Nimegundua wale watu ambao hawanywi pombe ndio wanafiki, wachawi na wambea

Sidhaniii… nina rafiki wa kazini mnafki sijawahi kuona ila anatupia kamnyweso balaa.
Hapo ikoje hiyo?
Nilitaka nikuite uwatetee kina Pierre Liquid wote nchi nzima, ghafla naona umejaa tele,
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
walevi swaga zao bwana.
 
😎😎😎😎😎
Mkuu hizo sio gunduzi kwakua labda umelewa hapoπŸ€—πŸ€—πŸ€—
 
Nipo nazungukia hapa counter na kiglass🀣🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
I thought weekdays ni za kukaa na vifukuza nyuki maana ni mwendo wa fan'a..??
 
Mleta uzi utakuwa unasonona kali sana............
 
Mgunduzi hongera sana kwa kupiga kazi naomba ugundue pia dawa ya ajira Tanzania Vijana wapate kazi.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
I thought weekdays ni za kukaa na vifukuza nyuki maana ni mwendo wa fan'a..??
β€œToday can be friday if you don fear your boss 🀣🀣
 
β€œToday can be friday if you don fear your boss 🀣🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚
au siyo..?
any day can be Friday as long as you don't fake your adulthood..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…