Nimegundua wale watu ambao hawanywi pombe ndio wanafiki, wachawi na wambea

Nimegundua wale watu ambao hawanywi pombe ndio wanafiki, wachawi na wambea

😂😂
au siyo..?
any day can be Friday as long as you don't fake your adulthood..!!
Yoo 🤣🤣 kwani tutafake sasa? Au ni inakulazimu uchague kwenda kugonga glass au urudi ukasaidie watoto homework
 
Kunywa kunywa ila uwe tayari ku fight cancer na shida za figo.. Maisha yenyewe mafupi maini hayaonekani fanya kama hunaga maini
 
Yoo 🤣🤣 kwani tutafake sasa? Au ni inakulazimu uchague kwenda kugonga glass au urudi ukasaidie watoto homework
Ni homework pekee, ama kuna kuandaa chakula na kuandaa nguo za kina baba tikiti...
 
Back
Top Bottom