Nimegundua wanyama wanaongea na wanacheka wakifurahia jambo!!

Nimegundua wanyama wanaongea na wanacheka wakifurahia jambo!!

kante mp2025

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2022
Posts
631
Reaction score
1,192
Amini usiamini hata ng'ombe, paka, kuku na wanyama mbalimbali wafugwao wanao uwezo wa kununa, kucheka na kuongea najua utabisha

Toka 2005 nilijikita kufanya utafiti wa maisha ya wanyama hasa hawa tunaowafuga majumbani mwetu na kilichonishangaza ni kugundua nao wana lugha yao ya kibonyoli" ambayo wanaitumia kuwasiliana na hata kucheka.

Nataka niwasilishe chapisho langu kwenye website za kimataifa nikiweka na evidence kabisa ambazo nahofia nikiziweka wazi humu huenda utafiti wangu ukaibiwa.

Nakitu msichokijua hata wanyama wanatongozana asee nilishangaa pale mbwa dume akilia machozi baada ya kusalitiwa na mbwa jike.

I lay my case here!!!

Kwa dodoso karbu dm
 
Katika mazungumzo yao huwa wanazungumzia nini hasa? Na vipi wameupokeaje ushindi wa Mwenyekiti mpya mjini?
 
Katika mazungumzo yao huwa wanazungumzia nini hasa? Na vipi wameupokeaje ushindi wa Mwenyekiti mpya mjini?
Kiufupi nyau au paka ile kupenda kukaa kwenye makochi huwa wanapenda sana kuangalia movies...


jana paka wangu kafuatilia mkutano mkuu wa chadema wote toka mwanzo mpaka mwisho alipotangazwa mshindi akanirukia kifuani na kuninong'oneza kwa sauti ya kilongai maana paka wanaongea kilongai...akasema amefurahi vibaya mno basi tukaishia kucheka
 
Wahi Dodoma hospitalini haraka mkuu utapona
Hata IsaacNewton alipokuwa analeta hoja za kuogopesha na tafiti kubwa kubwa walimwambia akapimwe akili same to Kanye west.

Sisi wenye fikra pana huwa tunaonekana vichaa ila time will tell
 
Kiufupi nyau au paka ile kupenda kukaa kwenye makochi huwa wanapenda sana kuangalia movies...


jana paka wangu kafuatilia mkutano mkuu wa chadema wote toka mwanzo mpaka mwisho alipotangazwa mshindi akanirukia kifuani na kuninong'oneza kwa sauti ya kilongai maana paka wanaongea kilongai...akasema amefurahi vibaya mno basi tukaishia kucheka
🤣🤣🤣🤣 Ila utapona bro, haujafikia stage mbaya sana.
 
Naam upo sahihi sana hasa kuna mitu inaitwa mikaratusi ikiwa kikundi

Inao uwezo wa kuimba hadi wimbo wa taifa kwa ile lugha yao ya kisonobari
Kuna mti fulani sijuwi jina lake ila ni mrefu saaana, upepo unapo vuma kama uko karibu wasikia kabisa wapiga mruzi.
 
Amini usiamini hata ng'ombe, paka, kuku na wanyama mbalimbali wafugwao wanao uwezo wa kununa, kucheka na kuongea najua utabisha

Toka 2005 nilijikita kufanya utafiti wa maisha ya wanyama hasa hawa tunaowafuga majumbani mwetu na kilichonishangaza ni kugundua nao wana lugha yao ya kibonyoli" ambayo wanaitumia kuwasiliana na hata kucheka.

Nataka niwasilishe chapisho langu kwenye website za kimataifa nikiweka na evidence kabisa ambazo nahofia nikiziweka wazi humu huenda utafiti wangu ukaibiwa.

Nakitu msichokijua hata wanyama wanatongozana asee nilishangaa pale mbwa dume akilia machozi baada ya kusalitiwa na mbwa jike.

I lay my case here!!!

Kwa dodoso karbu dm
Kila uchwao sijutii kuwa JF
Maana mwaka 2005 rasmi nilijgundua kuwa Mimi ni genius na nikaona nchi ilivyo na uhaba wa magenius Ila mwaka Jana na mwaka huu nafurahia kuona magenius wanazidi kuongezeka tena Raha ni kuwa wengi ni vijana .

Safi kabisa ,weka chapisho kwenye website .

Mimi genius mwenzio mavumbuzi mengi niliyoyafanya ni juu ya ngono na mapenzi huko hakika nimetaradadi kabisa
 
Back
Top Bottom