Nimegundua wana Jf wengi si wakweli kama mimi

Nimegundua wana Jf wengi si wakweli kama mimi

Hivyo vitu vyote na hayo maeneo yote yapo kwa ajili ya watu...

Inawezekana mtu alienda mara moja kusema siyo mbaya au anaenda mara kwa mara siyo tatizo pia...

Watu wanamaisha, watu wapo vizuri...


Cc: mahondaw
 
Jamani nipo Amsterdam hapa, naelekea Frankfurt kama kuna Mwana JF maeneo nilioyataja, nimuone, nimchotee Korosho kidogo! Mtoa mada elewa wivu ni ugonjwa mbaya!
 
Jamani nipo Amsterdam hapa, naelekea Frankfurt kama kuna Mwana JF maeneo nilioyataja, nimuone, nimchotee Korosho kidogo! Mtoa mada elewa wivu ni ugonjwa mbaya!
mkuu sinaga wivu ila nawaza tu namimi natakanije na kitu tofaut
 
Hii kasumba ya kuamini kuwa members humu wakisema wana magari,nyumba au wanasafiri nje ya nji ni waongo ipo na nionavyo Mimi wanaoamini hivyo ni vijana wadogo ambao wameingia jf hivi karbuni.Tangu kuanzishwa kwake,jf lilikuwa jukwaa la academicians ambao wengi walikuwa na maisha yao na haishangazi watu wa aina hiyo kuwana magari au kusafiri nje ya nchi.
Wengine humu ni wafanyakazi,wajasiliamali,waajiri na wengine wenye uwezo kuwa na maisha mazuri.
Kwa hiyo,kama wewe hauna gari,nyumba au uwezo wa kumiliki vitu hivyo nyamaza.
 
Hii kasumba ya kuamini kuwa members humu wakisema wana magari,nyumba au wanasafiri nje ya nji ni waongo ipo na nionavyo Mimi wanaoamini hivyo ni vijana wadogo ambao wameingia jf hivi karbuni.Tangu kuanzishwa kwake,jf lilikuwa jukwaa la academicians ambao wengi walikuwa na maisha yao na haishangazi watu wa aina hiyo kuwana magari au kusafiri nje ya nchi.
Wengine humu ni wafanyakazi,wajasiliamali,waajiri na wengine wenye uwezo kuwa na maisha mazuri.
Kwa hiyo,kama wewe hauna gari,nyumba au uwezo wa kumiliki vitu hivyo nyamaza.
too much....na inategemeana na content
 
Hii kasumba ya kuamini kuwa members humu wakisema wana magari,nyumba au wanasafiri nje ya nji ni waongo ipo na nionavyo Mimi wanaoamini hivyo ni vijana wadogo ambao wameingia jf hivi karbuni.Tangu kuanzishwa kwake,jf lilikuwa jukwaa la academicians ambao wengi walikuwa na maisha yao na haishangazi watu wa aina hiyo kuwana magari au kusafiri nje ya nchi.
Wengine humu ni wafanyakazi,wajasiliamali,waajiri na wengine wenye uwezo kuwa na maisha mazuri.
Kwa hiyo,kama wewe hauna gari,nyumba au uwezo wa kumiliki vitu hivyo nyamaza.
Kweli kabisa, kuna watu wanadhani kuwa watu walioko humu ni wale wanaokaa nao mtaani kwao tu, kuna watu wako na nyadhifa na maisha yao ya maana sana ndani na nje ya nchi.

Hivyo mleta mada, apambane tu na hali yake sio kukaa kuwaza maisha ya memba wenzie humu, kama wanaishi kwa kuigiza au la!
 
Ukiichukulia Jf serious aki utaiba ndugu!!!
Simama wewe kama wewe, jiamini jinsi ulivyo na mshukuru Mungu kwa ulicho nacho. Hayo mengine ni majaaliwa na kufanya kazi kwa bidii.
 
Mtoa mada vyuma vimekukazia hadi umekuwa chafupozi unaanza kuwadisi na wengine.....
Nimeona vitu unavyoshangaa watu wa humu kuwanavyo cjui ATM mara kuwepo airport vyakawaida2.....
Pambana na hali yako nawe upate maisha ka hayo..
Ila ulivyo hivyo ww unaweza fika airport ama kuwa na bank account kwa hiyo cjaona unalopigia kelele hapo....
 
Jamiiforum ni platform imayopendwa na kukubalika na watanzania waliopo dunia nzima, kuna verified users hawa unawatambua moja kwa moja na kuna Id fake hizi ndio nyingi, Kuna tofauti kubwa kati ya member wakongwe na Wa sasa, Sasa hivi wengi ni vijana Wa shule, lakini humu ndani kuna mpaka baba zao, kama baba yako yuko humu ndani na nyumbani kwenu kuna gari usishangae.
 
Habari zenu wakuu
Hayawi hayawi sasa yamekuwa,

Ivi mbona kila mtu nikiangalia Post zake naona kama hakuna wenzangu humu?

Yaani kila mtu utaskia "nilienda na gari sehemu fualani...

Mara mwingine utasikia "tulikutana ATM

Mwinge utasikia "kipindi nipo chuo kikuu nilifanya hivi...

Mara mwingine nae "Nilikuwa hotelin...

Bila kusahau mwingine nae "Nilikutana nae airpot.

Wengine nao "Nimeibiwa Dukani..
na mengine mengi

Jamani Sasa huu mgogoro wa nafsi inabidi leo niutoe
jamani yaani inamaana huku Jf mimi tu ndio muuza maji?

Mbona sijawahi kukutana na wenzangu tunaoenda kuwachek madem kwa baiskel na kuwapakiza?

Jamn mbona sisi tunaosafisha vyoo humu hatupo?

Jamani hata wenzangu tunao tunatembeza mihogo humu hatumo,

Sawa!

Swali jingine jamn inamaana humu Jf mimi tu ndio nimeishia form Two?..

Haya bora mi nilikimbia phiziksi kidato cha pili[emoji23] [emoji125] [emoji125]
Jamani ila mbona kuna wengine walipata ziro form four kwani humu hawafiki?

Mmmmh Hapana jaman mi nimechoka kuwa kenge kwenye msafara wa mamba...

Ndugu zangu wanazungumzia mambo ya hela afu mimi mwenyewe mfukoni sina hata jero jaman kweli?

Mungu anawaona nyie wote mnaodanganya Umma.[emoji23] [emoji23]
Kwa kingereza kile ulichokua unaongea ukijibizana na shunie usitudanganye etii frm 2" masticate , implicate ... Submit..
 
Back
Top Bottom