mkuu sinaga wivu ila nawaza tu namimi natakanije na kitu tofautJamani nipo Amsterdam hapa, naelekea Frankfurt kama kuna Mwana JF maeneo nilioyataja, nimuone, nimchotee Korosho kidogo! Mtoa mada elewa wivu ni ugonjwa mbaya!
too much....na inategemeana na contentHii kasumba ya kuamini kuwa members humu wakisema wana magari,nyumba au wanasafiri nje ya nji ni waongo ipo na nionavyo Mimi wanaoamini hivyo ni vijana wadogo ambao wameingia jf hivi karbuni.Tangu kuanzishwa kwake,jf lilikuwa jukwaa la academicians ambao wengi walikuwa na maisha yao na haishangazi watu wa aina hiyo kuwana magari au kusafiri nje ya nchi.
Wengine humu ni wafanyakazi,wajasiliamali,waajiri na wengine wenye uwezo kuwa na maisha mazuri.
Kwa hiyo,kama wewe hauna gari,nyumba au uwezo wa kumiliki vitu hivyo nyamaza.
Kweli kabisa, kuna watu wanadhani kuwa watu walioko humu ni wale wanaokaa nao mtaani kwao tu, kuna watu wako na nyadhifa na maisha yao ya maana sana ndani na nje ya nchi.Hii kasumba ya kuamini kuwa members humu wakisema wana magari,nyumba au wanasafiri nje ya nji ni waongo ipo na nionavyo Mimi wanaoamini hivyo ni vijana wadogo ambao wameingia jf hivi karbuni.Tangu kuanzishwa kwake,jf lilikuwa jukwaa la academicians ambao wengi walikuwa na maisha yao na haishangazi watu wa aina hiyo kuwana magari au kusafiri nje ya nchi.
Wengine humu ni wafanyakazi,wajasiliamali,waajiri na wengine wenye uwezo kuwa na maisha mazuri.
Kwa hiyo,kama wewe hauna gari,nyumba au uwezo wa kumiliki vitu hivyo nyamaza.
Za asubuh mkuuUkiichukulia Jf serious aki utaiba ndugu!!!
Simama wewe kama wewe, jiamini jinsi ulivyo na mshukuru Mungu kwa ulicho nacho. Hayo mengine ni majaaliwa na kufanya kazi kwa bidii.
Salama MkuuZa asubuh mkuu
Haki umenena vema
Kwa kingereza kile ulichokua unaongea ukijibizana na shunie usitudanganye etii frm 2" masticate , implicate ... Submit..Habari zenu wakuu
Hayawi hayawi sasa yamekuwa,
Ivi mbona kila mtu nikiangalia Post zake naona kama hakuna wenzangu humu?
Yaani kila mtu utaskia "nilienda na gari sehemu fualani...
Mara mwingine utasikia "tulikutana ATM
Mwinge utasikia "kipindi nipo chuo kikuu nilifanya hivi...
Mara mwingine nae "Nilikuwa hotelin...
Bila kusahau mwingine nae "Nilikutana nae airpot.
Wengine nao "Nimeibiwa Dukani..
na mengine mengi
Jamani Sasa huu mgogoro wa nafsi inabidi leo niutoe
jamani yaani inamaana huku Jf mimi tu ndio muuza maji?
Mbona sijawahi kukutana na wenzangu tunaoenda kuwachek madem kwa baiskel na kuwapakiza?
Jamn mbona sisi tunaosafisha vyoo humu hatupo?
Jamani hata wenzangu tunao tunatembeza mihogo humu hatumo,
Sawa!
Swali jingine jamn inamaana humu Jf mimi tu ndio nimeishia form Two?..
Haya bora mi nilikimbia phiziksi kidato cha pili[emoji23] [emoji125] [emoji125]
Jamani ila mbona kuna wengine walipata ziro form four kwani humu hawafiki?
Mmmmh Hapana jaman mi nimechoka kuwa kenge kwenye msafara wa mamba...
Ndugu zangu wanazungumzia mambo ya hela afu mimi mwenyewe mfukoni sina hata jero jaman kweli?
Mungu anawaona nyie wote mnaodanganya Umma.[emoji23] [emoji23]