Hapana,Ushabiki wa mpira, ni kama KABILA. Utahama DINI, lakini si KABILA! Kwa uamuzi huo, jamaa si MSHABIKI WA MPIRA!
Duuh sijawahi kuonaMimi The Book nikiwa na akili timamu natangaza kuwa;Kuanzia leo nimeacha kushabikia Man United na kuwa nimeanza kushabikia Liverpool 'The Reds'.
Ahsanteni
View attachment 870368
YOU WILL NEVER WALK ALONE
Huyu ni mshabiki wa msimu huenda hata huko Liverpool akahama msimu ujao.Duuh sijawahi kuona
Tayari mkuu nimerudi Man😛Huyu ni mshabiki wa msimu huenda hata huko Liverpool akahama msimu ujao.
Tayari mkuu nimerudi Man😛
Mpira ni mambo mawili tu kuwehuka kea furaha au kuwehuka kwa hasira hayo mawili ndio yanakuendesha .Ushabiki wa mpira, ni kama KABILA. Utahama DINI, lakini si KABILA! Kwa uamuzi huo, jamaa si MSHABIKI WA MPIRA!
Inasemekana wapenzi wa arsenal wana ndoa imara sana!Washabiki maandazi kama wewe the book
Hatuwapi nafasi kujiunga na arsenal yetu maana mtakuja kufa na pressure ndani ya week moja
Huna msimamoKuanzia leo na kuendelea
Nitaenda huku AlbionKwahiyo baada ya ushindi wa jana ukaamua urudi nyumbani. Next time mtapigwa nyingi sijui utatuambia nini tena 😀
Msimamo ndo nini?Huna msimamo
Kama ni mpenzi wa timu husiyumbishwe na mawimbi. Hiyo Liverpool ikianguka utakwenda timu gani. Baki na chako hata kama ni kibovuMsimamo ndo nini?