tofauti tofauti, walevi na wasio walevi..mimi binafsi ni mywaji mzuri tu ila sio wa kubebwa.
Sasa siku kadhaa za nyuma hapo nilipata kachangamoto flani ka kimaisha nikaona ngoja niwacheck jamaa zangu(bila kujali ni mlevi au mtakatifu kama wanavyojiita) Wale walevi fresh tu aliyekua nacho chochote kitu basi kwa muda wake aliniwezesha chochote kitu ambae hakua na kitu alinichana tu hana na issue ikaisha.sasa hawa wasiokunywa ndio wale nawacheck wananikataa afu wanaenda huko pembeni wanasema ooh nalewa daily nashindwaje kutatua shida ka hiyo mwenyewe hawajui sie wanywaji kuna wakati unaitwa tu bar na washkaji huna hata Mia na wao ndio wanasimamia show zote.sasa leo kuna pimbi ambae sio mnywaji kapatwa na changamoto kama iliyonikuta mimi kipindi kile na yeye alinikataa hakunichangia hata senti tano kanikuta leo niko njema tu,kwanza kanipigia sijapokea coz tuna muda hatujawasliana tangu alivyonikataa ila taarifa zake nazipata toka kwa CIA wangu mmoja hivi,alivyonipa faili lake huyu jamaa nimemkataa kabisa.
kwa kifupi nimegundua sie wanywaji tunasaidiana sana kuliko hao wanaojiita sijui waimba kwaya.
wewe mnywaji mbona umeleta umbea humu, usingekuwa wewe tusingejua kama huyo uliye muita pimbi kapata changamoto.
 
Iko hivi
nina marafiki wa kila aina tofauti tofauti, walevi na wasio walevi..mimi binafsi ni mywaji mzuri tu ila sio wa kubebwa.
Sasa siku kadhaa za nyuma hapo nilipata kachangamoto flani ka kimaisha nikaona ngoja niwacheck jamaa zangu(bila kujali ni mlevi au mtakatifu kama wanavyojiita) Wale walevi fresh tu aliyekua nacho chochote kitu basi kwa muda wake aliniwezesha chochote kitu ambae hakua na kitu alinichana tu hana na issue ikaisha.sasa hawa wasiokunywa ndio wale nawacheck wananikataa afu wanaenda huko pembeni wanasema ooh nalewa daily nashindwaje kutatua shida ka hiyo mwenyewe hawajui sie wanywaji kuna wakati unaitwa tu bar na washkaji huna hata Mia na wao ndio wanasimamia show zote.sasa leo kuna pimbi ambae sio mnywaji kapatwa na changamoto kama iliyonikuta mimi kipindi kile na yeye alinikataa hakunichangia hata senti tano kanikuta leo niko njema tu,kwanza kanipigia sijapokea coz tuna muda hatujawasliana tangu alivyonikataa ila taarifa zake nazipata toka kwa CIA wangu mmoja hivi,alivyonipa faili lake huyu jamaa nimemkataa kabisa.
kwa kifupi nimegundua sie wanywaji tunasaidiana sana kuliko hao wanaojiita sijui waimba kwaya.
HASA WAPEMBA ULISHAWAHI KUWA NA RAFIKI MPEMBA .. PUUUH!
 
Wanywaji tujipe tano kwanza🤜🤛 alafu sisi tunapenda kuchukulia kila issue kawaida tu hatuna mambo mengi. Umekwama sehemu lete jambo mezani, tunalidadavua na kupata muafaka hata kama ni swala la pesa😀😀
 
Umenikumbusha kisa cha mlevi mmoja fundi umeme. Alipata kazi ya umeme huko mkoani kanda ya ziwa. Ilikuwa ni kazi ya milioni 2 ambayo angeifanya kwa siku 21.

Kwanza alipewa sh milioni moja na nusu ya vifaa aje kununua Dar.

Alipo fika Dar akawa tajiri bar . Hela yote akaitumia kwenye pombe na kampani yake na simu ya kazi akazima.

Basi kule kazini wakawa wana mtafuta.

Jamaa alie muunganisha kwenye hiyo kazi ikabidi atafute polisi waje wamkamate wakamuweka ndani.

Polisi walikubaliana atoke nje kwa dhamana kwa makubaliano kwamba awe amelipa hiyo milioni na nusu ndani ya wiki 2.

Basi unaambiwa jamaa akawa anatuma msg kwa watu wote wa mtaani wamchangie hadi ipatikane hiyo milioni na nusu😂😂😂

Kwa bahati mbaya sana , hiyo msg aliituma hadi kwa wasio wanywaji. Walimchamba hatari.

They were like " Duh huyu jamaa bwege nini yani kaiba hela za watu huko katumia kulewa kakamatwa then anataka sisi ndio tumchangie kulipa"
 
Iko hivi
nina marafiki wa kila aina tofauti tofauti, walevi na wasio walevi..mimi binafsi ni mywaji mzuri tu ila sio wa kubebwa.
Sasa siku kadhaa za nyuma hapo nilipata kachangamoto flani ka kimaisha nikaona ngoja niwacheck jamaa zangu(bila kujali ni mlevi au mtakatifu kama wanavyojiita) Wale walevi fresh tu aliyekua nacho chochote kitu basi kwa muda wake aliniwezesha chochote kitu ambae hakua na kitu alinichana tu hana na issue ikaisha.sasa hawa wasiokunywa ndio wale nawacheck wananikataa afu wanaenda huko pembeni wanasema ooh nalewa daily nashindwaje kutatua shida ka hiyo mwenyewe hawajui sie wanywaji kuna wakati unaitwa tu bar na washkaji huna hata Mia na wao ndio wanasimamia show zote.sasa leo kuna pimbi ambae sio mnywaji kapatwa na changamoto kama iliyonikuta mimi kipindi kile na yeye alinikataa hakunichangia hata senti tano kanikuta leo niko njema tu,kwanza kanipigia sijapokea coz tuna muda hatujawasliana tangu alivyonikataa ila taarifa zake nazipata toka kwa CIA wangu mmoja hivi,alivyonipa faili lake huyu jamaa nimemkataa kabisa.
kwa kifupi nimegundua sie wanywaji tunasaidiana sana kuliko hao
wanaojiita sijui waimba kwaya.
Punguza hasira mkuu.
Sio watu wote wasiokunywa pombe wana tabia kama za hao rafiki zako. Too generalized na una hasira na waimba kwaya.
 
Back
Top Bottom